rr3
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,048
- 3,833
Wazo zuri...... Ila Mimi niliwaza mbali zaidi.......
Nawaza kwamba walimu wakuu wa shule za sekondari ambazo zipo kila kata ndio wawe wawakilishi wa wananchi bungeni.....
Waongezewe tu mshahara hata 500k kila mmoja na posho kidogo wakienda kuwawakilisha wananchi bungeni......
Na bunge Hilo likutane walau Mara mbili kila mwaka. Mara ya kwanza kupeleka matatizo ya kata husika na Mara ya pili kufuatilia utekelezaji.
Usafiri, Hawa wanawe,a kupelekwa kwa Costa au mabasi......
Kuliko hii gharama tunaingia Sasa hivi.
Africa tuamke
Nawaza kwamba walimu wakuu wa shule za sekondari ambazo zipo kila kata ndio wawe wawakilishi wa wananchi bungeni.....
Waongezewe tu mshahara hata 500k kila mmoja na posho kidogo wakienda kuwawakilisha wananchi bungeni......
Na bunge Hilo likutane walau Mara mbili kila mwaka. Mara ya kwanza kupeleka matatizo ya kata husika na Mara ya pili kufuatilia utekelezaji.
Usafiri, Hawa wanawe,a kupelekwa kwa Costa au mabasi......
Kuliko hii gharama tunaingia Sasa hivi.
Africa tuamke