Nashindwa kujua nichague yupi

Nashindwa kujua nichague yupi

Hata dalili za anaekwenda kuchukua nchi huoni? shtuka aisee.
 
Nina wapenz wawili wote nawapenda sana.... Huyu wa kwanza ana mkia si haba na ndo ugonjwa wangu kwa kweli pia huwa na enjoy sana nikiwa nae karibu... Wa pili ni mwembamba haswaa na ni wife material jinsi nnavyomuona na nataman sana aje kuwa mke wangu tatizo ni huo wembamba wake... Je naweza kumuoa tu alafu ikawezekana baadae kumtengenezea mkia (kwa misosi lakin sio dawa za kichina) au ndo niendelee na huyu wa kwanza?

Unataka kusaidiwa kuchagua?
 
Ungekuwa Kalibu Ningekupiga Na Soda Moja Barid Ya Kopo Achague Kwanza Lowasa Hao Wapenzi Atawachagua Baada Ya Tarehe 25 October

Naomba ushaur wako mkuu sihitaji kumpotezea mmojawapo mda wake.
 
Chukua mkia rafiki tabia utainyoosha mwenyewe lakini cha msingi vipe furaha ya moyo wako
Kula kitu roho inapenda
 
Unataka kusaidiwa kuchagua?

Hapana Kiranga mm nahitaji ushaur tu afu maamuzi nitafanya mwenyewe... Hasa hasa kwa huyu model ambaye, kachukua 55% ya moyo wangu je nikimchukua naweza kumtengeneza akawa at least kama huyo wa kwanza?
 
Mkuu Marco polo mm nasisitiza chukua kitu Moyo unataka, take/ choose what you feel in the inner part of ur heart, issue sio uwife material ishu ni how you will be ready to live at least first 5yrs bila kustuka au kujuta.na kuanza kusema this isn't real what I wanted.. Jamani sikuwa naelewa hii ila nilipokuja eleweshwa kwa vitendo nimeelewa, you will make her be ur wife material ," mwanamke ni km CD (compact disk) unarekodi unachotaka,,, maneno ya kakangu.
 
Mkia ndio nini?? naona nyota tu hapa..


binadam tuna mikia kama panya na mbuzi??
 
Chukua mkia rafiki tabia utainyoosha mwenyewe lakini cha msingi vipe furaha ya moyo wako
Kula kitu roho inapenda

Ahsante mkuu kwa ushauri.... Tatzo huyu model nikiwa nae kwa bed ukimkunja kidogo tu utasikia mifupa kha! Kha! Kha! Mpaka nahisi namvunja binti wa watu.
 
Mchukue model tu..tabia ndo msingi mzuri, mambo ya mikia watu wanapunguaga mbona AF inaisha tu...mikia ya muda! Mwanamke tabia njemaa!

Am out...
 
Ahsante mkuu kwa ushauri.... Tatzo huyu model nikiwa nae kwa bed ukimkunja kidogo tu utasikia mifupa kha! Kha! Kha! Mpaka nahisi namvunja binti wa watu.
Naomba niulize hili swali je unamfurahia?????
 
Hapana Kiranga mm nahitaji ushaur tu afu maamuzi nitafanya mwenyewe... Hasa hasa kwa huyu model ambaye, kachukua 55% ya moyo wangu je nikimchukua naweza kumtengeneza akawa at least kama huyo wa kwanza?
100-55= 45 means mkia ana 45 model ana 45,, nahisi unampenda sana model... But huwezi ishi na mwanamke asiye na mkia mrefu,, sasa jamani hii itakuwaje,!??
 
Mkuu Marco polo mm nasisitiza chukua kitu Moyo unataka, take/ choose what you feel in the inner part of ur heart, issue sio uwife material ishu ni how you will be ready to live at least first 5yrs bila kustuka au kujuta.na kuanza kusema this isn't real what I wanted.. Jamani sikuwa naelewa hii ila nilipokuja eleweshwa kwa vitendo nimeelewa, you will make her be ur wife material ," mwanamke ni km CD (compact disk) unarekodi unachotaka,,, maneno ya kakangu.

Nimekuelewa sana mkuu.. Thumbs up!
 
Ukikosea kuoa majuto yatakua ni sehemu ya maisha yako, tabia njema ni msingi wa ndoa imara, ila kama unatakujaribu ndoa/kuoa hufurahishe macho yako kwa vinavyoonekana kwa macho. Wife material utafurahia maisha pamoja nae kwa kuwa ana maadili mema, the choice is yours.
 
Wenzio(wanaume+wavulana) walikuja na mada wakaijadili kuwa wanawake wembamba huwa ni wepesi kuwakinai Mara ooh ni warefu na wapana sana kunako mara ooh..... Be careful.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom