Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
- Thread starter
- #81
Pole mdogowanguMaisha kwa sasa si rafiki kabisa.
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Tunarudi Enzi za Adam na hawa walipolaaniwa wakaondolewa bustani ya Eden 😂😂
Pole mdogowanguMaisha kwa sasa si rafiki kabisa.
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Hahahahahmimwenyewe nimeona.bora nirudi njia kuu manaa.ukipiga hesabu kwanzia.gest bapa.malipo yake na nauli unaona bora ukalipie DSTV uwe unangalia.hata mpira wikendi huku ukivizima.mama yoyo maana kunamichepuko mingi ibaki na jina tuu ila.kazi haiwezi inazidiwa na nyumba kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naanzaje kukwama kimaisha wakati siishi Africa?
Hahahaha
DuuuuuuuuuNaanzaje kukwama kimaisha wakati siishi Africa?
Yani umedoda Sana aunty nikusaidie uje Ulaya ujiuze maana Tz hamna soko lazima ufanye KAZI utoke jasho ndio upate senti ya Kula
SHikamoo Ngosha endeleea kutunyoosha
Mnatia huruma wanaumehuwezi kula mchicha daily.....hata tembele once in a month....ruksa....mwanaume ni yule yule....kama jogoo, kama beberu....
Akina Kaka wengine wameshaota maziwa bestDuuuuuuuuu
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Tunatia huruma kwa lipi bibie?Mnatia huruma wanaume
Bora mumrudie Mungu Tu yaishe
Ukimwi Oyeeeni kweli kabisa magu katunyoosha sisi wanaume ndio maana siku hizi hata makahaba tunawagonga kwa buku buku badala ya elf 30 tena
Kuwa na huruma plz!Akina Kaka wengine wameshaota maziwa best
Ndio tunawanyoosha kama hivi
Vurugu za Michepuko ya Miaka 10 ya nyumba haupo tenaTunatia huruma kwa lipi bibie?
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Kaamua kufanya vita na Money Penny ngoja tuone atafika wapKuwa na huruma plz!
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Nani aunty mbalawala mmoja wewe. Hizo stress zitakuua. Kwanza sibishani na mtu anayekojoa akiwa kachuchumaa.Naanzaje kukwama kimaisha wakati siishi Africa?
Yani umedoda Sana aunty nikusaidie uje Ulaya ujiuze maana Tz hamna soko lazima ufanye KAZI utoke jasho ndio upate senti ya Kula
SHikamoo Ngosha endeleea kutunyoosha😂😂😂
Mademu Classic sasa hivi wanaonekana kama Malaika SA hivi mtaaniMtu anaeitwa Mwanaume sio wa mchezo mchezo dada angu hata awe na mia mfukoni kama kadhamilia kadhamilia tu labda aamue sitaki mchepuko pia madem classic ndo ataachana nao
Sasa ninyi si mpo wengi!Tushukuruni kwa kile tukifanyacho basiiVurugu za Michepuko ya Miaka 10 ya nyumba haupo tena
Mmekuwa na discipline balaa ... Jeuri imekwisha kama sio nyie
Anti pole wa kukufira hayupo minyege imekujaa kama simtank la Lita 5000Nani aunty mbalawala mmoja wewe. Hizo stress zitakuua. Kwanza sibishani na mtu anayekojoa akiwa kachuchumaa.
Precisely wingi WA wanawake haunihusu kabisaSasa ninyi si mpo wengi!Tushukuruni kwa kile tukifanyacho basii
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Anza leo wewe basi ututumie kapicha tukuone kidume!Huko ni kujidanganya, hata hali iwe ngumu vipi wanaume hawatoacha kuchepuka.
Hii ndio habari ya mjiniReport mpya 🤣