Nashindwa kujua nichague yupi

Nashindwa kujua nichague yupi

It depends na mtu kwani kuna mtu hata umnyweshe mafuta hanenepi kabisa kutokana na nature yake.Kuna mwingine akipata maisha mazur na stress free ananenepa mpk ukimwona unashangaa

Hapo Sawa! Ahsante kwa ushaur.
 
Ni ushauri wa bure tu, oa modo coz kunenepa ni kurizika sidhani kama ni mwembamba kivileee. Huu ushauri nautoa kwa experience zifuatazo
1: wewe kama una mwili mkubwa chaguo lako ni modo ili kubalance sababu ukiwa na kitambi ni rahisi kuwa kibamia so modo atafiti.

2: baba zako/ babu zako wote wanacheza mechi za ugenini na vimodo.

3: modo akinenepa kidogo kila nguo humpendeza.

4. Siku ya ndoa hubebeka vizuri

5 ukioa modo utakwepa matatizo ya kulala kama gogo huyo kibonge.

6: mwisho kama modo ana zele sifa za wife material, ana kasura kazuri oa modo hii itakusaidia kumtambulisha kwa marafiki zako hata kuambatana nae kwenye sherehe.

Usisahau kuwa mwanamke ni ua popote uendapo watu wanategemea mkeo awe na urembo fulani,

MWISHO KABISA. BAADA YA KUCHAGUA KURA NI KWA LOWASA.
 
Ni ushauri wa bure tu, oa modo coz kunenepa ni kurizika sidhani kama ni mwembamba kivileee. Huu ushauri nautoa kwa experience zifuatazo
1: wewe kama una mwili mkubwa chaguo lako ni modo ili kubalance sanabu ukiwa na kitambi ni rahisi kuwa kibamia so domo atafiti.

2: baba zako/ babuzako wote wanachreza mechi za ugenini na vimodo.

3: modo akinenepa kidogo kila nguo humpendeza.

4. Siku ya ndoa hubebeka vizuri

Haya bwana naona umejielezea... Thanks for ur advice.
 
Ningekuwa mie nikemchua miss huwa siwachoki ila inasemekana akizaa huwa ovyo kabisaa
 
ndugu usimjudge MTU kwa physical appearance kwani hiyo hubadilika sana,utamuoa uyo mwenye inye halafu akishazaa utamchoka tu na utarudi kwa vimoso,SAA iyo haeleweki ni yuko Ka michelin hamu itaisha tu,
kuna Dada hapa jirani ni moja kati ya wanaotingisha mtaa kwa uzuri,Ila hiyo ni baada ya mamtorimtori ya uzazi mana ana kid mmoja,ungemuona sasa kabla hajaoelewa,yaani alikua kimbau amepigwaje pasi,lakini ukimuona huko chooni sasahivi yani hata siendelei manager ni mke wa MTU

ushauri oa Huyo wife material,physical outfit unaotaka itakuja tu,tena wao wakizaa hawazeeki haraka kama hao wenye miili mikubwa(no offence wangu ntamuoa na ana mwili) au waache wote tafuta mwenye inye na wife material japo itakuchukua mida sana na huenda usimpate
 
ndugu usimjudge MTU kwa physical appearance kwani hiyo hubadilika sana,utamuoa uyo mwenye inye halafu akishazaa utamchoka tu na utarudi kwa vimoso,SAA iyo haeleweki ni yuko Ka michelin hamu itaisha tu,
kuna Dada hapa jirani ni moja kati ya wanaotingisha mtaa kwa uzuri,Ila hiyo ni baada ya mamtorimtori ya uzazi mana ana kid mmoja,ungemuona sasa kabla hajaoelewa,yaani alikua kimbau amepigwaje pasi,lakini ukimuona huko chooni sasahivi yani hata siendelei manager ni mke wa MTU

ushauri oa Huyo wife material,physical outfit unaotaka itakuja tu,tena wao wakizaa hawazeeki haraka kama hao wenye miili mikubwa(no offence wangu ntamuoa na ana mwili) au waache wote tafuta mwenye inye na wife material japo itakuchukua mida sana na huenda usimpate

Dah! Umefunguka vizur sana mkuu kuna vitu nimeokota humu... Thanks a lot.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom