Nashindwa kuwaamini wanaume


kabla ya yt umejichunguza ww una kasoro gn? inawexekana ww ndo mwenye tatizo ndo maana kla kwenye uhusiano uloingia unapigwa kibuti...JARIBU KUANGALIA UNAKOSEA WAPI
 
daah pole lkin mi naona tatzo lipo kwako b'coz ukishindwa kumuamin mwanaume wako au let's say mpenz wako kuna baadhi ya vtu utakuwa humtendei haki,,,,nakwambia hv kwasababu mi nilishawah kuachana na msichana ambaye tatzo lake llkuwa ni kutokuniami tu ,,,,,so unatakiwa kubadilika na kumuamin mtu utakeyempata coz you never know labda hata hao mlioachana huko nyuma ni sababu ya kutokuwaamin tu..

IMAN NI KITU MUHIMU KWENYE KILA KITU UNACHOKIWAZA NA UNACHOKIFANYA.
 
sio kwa wanaume wa kizazi chetu, mtu anapretend hadi unasema mume ndo huyu

Nikweli some time tunalaumiwa bure kumbe wanaume wengine niwaigizaji wazuri tu anapretend kama vile mume kumbe mpita njia tu
 
tafadhali mkuu ebu tengua kauli yako,asitoe nini? unampotosha
 
hii inabidi tukudhamini kama lowasa ili uifungulie uzi"wanawake acheni ubinafsi"
 
Dada nakushauri wewe tunda toa kama kawaida,we unadhani wanaume tunapenda vilipshine vyenu na vipodapoda vyenu ivyo? uzuri wa gari engine bwana,au hauoni ma-DSM ya mwenge na kawe yanabadilishwa bodi tu ila engine ileile miaka nenda rudi,sasa wewe bisha uone kama list yako yakuumizwa haijafika 33.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…