Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Bado dakika 30 za nyongeza
Watumishi tubadilike kwakweli! Kila mwisho wa mwezi "broke".
insanity.jpg
 
Kuna mtumishi ambae mpaka leo hii bado ana imani na serikali hii..??duh mimi mbwembwe zao tu mwanzoni nikajua hawana pumzi hawa.
Mkuu si mliambiwa hata hamuwezi kubabaisha mtu kwani kura zenu ni laki tano tu,hata msipopiga haisumbui
 
Hahaha ndiyo maana Mimi nafanya shughuli zangu binafsi.Wewe endelea kusubiri mshahara! Utaisoma namba
 

Kazi kweli kweli, sizani kuchelewa kwa mishahara ni dalili ya uchumi kuyumba ngoja tuwasubiri wanauchumi hapa
 
Serikali huko nyuma imekuwa ikitoa mishahara ya watumishi wa umma kwenye tarehe 21 kila mwezi lakini mwezi huu imechelewa kutoa mishahara hiyo kutokana na uchumi kuyumba hii ni ishara tosha kuwa nchi yetu imeshuka kiuchumi .
Mkuu huenda wanataka waiongeze kwanza alafu ndo wawaingizie
 
Back
Top Bottom