Nasikia wanaume hawana michepuko kabisa siku hizi. Je, ni kweli?

Ah wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unauma meno kimiya kimiya kwa kuwa madanga yako yote yanakukwepa ktk utawala huu eeh?
 
mimwenyewe nimeona.bora nirudi njia kuu manaa.ukipiga hesabu kwanzia.gest bapa.malipo yake na nauli unaona bora ukalipie DSTV uwe unangalia.hata mpira wikendi huku ukivizima.mama yoyo maana kunamichepuko mingi ibaki na jina tuu ila.kazi haiwezi inazidiwa na nyumba kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michepukoo gharama aisee..
Imebdi wale block tuu Shikamoo Magu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni kweli kabisa magu katunyoosha sisi wanaume ndio maana siku hizi hata makahaba tunawagonga kwa buku buku badala ya elf 30 tena
 
Mtu anaeitwa Mwanaume sio wa mchezo mchezo dada angu hata awe na mia mfukoni kama kadhamilia kadhamilia tu labda aamue sitaki mchepuko pia madem classic ndo ataachana nao
 
Unauma meno kimiya kimiya kwa kuwa madanga yako yote yanakukwepa ktk utawala huu eeh?
Danga ndo Nani?
Njoo YouTube kama unanijua lkn... uone kama kuna Sura ya danga pale
We sema huwezi miliki Michepuko yaishe.. wanaume wakitz mmefulia mbayaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…