Rwiziringa Tactics
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 887
- 1,847
Kum.a weeehPolepole ndio nani.
Kum.a weeehPolepole ndio nani.
Unfortunately Humphrey Polepole wasn't intelligent at any level!! Had he been at least averagely intelligent, he wouldn't have been trapped so easily
Unfortunately Humphrey Polepole wasn't intelligent at any level!! Had he been at least averagely intelligent, he wouldn't have been trapped so easily
Anayemfira ma'am yako mzaziPolepole ndio nani.
Hili jambo la kawaida harakati za ukombozi-"kunyamazishwa"shujaa Steve Biko hakujazuia harakati za ukombozi Afrika Kusini ya makaburu.Staring Kanyamazishwa lakini movie si inaendelezwa na Kapteni Tesha?
Yuko kambini.Yuko wapi huyo kapeteni wako
Mkuu imeshakuwa confirmed au kafingiwa pahala?Amekufa leo ipo siku watakuja kujibu mauaji yote waliyofanya
Sio confirmed but inawezekana kwa matukioa mengi yamefanyika nyuma, serikali ipo kimya na inakataaMkuu imeshakuwa confirmed au kafingiwa pahala?
Mange Kimambi alisema kuwa comrade kafungiwa kwenye nyumba ya Makonde Kigamboni.Sio confirmed but inawezekana kwa matukioa mengi yamefanyika nyuma, serikali ipo kimya na inakataa
Alikosea sana kuwa hapa wakati anajua kuna utekaji wa wakosoaji wa serikali. As long as yeye alikuwa nje, angelibaki huko na walio ndani wakapambama na wakiwa wanajulikana.Hiki sasa ndicho mtanzania amebarikiwa. Hiki kipaji karibu kila mtanzania anacho. Kukaa pembeni na kukosoa. Tuko vizuri kweli kweli. (Nikiwemo mimi).
HakSasa ona sterling amekufa na "movie" imeishia hapo.
Ulijiaminishaje kuwa hapa? Mimi nilidhani uko kambi ya "jeshi" inakulinda...... Kumbe uko kwa Mtogole
Machozi yangu yanakulilia!
Pumzika kwa Amani huko uliko...kwa Mungu au kwa Lolimu au Lefema!
You made a very regrettable mistake!
Huyu siku ya kukiwasha niachieni mimiMwashambwa ikitokea lakutokea, utaona kuwa uonevu ni mbaya...utachwanwa vipande vipande na nyama yako kusambazwa kote Tanganyika
Fine, yuko wapi?POLEPOLE HAJATEKWA!
ngoja tuoneMaandamano. Lakini Mulilo et al wameshatangaza confrontation kwa apprehend kila mmoja anyesema tuandane