Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,575
- 91,348
Sasa hivi hakuna upinzani mjengoni, huwa ndio wakati mzuri wa kuwabana.
Wabunge wetu bahati mbaya wamekuwa ni wachumia matumbo, na ukianza kuwasemea maslahi yao, utashangaa utajua hakuna upinzani, wataungana na lao litakuwa moja.
Watakuambia wana kazi nyingi, kazi za kupigana vijembe!
Kenyatta alithubutu, akafyekelea mbali mishahara iliyokuwa mzigo alipoingia ofisini.
Everyday is Saturday............................... 😎