mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,412
- 8,398
Nasikia na Mulugo karudi Bungeni.Hao ndio Waasisi wa Bunge halafu njoo kwa malimbukeni wa huku kwetu
Nasikia na Mulugo karudi Bungeni.Hao ndio Waasisi wa Bunge halafu njoo kwa malimbukeni wa huku kwetu
Ni wazo zuri lakini halina uthibitisho wa kutosha.Bunge letu ni kubwa sana kwa uchumi tulio nao na ukubwa wa eneo tulilo nalo.
Kwa sasa tuna wabunge takribani 400. Na tuna wilaya 169.
Kwanini tusiwe na wabunge wanaoendana na wilaya zetu kwa kupunguza idadi ya majimbo.
Uwepo wa wabunge wengi kwanza unapunguza muda wa kujadili mambo kwa kina kwa kuharakisha kila mtu apate muda wa kuongea.
Pia kunatoa mwanya wa wabunge wavivu kujificha kwenye umati, wanatoroka wanakula posho hawachangii chochote.
Idadi hii kubwa ya bunge ni mzigo kwa taifa ni fedha kiasi gani tutaokoa ili tuzielekeze katika mambo mengine ya msingi?
Je, kiwango cha matumizi yao kinaakisi faida wanayoleta katika taifa?
Mambo wanayopitisha na kujadili yana faida kwa taifa kiasi cha kutuingiza kwenye hii hasara kubwa ya kuwalipa?
Wakuu wa wilaya na mikoa ni watendaji ( serikalini).Tuondoe Wakuu wa Mikoa na Wilaya ila Wabunge wapunguziwe mishahara au posho
Nadhani hawa wa kuteuliwa na Rais ingekuwa tu kama wanaenda kuwa mawaziri na hawakuwa wabunge. Sio mambo ya Polepole na Bashiru
Ni wazo zuri lakini halina uthibitisho wa kutosha.
Ni kweli mkuu upo sawa kabisa mimi pia nina mtazamo kama huo! Ukiangalia hata mikoani na wilayani kuna mlundikano mkubwa wa watendaji usio na tija kiuchumi zaidi tu ya kukamua bajeti.Bunge letu ni kubwa sana kwa uchumi tulio nao na ukubwa wa eneo tulilo nalo.
Kwa sasa tuna wabunge takribani 400. Na tuna wilaya 169.
Kwanini tusiwe na wabunge wanaoendana na wilaya zetu kwa kupunguza idadi ya majimbo.
Uwepo wa wabunge wengi kwanza unapunguza muda wa kujadili mambo kwa kina kwa kuharakisha kila mtu apate muda wa kuongea.
Pia kunatoa mwanya wa wabunge wavivu kujificha kwenye umati, wanatoroka wanakula posho hawachangii chochote.
Idadi hii kubwa ya bunge ni mzigo kwa taifa ni fedha kiasi gani tutaokoa ili tuzielekeze katika mambo mengine ya msingi?
Je, kiwango cha matumizi yao kinaakisi faida wanayoleta katika taifa?
Mambo wanayopitisha na kujadili yana faida kwa taifa kiasi cha kutuingiza kwenye hii hasara kubwa ya kuwalipa?
Watu wa kupunguza.Bunge letu ni kubwa sana kwa uchumi tulio nao na ukubwa wa eneo tulilo nalo.
Kwa sasa tuna wabunge takribani 400. Na tuna wilaya 169.
Kwanini tusiwe na wabunge wanaoendana na wilaya zetu kwa kupunguza idadi ya majimbo.
Uwepo wa wabunge wengi kwanza unapunguza muda wa kujadili mambo kwa kina kwa kuharakisha kila mtu apate muda wa kuongea.
Pia kunatoa mwanya wa wabunge wavivu kujificha kwenye umati, wanatoroka wanakula posho hawachangii chochote.
Idadi hii kubwa ya bunge ni mzigo kwa taifa ni fedha kiasi gani tutaokoa ili tuzielekeze katika mambo mengine ya msingi?
Je, kiwango cha matumizi yao kinaakisi faida wanayoleta katika taifa?
Mambo wanayopitisha na kujadili yana faida kwa taifa kiasi cha kutuingiza kwenye hii hasara kubwa ya kuwalipa?
Wabunge wa viti maalumu waondolewe wote zikiwemo nafasi 10 za rais.
Mawaziri wasiteuliwe kutoka kwa wabunge
Halafu kila wilaya iwe na mbunge mmoja
Wabunge wapunguzwe kwa zaidi ya 75%
Mikoa ipinguzwe
WIlaya zipunguzwe,
Fedha nyingi ya taifa inatumika kuhudumikia waheshimiwa kuliko wananchi
Duu ndio maana walimtuma hadi Bashite akaenda kumfanyia fujo , posho na mshahara wa ubunge vinono sana !Nchi ya watu 60 million, ina idadi kubwa ya wabunge sawa na India nchi yenye watu 1 Billion,
Mzee Warioba alipendekeza wabunge wasizidi 70, ambao wamesoma (Gender izingatiwe)
Ile rasimu ingepita tungepunguza kadhia ya kuwa na vichaa wengi sana kule bungeni.
Inategemea wewe unaelewaje na kutasfirije neno Minority Group. Lakini kitaalamu linatafsiriwa kwa kuangalia A Degree of Vulnerability and Power: Weusi kule Afrika Kusini walikuwa a vulnerable group with no power/authority to determine their own lives. Ukitafasiri kwa kuangalia idadi na wingi wa watu tu basi lazima kuna sehemu utakwama. Sambamba na hilo utakuwa hufahamu vizuri historia ya Tanganyika na Zanzibar hadi hao wanawake kufika hapo walipo leo.
Pili, kitaalamu hicho unachokitetea kuhusu wangunge na majimbo tunakiita THE DOCTRINE OF MANDATE na kwenye ulimwengu wetu huu wa leo kimeshapitwa na wakati. Kusema ubunge ni uwakilishi wa eneo fulani ni kosa kubwa sana kitaalamu. Ukiamini hivi ina maanisha wabunge wote waliopo bungeni watakuwa na uhalali wa kuzungumzia tu matatizo ya majimbo yao bila kugusa matatizo ya majimbo mengine au masuala mengine ya kitaifa.
Tatu, ukiamini katika THE DOCTRINE OF MANDATE inamaanisha kwamba bunge halitakuwa muhimili wa dola ambao unatoa maamuzi yanayogusa kila kundi ndani ya taifa. Ndiyo unawakilisha matatizo ya jimbo lako lakini watu wako haohao kwenye jimbo wana makundi yao mengine pia kama waalimu, wakulima, wavuvi na wafanyabiashara. Hivyo lazima uwe na bunge ambalo haliangalii tu jimbo bali mambo muhimu ya kitaifa. Naamini changamoto za makundi fulani fulani kwenye jamii hufahamika vizuri na wahusika......
RAS&DAS ni waajiriwa wa Serikali wakati RC&DC ni wateule wa Rais.
Ni kweli mkuu upo sawa kabisa mimi pia nina mtazamo kama huo! Ukiangalia hata mikoani na wilayani kuna mlundikano mkubwa wa watendaji usio na tija kiuchumi zaidi tu ya kukamua bajeti.
Utakuta wilaya moja kuna mkuu wa wilaya, mkurugenzi wa wilaya, mbunge wa jimbo, katibu tawala wa wilaya, Katibu tarafa wa wilaya, mtedaji wa kata n.k! Hawa wote wanatengewa bajeti na kulipwa na wilaya husika! Je kama mbunge yupo hivi mkuu wa wilaya na katibbu tawala wa wilaya ni wa kazi gani?
Mbunge anaweza kabisa kufanya shughuli zote za mkuu wa wilaya na HRO wa wilaya akafanya shughuli zote za DAS mpaka za katibu tarafa!
Kwa njia hiyo kwanza tutakuwa na wabunge kulingana na idadi ya wilaya, pili tutaokoa fedha tunazolipa kuwatuza DC, DAS na katiu tarafa wa wilaya.
Sio huko tu mifumo hii irekeishwe mpaka kweye Mikoa, kanda na wizara kuna watendaji wengi sana ambao serikali inagharamia mishahara, magari na mafuta lakini ukiangalia utaona hawana ulazima wowote wa kuibebesha serikali mzigo huo.
Pia hiki kipindi tunachotekeleza miradi mikuwa kama SGR ambao hadi sasa umeshakula Trilioi 11 huku tukiwa tumejenga km 400 tu kati ya 4,884, ni wakati sasa wa serikali kufyeka mishahara ya wabunge, mawaziri , wakurugenzi mpaka wakuu wa idara za halmashauri a mashirika ya umma, katika makudi hayo yote kama serikali itaweka kima cha juu kisizidi 3M. nina hakika fedha ya SGR lazima itapatikana tena bila kukopa kokote!
Watumishi wa umma waachwe huru na madaraja yao yapade kama kawaida wameshateswa vya kutosha!
Dogo unapjaribu kushawishi hoja, weka ushahidi kuntu kwenye hoja na sio kuongea tu. Mfano, kwanini unahisi ni wengi. Kwa vigezo vipi? Ulitaka wawe wangapi kwa vigezo vipi? Lakini kusema tu, haitoshi.Uthibitisho upi unataka?
Dogo unapjaribu kushawishi hoja, weka ushahidi kuntu kwenye hoja na sio kuongea tu. Mfano, kwanini unahisi ni wengi. Kwa vigezo vipi? Ulitaka wawe wangapi kwa vigezo vipi? Lakini kusema tu, haitoshi.
Naunga mkono hoja.Bunge letu ni kubwa sana kwa uchumi tulio nao na ukubwa wa eneo tulilo nalo.
Kwa sasa tuna wabunge takribani 400. Na tuna wilaya 169.
Kwanini tusiwe na wabunge wanaoendana na wilaya zetu kwa kupunguza idadi ya majimbo.
Uwepo wa wabunge wengi kwanza unapunguza muda wa kujadili mambo kwa kina kwa kuharakisha kila mtu apate muda wa kuongea.
Pia kunatoa mwanya wa wabunge wavivu kujificha kwenye umati, wanatoroka wanakula posho hawachangii chochote.
Idadi hii kubwa ya bunge ni mzigo kwa taifa ni fedha kiasi gani tutaokoa ili tuzielekeze katika mambo mengine ya msingi?
Je, kiwango cha matumizi yao kinaakisi faida wanayoleta katika taifa?
Mambo wanayopitisha na kujadili yana faida kwa taifa kiasi cha kutuingiza kwenye hii hasara kubwa ya kuwalipa?
Kwa maoni yangu viti maalum waondolewe lakini wa kuteuliwa wabaki.Ubunge wa viti maalum na kuteuliwa hauna tija, uondolewe. Ni matumizi mabaya ya kodi za wavuja jasho na wanyonge.