chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,118
- 22,505
Too much make up
Au ndio yule babu kijana
Nshamjua mkuu I was just teasingAcheni kuhangaika ' Kunichokonoa ' ili niwatajieni Jina lake tafadhali. Kama mmeshindwa Kumjua hapo katika maelezo yangu acheni Kunisumbua. Mtu yoyote wa mpira hasa huu wa Kibongo kwa na ambaye ni Mtu wa ' Kujichanganya ' mno na Wachezaji wa Kitanzania lazima tu atakuwa ameshanielewa na pia ameshamjua Mhusika niliyemuongelea hapo. Yaani nawashangaeni kweli ' Fumbo ' jepesi sana hilo limewashinda.
Ulikua hujui mkuu?
dahUlikua hujui mkuu?
Julio yupiUlikua hujui mkuu?
Ni nani huyo mkuu?
Acheni kuhangaika ' Kunichokonoa ' ili niwatajieni Jina lake tafadhali. Kama mmeshindwa Kumjua hapo katika maelezo yangu acheni Kunisumbua. Mtu yoyote wa mpira hasa huu wa Kibongo kwa na ambaye ni Mtu wa ' Kujichanganya ' mno na Wachezaji wa Kitanzania lazima tu atakuwa ameshanielewa na pia ameshamjua Mhusika niliyemuongelea hapo. Yaani nawashangaeni kweli ' Fumbo ' jepesi sana hilo limewashinda.
Msaada tutani,
Ntapataje contact zake? Kuna kazi nahitaji kufanya naye.
Shukrani!!
Wamaanisha MaliNimeshafumba kama hamjui Kufumbua basi hayo yatakuwa ni matatizo yenu.
Nikishaandika neno ' naomba niishie hapa tafadhali ' na ukaona naliwekea rangi Nyekundu jua ni jambo ' Nyeti ' mno halafu sitaki tena niulizwe niendelee mbele zaidi. Ukiwa makini na kuelewa nilichokiandika hapo nadhani huyo Mtu unayetamani kumjua nimeshamtaja na ungekuwa Mtu wa mpira kabisa mpaka sasa ungekuwa umeshamjua kwani ndiyo anajulikana kwa kuwa ' Kinara ' wa ' Kuwabandulia ' Wachezaji wa Bongo / Tanzania Wake / Mademu zao hasa wao wanapokuwa Kambini. Ni Mlezi mzuri sana wa Wachezaji hasa wanapokuwa na shida zao ila hupenda kujilipa Fadhila zake kwa ' Kuwabandulia ' Wapenzi wao.
Huyu unayemzungumzia atakuwa ni bwana qaburou tu hamna namnaNikishaandika neno ' naomba niishie hapa tafadhali ' na ukaona naliwekea rangi Nyekundu jua ni jambo ' Nyeti ' mno halafu sitaki tena niulizwe niendelee mbele zaidi. Ukiwa makini na kuelewa nilichokiandika hapo nadhani huyo Mtu unayetamani kumjua nimeshamtaja na ungekuwa Mtu wa mpira kabisa mpaka sasa ungekuwa umeshamjua kwani ndiyo anajulikana kwa kuwa ' Kinara ' wa ' Kuwabandulia ' Wachezaji wa Bongo / Tanzania Wake / Mademu zao hasa wao wanapokuwa Kambini. Ni Mlezi mzuri sana wa Wachezaji hasa wanapokuwa na shida zao ila hupenda kujilipa Fadhila zake kwa ' Kuwabandulia ' Wapenzi wao.