Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
"Sura na shape kwanza" tabia utamnyoosha
Mweeeee
Ila skufichi hilo li-avatar lako tu nakufa kabisaa.... najaribu ku imagine kama mtt wako yuko ivyo je ww...?
"Sura na shape kwanza" tabia utamnyoosha
Mwaya ndoa ni kuinjoy so oa hiyo mwenye "mkia si haba"
Usiimagine sana bana ukikuatana namie nafanana na kibwengo utachoka mwili na nafsiMweeeee
Ila skufichi hilo li-avatar lako tu nakufa kabisaa.... najaribu ku imagine kama mtt wako yuko ivyo je ww...?
kati ya hao wawili ni yupi ana mapenzi ya dhati kwako!!!!????Nina wapenzi wawili wote nawapenda sana.Huyu wa kwanza ana mkia si haba na ndo ugonjwa wangu kwa kweli pia huwa na enjoy sana nikiwa nae karibu wa pili ni mwembamba haswaa na ni wife material jinsi nnavyomuona na nataman sana aje kuwa mke wangu tatizo ni huo wembamba wake.
Je, naweza kumuoa tu alafu ikawezekana baadae kumtengenezea mkia (kwa misosi lakin sio dawa za kichina) au ndo niendelee na huyu wa kwanza?
kati ya hao wawili ni yupi ana mapenzi ya dhati kwako!!!!????
Kuna mmoja ashaanza kuniletea za kuleta nahisi soon atanirahisishia kazi yupi nimchague.
Kuna mmoja ashaanza kuniletea za kuleta nahisi soon atanirahisishia kazi yupi nimchague.
Mwenye mkia ama modo??
Ikitokea mwenye mkia akaumwa mpaka akapungua mkia ukaondoka itakuaje? Umeliwaza hilo?
Kama ndoa ni kufanya ngono peke yake basi muoe huyo mwenye mkia
Modo mkuu mwenye mkia hata akineletea mazabe itabidi nijishushe tu maana mtoto si haba kwa kweli.
taste za papuchi zao zipo je mkuu? ...siku hizi tunaangalia unato🙂
Ikitokea mwenye mkia akaumwa mpaka akapungua mkia ukaondoka itakuaje? Umeliwaza hilo?
Kama ndoa ni kufanya ngono peke yake basi muoe huyo mwenye mkia
Kwel ww mbuzi
Sasa bro unataka nambia mwenye mkia akikosea uko radhi kujishusha Ila kamodo kakikosea ndo????? Inavoonesha unampenda mwenye mkia.... Cha msingi fuata moyo wako unasema nn.... Modo ni wife material Ila unapata kigugumizi kuwa nae na mwenye mkia ni mrembo Ila hujasema kama ni wife material Ila mwenye mkia waeza mfanya kuwa wife material.... Moyo wako ndo uamue ama vipi????