Narudia: Polepole, you made a very big mistake, a very big One!

Narudia: Polepole, you made a very big mistake, a very big One!

Hiki sasa ndicho mtanzania amebarikiwa. Hiki kipaji karibu kila mtanzania anacho. Kukaa pembeni na kukosoa. Tuko vizuri kweli kweli. (Nikiwemo mimi).

No wonder:

IMG_20251026_092942.jpg


PreGE2025 - Mbowe siyo mwanademokrasia, kwanini amesusa kuwakabidhi ofisi Lissu na Heche?

binti kiziwi au nasema uongo?
 
Tumekubaliana tuache kulialia na kulalamika. Hata kama amefanya unachoita ni mistake ila kiukweli ametimiza wajibu wake.
Kusema ametimiza wajibu wake ni kujipa moyo tu, ki ukweli Jasusi mbobevu kama Polepole, anayejua gharama za kuasi kambi za kijasusi hakutakiwa kufanya jambo la hatari namna ile.

Kuwaamini wazee wanaohesabu siku zao za kuishi lilikuwa kosa la kwanza, halafu kosa la pili lilikuwa ni timing. Kama aliamua kujitoa muhanga (baada ya kukosa walinzi pamoja na backup) angevuta muda wa kujilipua kusubiri wiki hii ya mwisho ili awapanikishe vizuri hao wanamtandao

Ona sasa, wanamtandao wanavyofanya cameback ya kibabe wiki hii kwa kuteka mitandao na mabonanza yasiyoeleweka eleweka kila wilaya na mbaya zaidi hizi mechi za CAF zimekuja kuwaboost zaidi. Lakini wakati wa Polepole na Gwajima, hakuna cha Simba wala Yanga kilichoweza kuhamisha focus ya watu.

Hawa kina mange wana influence kwa watu wa kawaida sana halafu wanahoja moja tu inayowasaidia kujenga hoja, miamala ya benki na umiliki wa magari!!

Polepole na Gwajima ambao wote kwa pamoja hatujui huko waliko kama wamezikwa kwa heshima au wametupwa bwawani, impact yao ilikuwa kubwa sana kwasababu pia ni watu waliokuwa wanaaminika na wengi na watu wasingeona tabu kuwatumia kama refference.

Wapumzike kwa amani (ukweli binafsi nilishakata tamaa ya kuwaona tena zaidi ya kuwaombea kwa Mungu) Polepole na Gwajima angalau wameuchangamsha uchaguzi wa mwaka huu!! Mamlaka hazitawasahau na hata wananchi wengi kwa sirini na hadharani wameuona mchango wao, wamewafumbua macho na kuwapa ujasiri.

Hata kina Mkwawa walianzisha mapambano na wakoloni lakini waliokuja kuikomboa nchi ni kina Kambarage Nyerere yule mjukuu wa Burito.

Mbegu waliyoipanda Polepole na Gwajima ipo siku itamea na kuzaa matunda
 
Sasa ona sterling amekufa na "movie" imeishia hapo.

Ulijiaminishaje kuwa hapa? Mimi nilidhani uko kambi ya "jeshi" inakulinda...... Kumbe uko kwa Mtogole

Machozi yangu yanakulilia!

Pumzika kwa Amani huko uliko...kwa Mungu au kwa Lolimu au Lefema!

You made a very regrettable mistake!
You are quite right mkuu. Alichokuwa anafanya Polepole ni kukaka tawi kwenye mti alioukalia. Mimi sina sympathies naye to be honest. Huwezi kuwa 'member wa system' halafu ukaanza kuisaliti system. There's no way you will survive
 
Nawe bwana,yashapita hayo.Mwanajeshi kufia vitani.Vita inaendelea.Mwanajeshi kufa si mwisho wa vita.Acha kulaumu ,haitasaidia.
 
Sijajua hasa ni kwa nini umenijibu hivi, wakati mimi nilikuwa nazungumzia tabia yetu wabongo ya kupenda kutoa makosa wale wanajaribu kufanya mambo kwa vitendo, huku sisi tukiwa hatuna msaada wowote.

