Jinsi ya kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,497
5,533
Kila Mtu anao ufunguo wake.Unaweza kuutumia ufunguo wako kwa kujifungia au kujifungulia fursa.

Moja kati ya changamoto kubwa ni uwezo wa kuwa sehemu sahihi,kwa wakati sahihi kwa ajili ya fursa sahihi.Hii condition lazima itimie ili mtu aweze kupiga hatua ya kimaendelea katika maisha au jambo lolote.

Wengine hujikuta wako sehemu sahihi ila wakati sio sahihi na wengine hujikuta wakti ni sahihi ila hawako sehemu sahihi.Hii huwapelekea kupishana na fursa au kama wanvosema watoto wa mjini Kupishana na gari la mshahara.

Swali la msingi la kujiuliza ni JE unaweza kuchukua hatua ya kukuwezesha kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi?Jibu la swali hili Ni ndio ila inahitajika uchukue hatua madhubuti na ubadili kabisa mfumo wako wa maisha pamoja na mtazamo wako kuhusu watu na matukio na hata kuhusu wewe mwenyewe.

Huwa napenda kutoa ushauri rahisi sana kwa vijana kwamba "Opportunities are directly proportional to human potentials,The more potentials you have the more opportunities you will have so the best thing you can do is investing in your human potentials and the right opportunities will be shown to you"

Kwa ufupi ni kwamba ili uweze kuwa katika sehemu sahihi kwa wakati sahhi ni lazima uwe mtu wa wakati wote na sio mtu wa sehemu zote."Be Current,Be Uptodate,Learn,learn and learn" Ninaposema learn simaanishi ukusanye makaratsi AKA vyeti,NO namaanisha JIFUNZE na upate REAL knowledge makaratsi unachapisha TU.

Sasa what is REAL KNOWLEDGE? Real Knowlege is knowledge that has the potential of impacting your life and the life in your community,Any other knowledge is not REAL knowledge. REAL knowledge inapatikana katika POSTS kama hizi kwenye JF,social media,blogs,wikipedia,you tube etc.Unaweza pia kujifunza kutoka katika Jamii inayokuzunguka na kuhakikisha kwamba unakuwa na hazina ya maarifa na taarifa za kutosha.KUMBUKA kadiri unavokuwa na maarifa na ujuzi ndio kadiri unaweza kuona fursa.

Kuna mbinu nyingine kama vile kutengeneza aina sahihi ya NETWORK an pia kuwa na mtazamo CHANYA yaani UITAZAME FURSA kwa jicho sahihi kwa sababu Pale ambapo wenzio wanaona matatizo wewe unaweza kuona FURSa kama ukitazama kwa usahihi.

Karibuni tujadili zadi juu ya namna bora ya kuweza kuona FURSA na kuzitumia na ZAIDI namna bora ya kuhakikisha kuwa upo sehemu sahihi kwa wakati sahihi.

Karibuni
 
🙏“You will hardly find wrong people at right places. Choose to be at the right places and you will find the right people who will inspire you to make it happen!”
― Israelmore Ayivor



✍️“When the time is right, life will have a meaning.
When the time is right, world will be bright again.
When the time is right, things will fall into place.
Just remember, never regret.”
― Akash Lakhotia



👄“If you want to speak the right, speak at the right time”
― Dr.P.S. Jagadeesh Kumar



⏰“When a door slams right in front of you, don't stress, because not every door is meant for you. The right doors will open for you, at the right time.”
― Gift Gugu Mona



🙏“Maana halisi ya ukarimu si kutoa vitu au mali nyingi kwa watu wanaohitaji msaada, bali ni kutoa vitu au mali hizo bila kinyongo au unafiki wowote. Ukarimu unapaswa kutolewa kwa watu sahihi, wakati sahihi, kiasi sahihi na kwa moyo mmoja bila kinyongo chochote. Ukitoa kwa lengo la kupata faida, huo ni ubinafsi na unafiki mkubwa.”
― Enock Maregesi 🙏



💪“At the right time, at the right place, God will show up. Do not give up now.”
― Gift Gugu Mona,



🤦‍♀️“It is always the wrong time to meet the wrong person.”
― Mokokoma Mokhonoana




⏰“Stop Waiting for The Perfect Time.
Right time never comes.
You can create it.

In Hindi language :
सही समय का इंतजार करना बंद करें। सही समय कभी नहीं आता है। आप इसे बना सकते हैं।

In Odia language :
ଠିକ୍ ସମୟ ପାଇଁ ଅପେକ୍ଷା କରିବା ବନ୍ଦ କରନ୍ତୁ |
ସଠିକ୍ ସମୟ କେବେ ଆସେ ନାହିଁ | ଆପଣ ଏହାକୁ ସୃଷ୍ଟି କରିପାରିବେ”
― Srinivas Mishra


Amazing inspiration Quotes.
 
Siku zote kwenye maisha penda kuanza na kidogo kisha baada ya hapo endelea kukua pia ni vyema kuwa na malengo ya muda mrefu hii hasa ni kwa vijana kwani itakuepusha kuingia kwenye tamaa za mafanikio ya muda mfupi ambazo zinaweza kukuingiza kwenye tabia zisizofaa kama uwizi.

Muhimu ni kuangalia fursa, then amtangulize MUNGU halafu jiamini, usipende vikubwa saana hichohicho kidogo anza nacho na komaa nacho.

"ALL THE BEST"
 
vijana wengi fursa wamezikalia tuh
Tusipende sana kulaumu, jaribu kuzielezea mfano wa hizo fursa ambazo wewe umeziona kwenye mazingira yako, hii itasaidia kuwafumbua macho vijana kwenye maeneo mengine. WaPo vijana wengi wenye "business aidea" nzuri lakini wanashindwa wataanzaje kutokana na Changamoto mbalimbali hasa umasikini..
 
Back
Top Bottom