Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,161
- 20,337
Amekuwa akijinasibu kuwa mtetezi wa maliasili na uzalendo kwa Taifa.
Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.
Juzi Jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?
Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?
Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.
Juzi Jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?
Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?