sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 868
Oa huyo mwembamba atakufaa, hakuna mtu mwembamba. Akipata mtoto huyo atanenepa. Ao tabia usioe sifa.
nina wapenz wawili wote nawapenda sana.... Huyu wa kwanza ana mkia si haba na ndo ugonjwa wangu kwa kweli pia huwa na enjoy sana nikiwa nae karibu... Wa pili ni mwembamba haswaa na ni wife material jinsi nnavyomuona na nataman sana aje kuwa mke wangu tatizo ni huo wembamba wake... Je naweza kumuoa tu alafu ikawezekana baadae kumtengenezea mkia (kwa misosi lakin sio dawa za kichina) au ndo niendelee na huyu wa kwanza?