Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,689
- 14,596
- Thread starter
- #61
Anko usitafute matusi na money penny unaweza aga JF mwenyewe bila kupenda
Mxiuuu
Nilitaka CCM unakatika kidole au unapata ulemavu
Acha umama kabla sijakunyoosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anko usitafute matusi na money penny unaweza aga JF mwenyewe bila kupenda
Huna Ngoma shememji kweli?Daahh nilishakuw na michepuko mitano na wife wa 6 daaahh nilichokuw naambulia siku zote ni kuambukizw tu magonjw ya zinaa!na mi naambukiza wote iwe kisonono au UTI mwisho nikaamua tujitib na wife kisha tubaki wenyewe.nashkuru pasi haikutupitia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sanaWife to be ananitosha hata kabla nchi haijawa juu chini.
Sina tupo salama kbs na mama rayan wngHuna Ngoma shememji kweli?
Ha ha haHongera sana
Wanaume wachache kama wewe wanatumiaga akili
"Tukiwa katika wakati wa kunyooshwa tunyooke...
Sasa hivi wanaume wengi hawana Michepuko Kabisa!
Yani mwanaume mwenye mshahara WA kawaida Tu kutoa hela yake akampe Michepuko wakati ana watoto wanaodaiwa ada shuleni imekuwa ngumu sana
Michepuko nayo ina gharama yake lakini!, zile chenji za zamani zilikuwa zinapatikana patikana ovyo Nchini sasa hivi hazipo tena
Unafanya KAZI unapata Haki yako... Unafanya biashara unapata halali yako.. usipofanya KAZI hupati kitu
Tunamshukuru Sana Raisi wetu Mzuri Kwa Juhudi zake za kunyoosha Waume zetu waliopinda Miaka Mingi hapo Nyuma (2005-2015)... Sisi kina Mama na Wake Halali wa ndoa tunaona kabisa Jinsi gani Waume wetu walivyonyooka... tunayaona Maendeleo nyumbani na Heshima ya ndoa Imerudi Kwa Kasi kubwa sana sasa!
Tunamwomba Mheshimiwa Raisi wetu Aendelee Kutunyoosha Mpaka mwisho, waswahili wanasema Samaki Mkunje angali Mbichi Ila Waume zetu waliogoma kukunjika sasa wamenyooka wenyewe bila mafuta au grisi"
... Alijisemea Dadangu Leo mchana alipokuwa anapata Lunch pale Mbezi Beach njia ya chini Kwa Zena!
Naskia Waume za watu (Wanaume wengi sikuhizi ) hawana Michepuko kabisa, Je NI kweli? NI kweli?
We kenge kweli punguza stress za kukwama kimaishaAnko usitafute matusi na money penny unaweza aga JF mwenyewe bila kupenda
Mxiuuu
Nilitaka CCM unakatika kidole au unapata ulemavu
Acha umama kabla sijakunyoosha
Michepukoo gharama aisee.. Imebdi wale block tuu Shikamoo Magu..mimwenyewe nimeona.bora nirudi njia kuu manaa.ukipiga hesabu kwanzia.gest bapa.malipo yake na nauli unaona bora ukalipie DSTV uwe unangalia.hata mpira wikendi huku ukivizima.mama yoyo maana kunamichepuko mingi ibaki na jina tuu ila.kazi haiwezi inazidiwa na nyumba kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
huwezi kula mchicha daily.....hata tembele once in a month....ruksa....mwanaume ni yule yule....kama jogoo, kama beberu....Lete risiti ya maskini tuthaminishe 😂😂😂
Huna jipya
Acheni asanyooshe
"Tukiwa katika wakati wa kunyooshwa tunyooke...
Sasa hivi wanaume wengi hawana Michepuko Kabisa!
Yani mwanaume mwenye mshahara WA kawaida Tu kutoa hela yake akampe Michepuko wakati ana watoto wanaodaiwa ada shuleni imekuwa ngumu sana
Michepuko nayo ina gharama yake lakini!, zile chenji za zamani zilikuwa zinapatikana patikana ovyo Nchini sasa hivi hazipo tena 😂😂😂
Unafanya KAZI unapata Haki yako... Unafanya biashara unapata halali yako.. usipofanya KAZI hupati kitu
Tunamshukuru Sana Raisi wetu Mzuri Kwa Juhudi zake za kunyoosha Waume zetu waliopinda Miaka Mingi hapo Nyuma (2005-2015)... Sisi kina Mama na Wake Halali wa ndoa tunaona kabisa Jinsi gani Waume wetu walivyonyooka... tunayaona Maendeleo nyumbani na Heshima ya ndoa Imerudi Kwa Kasi kubwa sana sasa!
Tunamwomba Mheshimiwa Raisi wetu Aendelee Kutunyoosha Mpaka mwisho, waswahili wanasema Samaki Mkunje angali Mbichi Ila Waume zetu waliogoma kukunjika sasa wamenyooka wenyewe bila mafuta au grisi" 😂😂
... Alijisemea Dadangu Leo mchana alipokuwa anapata Lunch pale Mbezi Beach njia ya chini Kwa Zena!
Naskia Waume za watu (Wanaume wengi sikuhizi ) hawana Michepuko kabisa, Je NI kweli? NI kweli?
Hongera sana
Uzuri wangu umeuona wap?Ha ha ha
Lakini ukiwa na mtoto mzuri kama wewe pembeni daaaaah uzalendo unaweza kukushinda,tunajikaza tuu.
Una Michepuko mingap?
Danga ndo Nani?Unauma meno kimiya kimiya kwa kuwa madanga yako yote yanakukwepa ktk utawala huu eeh?