Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Ewe rafiki mwenye akaunti NMB hebu njoo tutete kidogo bana............ Mungu kaagiza tupendane bana. 😀😀😀
Hilo agizo la mungu kupendana lilikuwa kipindi cha mkwere mzee wa msoga. Alivyoondoka akaondoka nalo hilo agizo hilo takatifu
 
Hapa Kazi tuuuuu!, wafanyakazi wanavipato vingine vya mapato ya ziada kama mama ntilie, ushonaji, saloon na biashara mbalimbali. Hivi vitasimama badala ya increments na mishahara mipya. Waende hivyo hivyo hadi hapo hali ya uchumi itakaporuhusu. Tuko kwenye vita vya uchumi hivyo kila MTU afunge mkanda.
 
Naona uzi umepumua sasa. Tukutane tena mwezi ujao wadau. Spend wisely!
hahahah mydia umenifanya nicheke nipunguze machungu ya kuzidisha muda wa kazi serikalini......... nipe matumaini dadangu nipite Ikulu ATM nini........... Maana dah Kimei nimemmind
 
hahahah mydia umenifanya nicheke nipunguze machungu ya kuzidisha muda wa kazi serikalini......... nipe matumaini dadangu nipite Ikulu ATM nini........... Maana dah Kimei nimemmind
Hahaha pitia tu mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Back
Top Bottom