Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Hivi ukiwa huna mke/mume wala mpenzi, si ruksa kutumbua kulia na kushoto?Au kucheat ndo dhambi na sio kuzini/kufanya uasherati....at last...!
Hivi ukiwa huna mke/mume wala mpenzi, si ruksa kutumbua kulia na kushoto?Au kucheat ndo dhambi na sio kuzini/kufanya uasherati....at last...!
Hahahaha!! Yaani unapata hamu ya Bia unaenda kunywa Mountain Dew lol!!!Hapo kwenye kula kitu mazima badala ya kuishia kutamani hapo!Asee, pata appetite kwa bht then huyooo unaenda kumaliza appetite kwa mama matesha.Au huwezi kupata appetite ya ubwabwa ukaenda kula makande?Halafu ODM, hebu jaribu kucheat na mama matesha one time.Namba 17 kwenye comfy!
Aisee bigi, ngoja nitoke nje kidogo.......... kucheka namna hii ofisini si vyema........ umefanikiwa kunichekesha kulaaaaaaaaaaaaaaaaaleki!Hapo kwenye kula kitu mazima badala ya kuishia kutamani hapo!Asee, pata appetite kwa bht then huyooo unaenda kumaliza appetite kwa mama matesha.Au huwezi kupata appetite ya ubwabwa ukaenda kula makande?Halafu ODM, hebu jaribu kucheat na mama matesha one time.Namba 17 kwenye comfy!
Hehehe!!! Mungu hajui hiloHivi ukiwa huna mke/mume wala mpenzi, si ruksa kutumbua kulia na kushoto?Au kucheat ndo dhambi na sio kuzini/kufanya uasherati.
Here.......waiting
yamenikuta ukiona hivyo LOL........... ukichanganya na hangover basi balaa tupu!
Waungwana, wakuu, wajukuu watiifu na watukutu, mashemeji, hommies, masharobaro, under 18 wa Love Connect mabibi na mabwana wa MMU....... Salam!
Ni hivi:....Straight to the point:
Kama wewe ni mke/mme wa mtu afu unafanya ubazazi wa kujamiiana na bazazi mwenzio ambaye anajua tayari una mme/mke, Leo nakutaarifu rasmi kuwa huyo bazazi naye anakucheat kwa bazazi mwingine na mwingine na mwingine na ikiwezekana na mwingine tena........ kuna anayebisha?
Unaporudi kwa mkeo/mmeo ujue kabisa huyo uliyefanya naye ubazazi naye anaenda kwa bazazi mwingine....... si anajua hamtaoana? Yanini ajigandishe kwako wakati kuna baridi na vijana wengi wana joto?
Huu ni utafiti nilioufanya mimi babu yenu na atakayenibishia lazima atakuwa na kasoro kwenye mshipa wake wa mahaba ubongoni.
Lengo la hii sredi ni kuwatahadharisha:
Kwakuwa infidelity inaonekana siku hizi imeshindikana kukwepeka
Kwakuwa watu hawana hofu ya Mungu kama zamani
Kwakuwa watoto wanawategemea wazazi kwenye malezi na kuwasomesha
Unapoamua kucheat kwa sababu ya ubazazi wako, basi cheat responsibly. UKIMWI upo na unaua!
Babu anarudi kitandani kuendelea na utafiti.
Hahaha...nimejikuta nafikiria.
Hivii ukute mtu anacheat na mtu ambae nae yupo hapa JF (wanaweza wakawa tayari wanajuana kwa ID za hapa pia au la) alafu mwenzake akaanzisha thread kama hii ya huyu babu asiyefundisha wajukuu maadili je huyo cheater mwenza atajisikiaje kugundua kwamba yeye ni BAZAZI?!
Wataendelea kufurahiana kweli?!Au ndo mwanzo wa kurudi kwenye mstari ili wasiendelee kuonana maBAZAZI?!
Just thinking out loud..a bit too loud!SORRY!
Hahahhaha...mtumie link nae aone bwana.Mimi ni mmojawapo, hii thread hainifai hata kidogo, naombea bazazi mwenzangu asiisome.HTML:
Hahahhaha...mtumie link nae aone bwana.
Hahaha...nimejikuta nafikiria.
Hivii ukute mtu anacheat na mtu ambae nae yupo hapa JF (wanaweza wakawa tayari wanajuana kwa ID za hapa pia au la) alafu mwenzake akaanzisha thread kama hii ya huyu babu asiyefundisha wajukuu maadili je huyo cheater mwenza atajisikiaje kugundua kwamba yeye ni BAZAZI?!
Wataendelea kufurahiana kweli?!Au ndo mwanzo wa kurudi kwenye mstari ili wasiendelee kuonana maBAZAZI?!
Just thinking out loud..a bit too loud!SORRY!
Fund moja la ziada litamfanya mama matesha awe AshaDii! Aka switi hati wa MTM.Aisee bigi, ngoja nitoke nje kidogo.......... kucheka namna hii ofisini si vyema........ umefanikiwa kunichekesha kulaaaaaaaaaaaaaaaaaleki!
Habari ake bana.Asee, hebu leta ujira mwiha kwa kuwa mlinzi dhabiti ambaye sio bazazi.U know wara i mean!...hiyo inaitwa kutupa jiwe kundini! lol...!Aheri mbu niendelee kubakia annonymous kwakweli.Anyway,...Aspirin ametutahadharisha sredi hii inawahusuwaliooa na wasioolewa.
Milele Amina......... nikaungame responsibly siyo?Asprin, tumsifu Yesu Kristu...
Njoo uungame mpendwa
Hahahahaha......... acha woga wewe...... ukiamua bazazi unatakiwa uendelee kuwa bazazi kwa ujasiri......Hahaha...nimejikuta nafikiria.
Hivii ukute mtu anacheat na mtu ambae nae yupo hapa JF (wanaweza wakawa tayari wanajuana kwa ID za hapa pia au la) alafu mwenzake akaanzisha thread kama hii ya huyu babu asiyefundisha wajukuu maadili je huyo cheater mwenza atajisikiaje kugundua kwamba yeye ni BAZAZI?!
Wataendelea kufurahiana kweli?!Au ndo mwanzo wa kurudi kwenye mstari ili wasiendelee kuonana maBAZAZI?!
Just thinking out loud..a bit too loud!SORRY!
Hahahahahaha LOLMimi ni mmojawapo, hii thread hainifai hata kidogo, naombea bazazi mwenzangu asiisome.
Umbea huu sasa........Hahahhaha...mtumie link nae aone bwana.
Hahahahahaha......... Aisee!Yaani huyu babu alitakiwa kufikiri kwanza kabla ya kuandika hapa.
wengine wanaogopa kusema lakini wako wengi humu.
Milele Amina......... nikaungame responsibly siyo?