Nashindwa kujua nichague yupi

Nashindwa kujua nichague yupi

When high emotions are involved, the brain has very little to do.

Mtu isipomfaa akili yake basi utamponza ujinga wake.

Unaposema hutaki kumpotezea muda mmoja wapo ni uongo, lazima hapo mmoja umwache tu. Kwa sababu wote ni wife material, owa ile kitu roho inapenda.

Want more advice?
 
Ila me nakushauri chukua huyo wife material,ucdanganyike na mkia,kama ni mkia hata mbuzi anao.

Usiudanganye moyo..huyo jamaa tayari ashachagua..anampenda mwenye mkia..akimwoa huyo wife material. .ninauhakika michepuko itakuwa haishi..ila akioa mwenye mkia nadhani atatulia..labda mkia awe ana tabia mbaya..lkn kwenye uchaguzi huwa moyo ndo unakuongoza..mengine ni uongo tu!
 
When high emotions are involved, the brain has very little to do.

Mtu isipomfaa akili yake basi utamponza ujinga wake.

Unaposema hutaki kumpotezea muda mmoja wapo ni uongo, lazima hapo mmoja umwache tu. Kwa sababu wote ni wife material, owa ile kitu roho inapenda.

Want more advice?

Nikimwacha maana yake na yy atakuwa na nafasi ya kutafuta mwingine kuliko mm kuendelea kuwa nae huku nikijua kuna siku ntammwaga.
 
Usiudanganye moyo..huyo jamaa tayari ashachagua..anampenda mwenye mkia..akimwoa huyo wife material. .ninauhakika michepuko itakuwa haishi..ila akioa mwenye mkia nadhani atatulia..labda mkia awe ana tabia mbaya..lkn kwenye uchaguzi huwa moyo ndo unakuongoza..mengine ni uongo tu!
Ukiachaga mihemko kumbe unakuwaga na ushaur mzuri eeeh.... Ila hakuna sehem nikiyosema nishamchagua.
 
Yeni mm mwnyw ni ttzo km hilo hilo lako everything the same,cjajua nioe yupi
 
Ahsante mkuu kwa ushauri.... Tatzo huyu model nikiwa nae kwa bed ukimkunja kidogo tu utasikia mifupa kha! Kha! Kha! Mpaka nahisi namvunja binti wa watu.

Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa.....Ww mtoa mada ni chizi kweli,mifupa inaliaje?????
 
Nina wapenz wawili wote nawapenda sana.... Huyu wa kwanza ana mkia si haba na ndo ugonjwa wangu kwa kweli pia huwa na enjoy sana nikiwa nae karibu... Wa pili ni mwembamba haswaa na ni wife material jinsi nnavyomuona na nataman sana aje kuwa mke wangu tatizo ni huo wembamba wake... Je naweza kumuoa tu alafu ikawezekana baadae kumtengenezea mkia (kwa misosi lakin sio dawa za kichina) au ndo niendelee na huyu wa kwanza?

Ni utoto tuuuu ukikuwa utayaelewaa..
 
mara ya kwanza kumpenda huyo modal (mwembamba) ulimpendea mkia au? kama hapana bas ulichompendea ndio kikufanye umuoe au umuache fanya maamuz magumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom