Nasomaje sms za laini iliyopo ndani ya pocket wifi

Nasomaje sms za laini iliyopo ndani ya pocket wifi

Mechanic 97

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
1,068
Reaction score
1,491
Wakuu poleni na majukumu naomba mrejee kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu. Ni hivi nahitaji niweze kuzisoma kupitia android tablet niitumie mbinu gani?
 
Usimfuatilie sana huyo binti .hizo meseji unazozitafuta zitakutoa kihoro kijana

Acha wenye pesa wamdodose nakumtumia meseji za malavi davi
 
Usimfuatilie sana huyo binti .hizo meseji unazozitafuta zitakutoa kihoro kijana

Acha wenye pesa wamdodose nakumtumia meseji za malavi davi
Unafikiri mm Nina mapengo kama wewe 😄😄😄 Mimi napendwa wewe. hata hivyo nataka niwe naona sms za vifurushi
 
Screenshot_20260830-121744.png
nimeishia hapo
 
Back
Top Bottom