Nasra Mohamed: Ukatili na unyanyasaji uliovuka mipaka!

Anagalau nimesoma upande wa pili wa stori,

STORY YA BABU DC HII HAPA JUU YA KISA HIKI


Ndugu wadau wa jukwaa letu tukufu,

Kama mtakumbuka, week iliyopita nilirusha thread iliyokuwa inaripoti kisa cha Nasra Mohamedi wa Bunda aliyegongwa kwa gari na mume wake na kuburuzwa kama mita 100 hivi. Story yenyewe hii hapa:

Nasra Mohamed: Ukatili na unyanyasaji uliovuka mipaka!


Hivi karibuni, nimepata bahati ya kuongea na mtu ambaye alikuwa maeneo yale ya tukio ingawa hakushuhudia live jinsi tukio livyotokea. Hata hivyo ameweza kunipatia story za ndani kuhusu mkasa wenyewe.

Inasemekana kuwa Nasra na mume wake walikuwa na ndoa nzuri sana. Ilikuwa ni couple ya kupigiwa mfano. Hata hivyo, mume wa Nasra alipitiwa na shetani akatembea nje ya ndoa; na kwa bahati mbaya Nasra alimfumania. Baada ya tukio hilo, ndoa yao haikuwa na amani tena; na Nasra aliamua kutafuta mwanamume wa nje na kutembea naye wazi wazi. Hatimaye walitengana ila Nasra aliendelea kumfuata fuata mume wake kwa kumuonyesa wazi wazi kwamba anatembea na huyo bwana wake mpya. Inasemekana mume wake ni mpole sana na alijitahidi kumpuuza. Hata hivyo vituko vilizidi kiasi kwamba mume alikuwa anafuatwa hata kwenye baa anakoenda. Na mara zote, Nasra alikuwa akifika na huyo bwana mpya. Na kwamba, alifikia mahali pa kukaa meza ambayo iko karibu na mume wake ili amkere. Pia alianza kufanya vituko ili mume wake wa zamani amfumanie, ili naye aumie kama ilivyotokea kwake!

Inasemekana pia kwamba Nasra alifungua kesi mahakamani kuomba talaka na kwamba wagawane mali za ndoa. Taarifa zinasema kwamba, kabla ya kutengana, mume alikuwa amemnunulia Nasra gari. Pia wakati wanatengana, mwanamke aliondoka na pesa za mume kiasi cha shilingi 10mil. Haya yalizidisha uchungu kwa mume ambaye alianza kuwaambia marafiki zake kwamba atamuua huyo mke kisha naye ajiue.

Siku ya tukio, inasemekana Nasra alimkuta mume wake standi ya bus Bunda na kuanza kumtukana matusi machafu sana, tena mbele ya watu wengi waliokuwepo hapo. Baadhi ya mambo aliyomkashifu ni kwamba mume huyo hana nguvu za kiume za kutosha na pia kuwa watoto waliozaa si wake! Inasemekana yule baba aliondoka kwa muda ili kuepuka shari za mke wake. IHata aliporudi tena baada ya muda kidogo, bado Nasra aliendelea kumtukana. Ndipo mwanamume akamuita apite upande wa pili wa gari ili waongee (wakati wote huo, yule baba alikuwa kwenye gari), na hapo hapo mwanamume aliondoa gari na kumburuza hadi karibia na kituo cha polisi. Alipofika hapo, akamtelekeza pomoja na gari na kupotelea kusikojulikana.

Kwa ufupi, huo ndio upande mwingine wa hili tukio ambalo kweli linasikitisha sana,


Babu DC!!
 
Edson nakupenda kwa ufafanuzi wako wa mara kwa mara
kwa upande mmoja umeeleweka, je tukubali kuwa ni kweli
ndivyo ilivyokuwa?

STORY YA BABU DC HII HAPA JUU YA KISA HIKI


Ndugu wadau wa jukwaa letu tukufu,

Kama mtakumbuka, week iliyopita nilirusha thread iliyokuwa inaripoti kisa cha Nasra Mohamedi wa Bunda aliyegongwa kwa gari na mume wake na kuburuzwa kama mita 100 hivi. Story yenyewe hii hapa:

Nasra Mohamed: Ukatili na unyanyasaji uliovuka mipaka!


Hivi karibuni, nimepata bahati ya kuongea na mtu ambaye alikuwa maeneo yale ya tukio ingawa hakushuhudia live jinsi tukio livyotokea. Hata hivyo ameweza kunipatia story za ndani kuhusu mkasa wenyewe.

Inasemekana kuwa Nasra na mume wake walikuwa na ndoa nzuri sana. Ilikuwa ni couple ya kupigiwa mfano. Hata hivyo, mume wa Nasra alipitiwa na shetani akatembea nje ya ndoa; na kwa bahati mbaya Nasra alimfumania. Baada ya tukio hilo, ndoa yao haikuwa na amani tena; na Nasra aliamua kutafuta mwanamume wa nje na kutembea naye wazi wazi. Hatimaye walitengana ila Nasra aliendelea kumfuata fuata mume wake kwa kumuonyesa wazi wazi kwamba anatembea na huyo bwana wake mpya. Inasemekana mume wake ni mpole sana na alijitahidi kumpuuza. Hata hivyo vituko vilizidi kiasi kwamba mume alikuwa anafuatwa hata kwenye baa anakoenda. Na mara zote, Nasra alikuwa akifika na huyo bwana mpya. Na kwamba, alifikia mahali pa kukaa meza ambayo iko karibu na mume wake ili amkere. Pia alianza kufanya vituko ili mume wake wa zamani amfumanie, ili naye aumie kama ilivyotokea kwake!

Inasemekana pia kwamba Nasra alifungua kesi mahakamani kuomba talaka na kwamba wagawane mali za ndoa. Taarifa zinasema kwamba, kabla ya kutengana, mume alikuwa amemnunulia Nasra gari. Pia wakati wanatengana, mwanamke aliondoka na pesa za mume kiasi cha shilingi 10mil. Haya yalizidisha uchungu kwa mume ambaye alianza kuwaambia marafiki zake kwamba atamuua huyo mke kisha naye ajiue.

Siku ya tukio, inasemekana Nasra alimkuta mume wake standi ya bus Bunda na kuanza kumtukana matusi machafu sana, tena mbele ya watu wengi waliokuwepo hapo. Baadhi ya mambo aliyomkashifu ni kwamba mume huyo hana nguvu za kiume za kutosha na pia kuwa watoto waliozaa si wake! Inasemekana yule baba aliondoka kwa muda ili kuepuka shari za mke wake. IHata aliporudi tena baada ya muda kidogo, bado Nasra aliendelea kumtukana. Ndipo mwanamume akamuita apite upande wa pili wa gari ili waongee (wakati wote huo, yule baba alikuwa kwenye gari), na hapo hapo mwanamume aliondoa gari na kumburuza hadi karibia na kituo cha polisi. Alipofika hapo, akamtelekeza pomoja na gari na kupotelea kusikojulikana.

Kwa ufupi, huo ndio upande mwingine wa hili tukio ambalo kweli linasikitisha sana,


Babu DC!!
 
umejuaje kuwa siyo saizi yake mkuu,
akina mama miili inafutuka haraka
hasa tunapokuwa kwenye neema.

MUNGU AILAZE ROHO YA HUYU MAMA MAHALI PEMA PEPONI,
cha pili inawezekana vipi mtu akutukane stand ya mabasi na kujaza umati halafu umuite pembeni muongee eti hebu zunguka upande huu tuongee (hivi mnajua maana ya TEMPER ? ) BADO sikubaliani na story hii nitakachoomba hiyo picha ya huyo jamaa tuisambaze kwenye fb na yahoo atakamatwa tu, ila naye alichemka, kwa huyo Mama (samahani Nasra) ilikuwa sio saizi yake mbona angeingia tu mitaani kujipoza na hasira? (MMENISAMEHE?)
 
Nilikuwa nafatilia hili tukio kwa uchungu sana
Mpaka watoto wa marehemu walipokuwa wanahojiwa Channel 5 wakatoa ushauri kwa wanandoa acheni kusikiliza ya nje
Matatizo yenu jitahidini kusolve wenyewe bila kuingiliwa "
inasikitisha sana
 
Kuna jirani yetu nikiwa mdogo alikuwa akimpiga mkewe anamvua nguo zote afu anamtoa nje...imagine mama mwenye watoto wakubwa anatolewa nje uchi wa mnyama..na si mara moja wala mbili ndio life style yao.

Sijuhi ni nini asili ya ukatili huu.

Hata wazazi wangu walinambia NK ukiolewa na hao watu tutakupa zawadi ya sanda. Tumeishi nao sana tunawafahamu vizuri. Kupiga kuko damuni..wanapiga hata watoto wao kwa mikanda ya jeshi.

Halafu cha ajabu MUNGU atakupa mume wa huko huko....hapo sasa......
 
Nilikuwa nafatilia hili tukio kwa uchungu sana
Mpaka watoto wa marehemu walipokuwa wanahojiwa Channel 5 wakatoa ushauri kwa wanandoa acheni kusikiliza ya nje
Matatizo yenu jitahidini kusolve wenyewe bila kuingiliwa "
inasikitisha sana

Huo ndo ukweli wenyewe watu wa nje ni nuksi kwenye ndoa tena si wote wanapenda mkae kwa amani na maelewano ambayo hupelekea mafanikio!
Duh hii mbaya sana.......
 
Ee Mola tuepushe na haya Mabalaa! This is beyond one's imagination. Huyu mama kapitia mateso makali sana. Nothing can justify the torture she went through!!
 
umejuaje kuwa siyo saizi yake mkuu,
akina mama miili inafutuka haraka
hasa tunapokuwa kwenye neema.
Aika Mae (Mamndenyi), kiphfa kuworhe wamama wa kichaka waore kinu kituntu, na weich ny irunda na menya iyo
huyu jamaa bado analipa, na ninaamini kabisa huyu Marehemu (RIP) huenda ni mtaalam wa mapigo kwani hawa wakurya wanavyokutana na kina mama wa ki-Pwani wanaojua maradhi kweny shuguli huwa hatari, ndio maana jamaa akaamua wakose wote na hata huyo jamaa yake mpya
 
Huyu mwanaume hastahili kuhurumiwa ila kutokana na story yenyewe wakati mwingine sisi wanawake tunachezea kichapo...au wanasema kuuliza makofi polisi.

Mtu yeyote akiwa provoked anaweza kupoteza hali ya ubinadamu...tuchunge sana midomo na matendo yetu ili kujiepusha na unyama kama huu.

Ndugu umeongea ukweli kabisa. nakumbuka kuna jamaa alimfukuzia adui yake maeneo sita tofauti, ilipofikia eneo la saba, njemba alishindwa kuvumilia alimpa kipigo cha mbavu hadi jamaa akapoteza maisha. Mtuhumiwa alikaa rumande miaka saba, siku ya hukumu ya kesi yake ya kuua bila kukusudia jamaa akaachiwa huru!

Inauma sana unapofiwa na ndugu lakini kwa style hii, njemba hapo uzalendo ulimshinda. Lakini pia inaonekana huyu mwanamke alikuwa ni wale wenye tabia za kishankupe na ni kama bado alikuwa amemzimikia sana mumewe!
 
Huyu Bwana ni Binadamu aliwekewa roho ya mnyamapori.
nasra+mume.jpg
Asiruhusiwe kuishi jirani na binadamu yeyote!.
hii sura inafanana na hasheem thabit
 
Eee Mungu wanusuru wanawake wanaoteswa kikatili namna hii!!

Kwa leo imetosha.
 
Na akina mama ndo inaposhindikana achana naye
ukiweza hata hata mkoa, hata nchi why tena unakaa hapo hapo
tena mnatambiana kwenye vilabu vya pombe, ina maana akina mama hatuelewagi au.
 
Niko tofauti na huruma za wengi humu ndani. Huyo dada ana deserve kifo kama hiki! niiteni mtakavyo, teha bahati mbaya huko aliko sasa alipokelewa na ibilisi. Ni mwanaume gani anaweza kuvumili upuuzi wa wa hivyo? Kama umeamua kuwa na bwana mwingine kuna sababu ya kuendelea kunionyeshea? To heal, tuliobaki tunajifunza nini?

God forbide!
 
Huyu mwanaume hastahili kuhurumiwa ila kutokana na story yenyewe wakati mwingine sisi wanawake tunachezea kichapo...au wanasema kuuliza makofi polisi.

Mtu yeyote akiwa provoked anaweza kupoteza hali ya ubinadamu...tuchunge sana midomo na matendo yetu ili kujiepusha na unyama kama huu.
...Nyumba Kubwa, angalau umeongea neo hapo. Unajua wanawake wengi huwa hawajui kuwa katika mambo yote ambayo mwanaume hawezi kuyavumilia kusikia hapa duniani ni kuambiwa kuwa watoto aliozaa si wake.....Hili jambo ni baya na huwa linaumiza especially kwa mtu aliyeamini kuwa ameoa mke wa ndoa na kuwa na uhakika wa kile alichozalisha....Any way bahati mbaya sana matatizo ya namna hii ni kama mchezo wa mpira kosa linaonekana la yule mchezaji alionwa na refa hata kama alichokozwa akicheza rafu anaadhibiwa. Wale wapenzi wa soka mnakumbuka kisa cha Zinedine Zidane na Marco Materrazi....Zidane alitukanwa na kukashifiwa uvumilivu ulimpomshinda alifanya alichofanya na ulimwengu ukashuhudia analimwa red card...Ladies epukeni kuwa na midomo mikali...R.I.P Nasra.
 
sio wote Paloma, mbona mimi ni wa MARA but don't have those things, olewa tu na jamaa kama yupo siriaz, usimnyime mke jamaa kisa samaki mmoja akioza wameoza wote,

Duh!
eti eeh.....ngoja niendelee kufikiria labda yeye hajaoza bado.............asante kwa ushauri Stineriga
 
STORY YA BABU DC HII HAPA JUU YA KISA HIKI


Ndugu wadau wa jukwaa letu tukufu,

Kama mtakumbuka, week iliyopita nilirusha thread iliyokuwa inaripoti kisa cha Nasra Mohamedi wa Bunda aliyegongwa kwa gari na mume wake na kuburuzwa kama mita 100 hivi. Story yenyewe hii hapa:

Nasra Mohamed: Ukatili na unyanyasaji uliovuka mipaka!


Hivi karibuni, nimepata bahati ya kuongea na mtu ambaye alikuwa maeneo yale ya tukio ingawa hakushuhudia live jinsi tukio livyotokea. Hata hivyo ameweza kunipatia story za ndani kuhusu mkasa wenyewe.

Inasemekana kuwa Nasra na mume wake walikuwa na ndoa nzuri sana. Ilikuwa ni couple ya kupigiwa mfano. Hata hivyo, mume wa Nasra alipitiwa na shetani akatembea nje ya ndoa; na kwa bahati mbaya Nasra alimfumania. Baada ya tukio hilo, ndoa yao haikuwa na amani tena; na Nasra aliamua kutafuta mwanamume wa nje na kutembea naye wazi wazi. Hatimaye walitengana ila Nasra aliendelea kumfuata fuata mume wake kwa kumuonyesa wazi wazi kwamba anatembea na huyo bwana wake mpya. Inasemekana mume wake ni mpole sana na alijitahidi kumpuuza. Hata hivyo vituko vilizidi kiasi kwamba mume alikuwa anafuatwa hata kwenye baa anakoenda. Na mara zote, Nasra alikuwa akifika na huyo bwana mpya. Na kwamba, alifikia mahali pa kukaa meza ambayo iko karibu na mume wake ili amkere. Pia alianza kufanya vituko ili mume wake wa zamani amfumanie, ili naye aumie kama ilivyotokea kwake!

Inasemekana pia kwamba Nasra alifungua kesi mahakamani kuomba talaka na kwamba wagawane mali za ndoa. Taarifa zinasema kwamba, kabla ya kutengana, mume alikuwa amemnunulia Nasra gari. Pia wakati wanatengana, mwanamke aliondoka na pesa za mume kiasi cha shilingi 10mil. Haya yalizidisha uchungu kwa mume ambaye alianza kuwaambia marafiki zake kwamba atamuua huyo mke kisha naye ajiue.

Siku ya tukio, inasemekana Nasra alimkuta mume wake standi ya bus Bunda na kuanza kumtukana matusi machafu sana, tena mbele ya watu wengi waliokuwepo hapo. Baadhi ya mambo aliyomkashifu ni kwamba mume huyo hana nguvu za kiume za kutosha na pia kuwa watoto waliozaa si wake! Inasemekana yule baba aliondoka kwa muda ili kuepuka shari za mke wake. IHata aliporudi tena baada ya muda kidogo, bado Nasra aliendelea kumtukana. Ndipo mwanamume akamuita apite upande wa pili wa gari ili waongee (wakati wote huo, yule baba alikuwa kwenye gari), na hapo hapo mwanamume aliondoa gari na kumburuza hadi karibia na kituo cha polisi. Alipofika hapo, akamtelekeza pomoja na gari na kupotelea kusikojulikana.

Kwa ufupi, huo ndio upande mwingine wa hili tukio ambalo kweli linasikitisha sana,


Babu DC!!

mhh,ila nae alikuwa mjeuri!mungu amrehemu
 
Back
Top Bottom