Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Mbona Daraja la Busisi linakaribia kuisha.
Mbona SGR inakaribia Makutupora ya Singida na nyingine imeanzia Mwanza kuelekea Isaka.

Mbona Serikali nzima ipo Dodoma na Mji wa Magufuli unaendelea kukamilishwa.
 
Point of correction - Daraja haliendi Busisi, daraja linajengwa sehemu inaitwa Busisi na magari yanayopita hapo yanaweza kwenda hadi Burundi, Rwanda na Uganda.
Mpumbavu huyo hajui ata nchi yake anaongea yale anayoyawazi kwa nyuma.
 
Njoo na hoja Mkuu, hizo hasira hazisaidii,
Kama kweli tulikuwa hatuna ukabila je
SGR lot 5 ilitakiwa iende wapi kati ya Kigoma na Mwanza?
Reli kuja Mwanza kuna tija kiasi gani kulinganisha kama ingeelekea Kigoma?
Hasa kama ungetangulia Utaifa na si Ukanda?
Asante mkuu. Wenye akili mko wachache sana nchi hii
 
Njoo na hoja Mkuu, hizo hasira hazisaidii,
Kama kweli tulikuwa hatuna ukabila je
SGR lot 5 ilitakiwa iende wapi kati ya Kigoma na Mwanza?
Reli kuja Mwanza kuna tija kiasi gani kulinganisha kama ingeelekea Kigoma?
Hasa kama ungetangulia Utaifa na si Ukanda?
Kwa Sasa. Kati ya Mwanza na Kigoma wapi Kuna mizigo mingi toka DSM. Jibu ni Mwanza. Kuna semi trailer ngapi zinaenda Kigoma Leo jibu si zaidi ya kumi. Hivyo demand ni ndogo. Kigoma inakwamishwa na Ziwa Tanganyika. Leo Warundi wanapitisha mizigo yao Kahama Kabanga ndani.
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Msenge sana we jamaa
 
Kabisa JPM alikuwa anakwenda kuua nchi hii kama angeendelea kuishi. Hivi kwamfano lile daraja la Tanzanite Dar lina maana gani kuwepo kwa gharama zile kubwa mno za kujenga baharini? Ni sawa na Busisi nk.
Jiwe alikuwa mwendawazimu. Kuamua kumwaga mabilioninya pesa Busisi.
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Swali fikirishi mkataba ukivunjwa inakuwaje
 
Hata Busisi hupajui unapayuka hapa tù! Hivi kisa kwa wasukuma Roho zinawauma? Hujui kuwa mwanza anakua kwa kasi na inaifatia Dar kiuchumi? Au wangejenga Dar au kaskazini ungekuwa unachekelea hapa! Mbona hujazungumzia daraja la mto wami kusitiswa?
Angalia kwanza mtu mwenyewe unaebishana nae!
Screenshot_20211116-153331.jpg
 
Daraja la Busisi ni muhimu sana na litaleta tija.

Umeshawahi kwenda Busisi au kuvuka tuu pale?
 
Nyinyi na huyo bibi ako Samia mmeshafeli mnatapatapa daraja la Busisi linaenda kijijini akili yako imejaa kamasì! Si mulimuona Magufuli hafai amewaachia muendelee na Msoga wenu!
Na wewe mfuate huyo magufuli huko aliko na sisi tubaki na bibi yetu ni kweli magufuli alikuwa hafai kabisa kabisa
 
Hata Busisi hupajui unapayuka hapa tù! Hivi kisa kwa wasukuma Roho zinawauma? Hujui kuwa mwanza anakua kwa kasi na inaifatia Dar kiuchumi? Au wangejenga Dar au kaskazini ungekuwa unachekelea hapa! Mbona hujazungumzia daraja la mto wami kusitiswa?
Tuliza hasira sasa busisi kuna nn
 
Naomba nikupe ushauri wa bure.

Kabla hujaleta hoja nzito kama hii fanya utafiti kidogo na hii itakusaidia kuwa kando na mihemko ambayo unaweza kuwa nawewe umeiokota tu kwenye soga.

Na hiki ulichokiandika kinaongea jambo, ulishawahi kujenga hata banda la kuku kweli?
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Brainless cacophonous

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom