Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,229
Sasa wewe utakuwa nani ikiwa unatawaliwa na kuongozwa na mbumbumbu? Au sumu zimeshakudhuru?
Unataka kuwaondoa watawala ili nawe utawale? uwe mbumbumbu? Unanambia na Nyerere alitawala kwa miaka 24 nae ndie mbumbumbu mkubwa zaidi kwa kuwa katawala miaka mingi zaidi?
Hoja zako za kijinga kabisa.
Jifunze kuandika kiswahili.Neno 'UNANAMBIA' halipo kwenye kamusi.
Nani aliyekuambia Tunataka kutawala?Ni nani aliyekuambia kuwa Nyerere alitawala?