Nashera Hotel yawekwa sokoni, nini kimeikumba?

Moja ya hoteli ambayo ni alama katika mji kasoro bahari wa Morogoro ambayo ilianza kazi tangu mwaka 2007 imeingizwa sokoni. Wenye nia ya kununua wanatakiwa kuwasilisha pendekezo lao kabla ya May 27.

Wataalamu wa sekta, Nashera imekumbwa na nini au ameamua kuuza akaangalie usawa mwingine?

Pia, soma=> Hali ikiendelea hivi, Nashera hotel nayo itafungwa!

View attachment 2980825
Hahahaha ukishainunua basi wale jamaa wa magereza watakuja kudai ardhi yao hahah mvi alipora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom