Epheeeeewwww ahsante dia..............ila natumbukia nyongo ngoja nifunge preck nadaiwa school trip ya mtoto uwiii............... kiu ya Serengeti leo koma.......maziwa yapoHahaha pitia tu mkuu.
Epheeeeewwww ahsante dia..............ila natumbukia nyongo ngoja nifunge preck nadaiwa school trip ya mtoto uwiii............... kiu ya Serengeti leo koma.......maziwa yapoHahaha pitia tu mkuu.
HahahahaaEpheeeeewwww ahsante dia..............ila natumbukia nyongo ngoja nifunge preck nadaiwa school trip ya mtoto uwiii............... kiu ya Serengeti leo koma.......maziwa yapo
Sure. Kipindi hiki cha huyu chuma tingatinga nyuzi kama hizi ni inevitable kila inapokaribia mishahara.Naona uzi umepumua sasa. Tukutane tena mwezi ujao wadau. Spend wisely!
HahahaMbona vinauzwa kilo buku 1 siavi sokoni au yule muuzaji juzi alipitiwa![]()
![]()
![]()
Ni vizuri kuishi kwa matumaini! Ila watumishi wako 600,000 wakati matarajio yamepangwa kwa watu 59,000 tu. Kama heslb vile, kati ya 61,000 ikapangwa wapewe 30,000 tu!Postponed to November
Kama ndio hivyo hao heslb basi wana nafuu maana ni karibia 50%, hiyo ya watumishi ni hopeless.Ni vizuri kuishi kwa matumaini! Ila watumishi wako 600,000 wakati matarajio yamepangwa kwa watu 59,000 tu. Kama heslb vile, kati ya 61,000 ikapangwa wapewe 30,000 tu!
Magufuli usiongeze mshahara hadi 2020,watumishi wana mshahara mkubwa sana.
Wafanye kazi kwanza ili kuongeza tija.