Mimi nimekubaliana nawe. Zaidi nikaenda mbele kuainisha vipaji zaidi yaani ujuaji, na kusubiri wengine wamtendee. Yeye aaah aaah. Ndiye mtanzania kapuku huyo.

Zingatia mleta mada ndiye mwenye hizo posts nilizo zirejea.

Wapo na wengine kwa hakika tukiwaona leo hata kuwasikia tu, mioyo yetu wengine inasinyaa.

Yale yale, ya "Odesa File."
 
You are quite right mkuu. Alichokuwa anafanya Polepole ni kukaka tawi kwenye mti alioukalia. Mimi sina sympathies naye to be honest. Huwezi kuwa 'member wa system' halafu ukaanza kuisaliti system. There's no way you will survive


IMG_20251026_100423.jpg
 
Mimi nimekubaliana nawe. Zaidi nikaenda mbele kuainisha vipaji zaidi yaani ujuaji, na kusubiri wengine wamtendee. Yeye aaah aaah.

Zingatia mleta mada ndiye mwenye hizo posts nilizo zirejea.

Wapo na wengine kwa hakika tukiwaona leo hata kuwasikia tena, mioyo yetu wengine inasinyaa.

Yale yale, ya "Odesa File."
Ohoo. Asante na samahani. Nilidhani ni yeye kajibu... hivyo sikuelewa..
 
Sasa ona sterling amekufa na "movie" imeishia hapo.

Ulijiaminishaje kuwa hapa? Mimi nilidhani uko kambi ya "jeshi" inakulinda...... Kumbe uko kwa Mtogole

Machozi yangu yanakulilia!

Pumzika kwa Amani huko uliko...kwa Mungu au kwa Lolimu au Lefema!

You made a very regrettable mistake!
Polepole alikuwa anaajua skri nyingi za kuifanye nchi iingie baraabarani ndani ya siku moja. Aliogopa kuzitaja kwa kuhofia atakosa nafasi ndani ya CCM. Polepole angejitoa CCM nakuelezea maovu yote yaliyotokea(Ben Saanane, Tundu Lissu) na umuhimu wa kuleta katiba mpya, Watu wangeandamana. Lakini kwa sababu alikuwa anaafikiria tumbo ameshasahaulika.
 
Polepole alikuwa anaajua skri nyingi za kuifanye nchi iingie baraabarani ndani ya siku moja. Aliogopa kuzitaja kwa kuhofia atakosa nafasi ndani ya CCM. Polepole angejitoa CCM nakuelezea maovu yote yaliyotokea(Ben Saanane, Tundu Lissu) na umuhimu wa kuleta katiba mpya, Watu wangeandamana. Lakini kwa sababu alikuwa anaafikiria tumbo ameshasahaulika.
Nadhani uko sahihi! Anajua sana uchagubwa ccm....
 
Polepole alikuwa anaajua skri nyingi za kuifanye nchi iingie baraabarani ndani ya siku moja. Aliogopa kuzitaja kwa kuhofia atakosa nafasi ndani ya CCM. Polepole angejitoa CCM nakuelezea maovu yote yaliyotokea(Ben Saanane, Tundu Lissu) na umuhimu wa kuleta katiba mpya, Watu wangeandamana. Lakini kwa sababu alikuwa anaafikiria tumbo ameshasahaulika.
Sidhani. Mtanzania anataka kusikia ''ukweli'' ili auchukulie kama movie tu. Hivi maovu aliyofanyiwa Ben Saanane au Tundu Lissu kuna mtu asiyeyajua au kujua ni nani kafanya? Halafu hili la kujitoa CCM siyo strategic nzuri kwa sababu kupigania utawala wa sheria na haki ukiwa ndani ya CCM inaweza kuleta impact kuliko hata kuwa upinzani.
 
hapo kweny kufa sasa, mbongo ndo mwoga.
ila mim sijaelewa tunapanga fujo au maandamano?
Maandamano. Lakini Mulilo et al wameshatangaza confrontation kwa apprehend kila mmoja anyesema tuandane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom