tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,122
- 534
Wana JF jana saa moja na nusu jioni best bite namanga nilipata ajali.
nilikuwa na drive kuelekea morocco ikatokea gari kwenye barabara
inayo tokea pembeni ya best bite ilikuwa mbio sana na ikanigonga
tairi la nyuma na gari yangu ika over turn na gari iliyo nigonga ikakimbia.
Nashukuri nilitoka salama na nina michubuko na nimeumia jicho la kulia.
Nimeruhusiwa hospitali leo jioni.Seat belt muhimu sana kuitumia la sivyo
ingekuwa habari nyingine.Roof ya gari iikuja chini levo ya seat
Nime log in kutumia jicho moja,JF kiboko
nilikuwa na drive kuelekea morocco ikatokea gari kwenye barabara
inayo tokea pembeni ya best bite ilikuwa mbio sana na ikanigonga
tairi la nyuma na gari yangu ika over turn na gari iliyo nigonga ikakimbia.
Nashukuri nilitoka salama na nina michubuko na nimeumia jicho la kulia.
Nimeruhusiwa hospitali leo jioni.Seat belt muhimu sana kuitumia la sivyo
ingekuwa habari nyingine.Roof ya gari iikuja chini levo ya seat
Nime log in kutumia jicho moja,JF kiboko