Nashndwa kumuacha licha ya yote haya

Nashndwa kumuacha licha ya yote haya

Nakuelewa sana coz nimewahi kuwa kwenye situation kama yako.
Lakini we mpige chini tu ndo solution huyo hiyo ni tabia yake hataacha. Kuumia utaumia sana lakini ni bora mara mia kuliko maumivu utayoendelea kuyapata kwa kuendekeza ujinga wa i cant let her Go.
 
Huyo demu namjua.. Moja ya watu tuliyekuwa nae ni mm. Usichokijua n kwamba mm nilianza nae kabla yako. Ila nikanyoosha mikono juu. Huyo ana pepo linamsumbua. Wala hana mapenzi ya kweli. Huwa anakudanganya kwa machozi yake, ukimfumania huwa analia sana ili umsamehe. Mm alinipa ugonjwa wa moyo mpaka leo sina hamu nae tena. Na ww ndgu yangu kuwa Makini.. Fanya maamuzi mapema. Mwenzio mm najuta kwa kuchelewa kufanya maamuzi.
 
ahaaaa koma, kazi gani hiyo nzuri na hicho Kipato wakati huwezi kuoa? oh ulitaka azae mlee akiwa kwao? wew ni wakiume?

Kwa mwendo huowa kupachika mimba ndoa hutaki kazana watazitoa mimba zako/zenu nyingi tuuu.
 
Anatoa mimba kwa kuwa hana uhakika na baba mtoto ni yupi. Kama una Mpango wa kuoa changudoa endelea naye. Kitendo cha kuhakikisha tu ana mabwana kinanitosha kumtupa kule.
 
Inamana unashindwa kumuacha ??? Kwani ulimkuta na bikira????
 
Ha ha ha hivi kenge hadikii kumbe
Wanasema hasikii mpaka damu zimtoke, sasa ndugu yangu anang'ang'ania mahusiano na MTU asiyemjali bora aachane nae tu,haya mambo hayalazimishwi
 
Pole sana lakin endelea kumchunguza ukiona tabia yake inazidi kukuchanganya achana nae kwani atakufanya ushindwe kufanya mambo ya mcngi na kukalia kufikilia jambo moja tu how to treat your partinner in a good way. Utajipa kazi cha mcngi funga mkanda kaza na kamba huruma weka kando
Hivi had mtu kufumaniwa, bado tu tabia haijakuchanganya? Mh!!!!
 
Habari wakuu. Mimi ni kijana, nina kazi nzuri tu inayoniingizia kipato cha kutosha.. Nina mpnz wangu ambae tulianza mahusiano nae mwezi March mwaka huu. Nilipanga yeye ndo aje kuwa mke wangu siku moja. Ila toka niwe nae sijawahi kuhisi raha ya mapenzi . Nliwah kugundua ana mahusiano mengne na watu wengine na pia kumfumania mara mbili na wanaume tofauti ila mara zote nimekuwa nikimsamehe akiomba msamaha.. Kilichonisukuma niandike uzi huu ni kitendo cha yeye kutoa ujauzito wangu wa miezi 3(japo sina hakika sana kama ulikuwa wangu) na tulikuwa tumeelewana kuulea. Nataman sana niachane nae ila kila nikijaribu kufanya hivyo najikuta naumia zaidi. Naomba ushauri nifanyeje kwan naogopa kuendelea nae kwa kuogopa makubwa zaidi
Afadhali umesema ukweli wa moyo wakokua juu yakua anakusaliti lakini kumkosa huwezi,ni hivi bado hujaamua na juu yakua anakuudhi basi hajagusa pale panapoumaa zaidi mpaka ukasema mimi sasa basi,hao unao wafumania sidhani kama umewafumania wakila nae raha kitandani nadhani itakua sms na kuwaona bar may b..
 
Sasa Mimi nikupe ushauri Wa kiume,tafuta demu mwingine use unadate NA huyo usimwacha,ukiona upendo umeanza kupungua kwa huyo KICHECHE WAKO UNAMPITA CHINI ,The best revenge isn't surrender ,
 
Be a man! Fanya maamuzi kiongozi, kuna mambo ukiona tu huna haja ya kutafuta ushauri, mchumba aki cheat(na ukamkamata) huyo hafai, hafai kuoa hata siku moja, ukijifanya kuziba masikio leo, kesho utajuta.
 
Dume bwege la mkoani!,subiri akukanyagishe miwaya akili itakukaa sawa....pumbavu.
 
Habari wakuu. Mimi ni kijana, nina kazi nzuri tu inayoniingizia kipato cha kutosha.. Nina mpnz wangu ambae tulianza mahusiano nae mwezi March mwaka huu. Nilipanga yeye ndo aje kuwa mke wangu siku moja. Ila toka niwe nae sijawahi kuhisi raha ya mapenzi . Nliwah kugundua ana mahusiano mengne na watu wengine na pia kumfumania mara mbili na wanaume tofauti ila mara zote nimekuwa nikimsamehe akiomba msamaha.. Kilichonisukuma niandike uzi huu ni kitendo cha yeye kutoa ujauzito wangu wa miezi 3(japo sina hakika sana kama ulikuwa wangu) na tulikuwa tumeelewana kuulea. Nataman sana niachane nae ila kila nikijaribu kufanya hivyo najikuta naumia zaidi. Naomba ushauri nifanyeje kwan naogopa kuendelea nae kwa kuogopa makubwa zaidi


Piga Chini fasta...Misumari ya kutu hiyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom