Wenzie tunazikimbia stress yeye anajifikiria jinsi ya kuendelea kumhifadhi msaliti..... Sasa ili amhifadhi vizuri amuoe tuuMkuu usiwe Kama mtu Mpumbavu, Zuzu ambaye hujielewi, unamfumania mwanamke 2 times kabla ya ndoa hafu unakuja kuuliza ujinga hapa!!?
Sku hizi naona unatumia kiswahili safiWeka kwenye mzani maumivu ya kumpoteza, na uoga wa kuendelea naye. Kitachozidi ndio maamuzi ya kuchukua.
Mapenzi ni kupendana c kupenda wewe umependa mwenzio anapita ndio tatizo lenu vijana Ukiona binti mrembo ukimtongoza unaanza mipango ya maisha bila kujua yeye anatakaje
Mkuu hamna mke hapo ,mke gan mtarajiwa anaamua kutoa mimba bila kukujulisha kama kweli ni yako? Vinginevyo ilikuwa ya mwingine hivyo aliona mtoto atamuumbua kwa kutofanana na ww so akaamua alichofanya. Mbona mabinti wengi tu wanojielewa unahangaika na huyo malaya wa nn wakati hadi umemfumania twice bado unaomba ushauri? Kwel wana JF tuna kazHabari wakuu. Mimi ni kijana, nina kazi nzuri tu inayoniingizia kipato cha kutosha.. Nina mpnz wangu ambae tulianza mahusiano nae mwezi March mwaka huu. Nilipanga yeye ndo aje kuwa mke wangu siku moja. Ila toka niwe nae sijawahi kuhisi raha ya mapenzi . Nliwah kugundua ana mahusiano mengne na watu wengine na pia kumfumania mara mbili na wanaume tofauti ila mara zote nimekuwa nikimsamehe akiomba msamaha.. Kilichonisukuma niandike uzi huu ni kitendo cha yeye kutoa ujauzito wangu wa miezi 3(japo sina hakika sana kama ulikuwa wangu) na tulikuwa tumeelewana kuulea. Nataman sana niachane nae ila kila nikijaribu kufanya hivyo najikuta naumia zaidi. Naomba ushauri nifanyeje kwan naogopa kuendelea nae kwa kuogopa makubwa zaidi