Nasra Mohamed: Ukatili na unyanyasaji uliovuka mipaka!

Huyu Bwana ni Binadamu aliwekewa roho ya mnyamapori.
nasra+mume.jpg
Asiruhusiwe kuishi jirani na binadamu yeyote!.
Picha inamdefine mwanzo mwisho...
 
Hivi ni kwa nini asilimia kubwa ya watu wa mkoa wa Mara ni wakatili??is it just nature au kuna sababu nyingine inayowapelekea wao kuwa hivyo?
 
Hili ni mojawapo ya matatizo ya kuwa muaminifu 100% kwenye ndoa, inapotokea mwenzako ame-cheat huwa inauma vibaya mno. Huyo mama inawezekana alikuwa muaminifu mno, hivyo baada ya kugundua mme wake amem-cheat akachanganyikiwa akawa anajaribu kufanya kila maudhi ili mwanaume nae aumie kitu ambacho kimemletea matatizo mengine.
RIP Nasra.
 
R.I.P da Nasra na wewe mwanaume uliyefanya huu unyama utajibu siku ya mwisho na isitoshe hapo ulipo tayari unateseka na hii dahambi. wanawake tuna dispute kubwa sana juu ya mahusiano NI KUMWOMBA MUNGU ATUPE UFAHAMU WA KUTAMBUA MAPEMA KUWA ULIENAE NI MNYAMA SIO BINADAMU.
 
Jamani nakumbuka Thread kuhusu hii Issue iliwahi kuwekwa hapa na Dark City(Babu DC) kumhusu huyu Mwanamke aitwaye Nasra wa Bunda,Mara aliefanyiwa kitendo cha kikatili na Mumewe ambapo alimgonga na Gari kisha kumburuta umbali wa KM 150 katika barabara ya Lami. Hizi ni picha zake nimezitoa Blog ya Dina Marios.
Nasra ameshafariki, Tuombe Mungu amlaze mahali pema peponi.
Dah Wanaume wenzangu this is too much!!


Wiki iliyopita tuliongea katika leo tena juu ya kisa cha Marehemu Nasra pichani.Mama huyu alikuwa mkazi wa Bunda mkoani Mara lakini Dar es salaam alifika kufanya matibabu katika hospital ya Muimbili.Kwa miaka takribani 23 alikuwa mke wa bwana Elia Makumbati na kujaaliwa kupata watoto wanne mkubwa kabisa yupo chuo kikuu cha UDOM.Kwa miaka yote wamekuwa na misuko suko sana kwenye ndoa mama akiwa anapigwa sana hata kuchanwa na viwembe.
Mwezi wa pili walitofautiana baada ya bwana kuoa mke mwingine.Wakiwa wametofautiana na Nasra kuendelea na maisha siku hiyo bwana akamfata akamkuta barabarani anatoka kazini.Akiwa na rafiki yake wanatembea akamfungia breki mguuni akamwambia anataka kuongea nae.Nasra akakataa akamwambia kama kuna maongezi hawezi kuongea nae kama vipi amfate nyumbani huku anaendelea kutembea.Bwana yule akamfata kwa nyuma akamgonga na gari na baada ya Nasra kuanguka akanasa chini hivyo kuendelea kumburuza umali wa kama mita 150 hivi.Alipofika kwenye tuta akanasuka bwana ndio kushuka kwenye gari kukimbia.
Kiukweli aliumia sana sana ngozi yote ya mgongoni,mbavuni,makalio,ikavuka na kubaki kwenye lami.Sikio lake la kushoto lote likaliwa na lami,mbavu 7 zilivunjika pamoja na mguu.Akapelekwa hospitali na baadae kulazwa Bugando Mwanza lakini ikawa anahitajika kuhamishiwa hospital ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.Akiwa muhimbili alikuwa na hali mbaya sana baadae ikathibitika kuwa ameumia ndani kwa ndani kwani alibadilika sana akavimba na kuwa mweusi.Kwamuda wote wa miezi takribani sita alikuwa katika maumivu makali na bahati mbaya hakuweza kupambana tena kupigania maisha yake.

Nasra pichani kulia mwenye kilemba chekundu akiwa na ndugu zake wakati akiwa mzima.


Usiku wa kuamkia jumanne ya tarehe 10 Nasra akaaga dunia.Ilikuwa ni huzuni sana jinsi alivyoteseka na namna mazingira ya kifo chake kilivyotokea.Tulikuwa na matumaini kuwa angeweza kupona maana dakika za mwisho alikuwa anaongea japo kwa shida.
Tunaomba mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu Nasra mahala pema peponi,Amina.
Hii ni picha ya muwewe Elia Makumbati ambae mpaka sasa anatafutwa na jeshi la polisi kwa kitendo cha kinyama alichokifanya.Jeshi la polisi mkoani Mara wanafanya juhudi za kila namna kumkamata lakini amekuwa akikimbia mara aonekane Kenya,Botswana na kwengineko lakini bado hajakamatwa.Kwa utakae muona usisite kutoa ripoti zake.Mpaka askari wa upelelezi wa kimataifa interpol ina taarifa zake.
Ni mita mia hamsini mdau,yaan huyu jamaa hajakamatwa hadi leo,wakat mkenya wa KOVA AMEKAMATWA?
 
Some people are alive just because it is illigal to kill them mtu Kama Huyu aifai kabisa kuitwa binadamu wa kawaida huyu ni shetani aisee!!!!! I complitly hate him!
Jamani nakumbuka Thread kuhusu hii Issue iliwahi kuwekwa hapa na Dark City(Babu DC) kumhusu huyu Mwanamke aitwaye Nasra wa Bunda,Mara aliefanyiwa kitendo cha kikatili na Mumewe ambapo alimgonga na Gari kisha kumburuta umbali wa KM 150 katika barabara ya Lami. Hizi ni picha zake nimezitoa Blog ya Dina Marios.
Nasra ameshafariki, Tuombe Mungu amlaze mahali pema peponi.
Dah Wanaume wenzangu this is too much!!


Wiki iliyopita tuliongea katika leo tena juu ya kisa cha Marehemu Nasra pichani.Mama huyu alikuwa mkazi wa Bunda mkoani Mara lakini Dar es salaam alifika kufanya matibabu katika hospital ya Muimbili.Kwa miaka takribani 23 alikuwa mke wa bwana Elia Makumbati na kujaaliwa kupata watoto wanne mkubwa kabisa yupo chuo kikuu cha UDOM.Kwa miaka yote wamekuwa na misuko suko sana kwenye ndoa mama akiwa anapigwa sana hata kuchanwa na viwembe.
Mwezi wa pili walitofautiana baada ya bwana kuoa mke mwingine.Wakiwa wametofautiana na Nasra kuendelea na maisha siku hiyo bwana akamfata akamkuta barabarani anatoka kazini.Akiwa na rafiki yake wanatembea akamfungia breki mguuni akamwambia anataka kuongea nae.Nasra akakataa akamwambia kama kuna maongezi hawezi kuongea nae kama vipi amfate nyumbani huku anaendelea kutembea.Bwana yule akamfata kwa nyuma akamgonga na gari na baada ya Nasra kuanguka akanasa chini hivyo kuendelea kumburuza umali wa kama mita 150 hivi.Alipofika kwenye tuta akanasuka bwana ndio kushuka kwenye gari kukimbia.
Kiukweli aliumia sana sana ngozi yote ya mgongoni,mbavuni,makalio,ikavuka na kubaki kwenye lami.Sikio lake la kushoto lote likaliwa na lami,mbavu 7 zilivunjika pamoja na mguu.Akapelekwa hospitali na baadae kulazwa Bugando Mwanza lakini ikawa anahitajika kuhamishiwa hospital ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.Akiwa muhimbili alikuwa na hali mbaya sana baadae ikathibitika kuwa ameumia ndani kwa ndani kwani alibadilika sana akavimba na kuwa mweusi.Kwamuda wote wa miezi takribani sita alikuwa katika maumivu makali na bahati mbaya hakuweza kupambana tena kupigania maisha yake.

Nasra pichani kulia mwenye kilemba chekundu akiwa na ndugu zake wakati akiwa mzima.


Usiku wa kuamkia jumanne ya tarehe 10 Nasra akaaga dunia.Ilikuwa ni huzuni sana jinsi alivyoteseka na namna mazingira ya kifo chake kilivyotokea.Tulikuwa na matumaini kuwa angeweza kupona maana dakika za mwisho alikuwa anaongea japo kwa shida.
Tunaomba mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu Nasra mahala pema peponi,Amina.
Hii ni picha ya muwewe Elia Makumbati ambae mpaka sasa anatafutwa na jeshi la polisi kwa kitendo cha kinyama alichokifanya.Jeshi la polisi mkoani Mara wanafanya juhudi za kila namna kumkamata lakini amekuwa akikimbia mara aonekane Kenya,Botswana na kwengineko lakini bado hajakamatwa.Kwa utakae muona usisite kutoa ripoti zake.Mpaka askari wa upelelezi wa kimataifa interpol ina taarifa zake.
 
Last edited by a moderator:
we r ol not perfect but ths guy is impafectooo........ God nimekuuthi plz niache niende na maisha yangu
 
kipi bora uolewe na tajiri utesekee au maskini upate furaha? kupanga ni kuchagua......dada zangu kuweni makini
 
jamani kusema kweli huyu jamaa anastahili adhabu kama aliyompa mke wake, yaani na yeye aburuzwe na gari vivyo hivyo! wanaume wa mkoa huu cjui tuko vp japo si wote, ukweli ni kwamba, ukosefu wa elimu ndio hasa tatizo linalo sababisha yote haya! rest in peace sister nasra!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom