Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Hii thread dah........... ahsanteni sana kwa kunifanya nicheke jumanne ya leo.
 
Jamaniiiii mliokuwa mnaulizia mshahara Wa October nendeni mkaangalie akaunti zenu... 10 percent +
 
Wajameni kuna mtu amenitonya Magu ashaachia muda si mrefu.Wenye NMB na CRDB mobile hebu ingieni fasta leteni mrejesho
 
Back
Top Bottom