BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Hawa ndio waoaji?
Kazi kweli kweli.....
Kazi kweli kweli.....
Ukikosea kuoa majuto yatakua ni sehemu ya maisha yako, tabia njema ni msingi wa ndoa imara, ila kama unatakujaribu ndoa/kuoa hufurahishe macho yako kwa vinavyoonekana kwa macho. Wife material utafurahia maisha pamoja nae kwa kuwa ana maadili mema, the choice is yours.
Ndio namfurahia sana tu ila usimkunje la sivyo utahisi unavunja vijiti humo ndani.
Duh..wembamba nao mbaya eeh.
Ushauri wako mkuu maana sitaki kumpotezea mda mmojawapo. .
Mpaka hapo tayari ushawapotezea muda.kama dini inaruhusu oa wote
Habaree ndo iyo. Me mwenyewe kwako nimevutika na huo "mkia" wako. Yani utadhani umefungasha screen la chogo! Tukiwaga 6*6 walahi huwa nahisi kama vile nabembea paradiso
Nina wapenz wawili wote nawapenda sana.... Huyu wa kwanza ana mkia si haba na ndo ugonjwa wangu kwa kweli pia huwa na enjoy sana nikiwa nae karibu... Wa pili ni mwembamba haswaa na ni wife material jinsi nnavyomuona na nataman sana aje kuwa mke wangu tatizo ni huo wembamba wake... Je naweza kumuoa tu alafu ikawezekana baadae kumtengenezea mkia (kwa misosi lakin sio dawa za kichina) au ndo niendelee na huyu wa kwanza?
Lowasa anatisha mkuu
Na ndio maana alimuacha yule dada aliyeishi nae miaka mitatu maana anadai hakukuwa na NAMNA angeishi naye angekuwa MTU wa kuchepuka saaaana.Uko stahihi kabisa mkuu ila wasiwasi wangu endapo nitamchukua huyu model afu uko mbeleni mageuzi (sio mabadiliko) yakashindikana si nitakuwa mtu wa kuchepukia kwa wenye mikia?
Sawa! Ushaur wako tafadhali.
Umtengeneze mkia kwani we Mungu.Umeaanza uumbaji lini tuanzie kwanza hapo
Mkuu jaribu kuheshimu shida za wenzio basi.Kwani kati ya lowasa na magufuli unampenda nani zaidi kwa moyo wako wote.
Maugwadu huwa yanasaidia kuwa boost wanawake inasemekana lakin.Umtengeneze mkia kwani we Mungu.Umeaanza uumbaji lini tuanzie kwanza hapo