Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,645
- Thread starter
- #61
Mmmh bora nigune tu
Kheeee hata wewe leo umeamua kutoka kule na kuja huku?
Maajabu ya mwaka haya!
Mmmh bora nigune tu
heheheh!! mwambie kisura wangu asijali. soon tutaonana, aunt tundu kaokoka siku hizi. kuna skuna za ukweli najua zitamtosha, achana na maderaNinyo...mwezio anauliza 'auntie tundu iko wapi siku hizi?'
Halafu hebu fanya umnunulie dera....ya watoto si yapo?
Aisee mkuu hiyo Masunga hapo vipi?
Umezoea mitumba yenye nywele bandia, kope bandia, nyusi bandia, uso poda, marangi mdomoni, manyonyo mdindisho, kalio mjaladio, kucha bandia, sikio tundu tano, pua kipini, ulimi kipini, kwapa mpulizo, papuchi kipini, kitovu kipini, kiuno cheni, mguu kikuku, shupi bikini wa kijiji utamuweza kweli Mkuu.
WA DAR anawaweka wawe michepuko tu coz wanajua anga zake.Mkuu hata huku Daslam si wapo kina Mwallu na Masunga na wenzake? Au unamtaka aliyelelewa kijijini akiona gari anakimbia? Akiona mtu kwenye TV anamwamkia? Viatu anaweka kwenye fridge?
Nini hasa lengo lako la kumwacha Dotto Mayala hapa Daslam uende kuchagulaga kwa kina Nyanzala, Mabula, Jishuli????
Au ndo nyani mzee.tricks za mjini zimekushinda!??? Au hekaya za mungu wa kabili zimekuogofya? Why brother...???
..tena ukimpeleka huko UaSA ndio atakupa shinikizo la damu hadi usahaulike. Nakumbuka jamaa alienda US akaishi huko miaka kadhaa, baadae akaona arudi home kuoa. Alioa na kumpeleka mkewe US ili kuendelea na maisha, kumbe yule dada alikuwa na mtuwe huko.
....naamini unaweza kubashiri kilichoendelea.
Mbona huwa nachangia.unanionea.na wewe kule unafata nini?Kheeee hata wewe leo umeamua kutoka kule na kuja huku?
Maajabu ya mwaka haya!
Ukimuambia akuonyeshe kwao ataanza kuvizia nyumba za watu azipige picha ili aturidhishe kwamba kwao pazuri.Ndiyo.
Lakini nyumbani ni nyumbani tu.
Why do you guys falling for that?m not
Mbona huwa nachangia.unanionea.na wewe kule unafata nini?
Mwaaaaaaaaah.....especially there on that little thingy.
Hollo is the name of my wife! I love this big baby of mineUsisahau picha za kina Ngolo, Ng'washi, Kija, Minza, Nsamaka na Holo.
Nadhani ni mpola sana zugu twigashe hasumbi hahahahahaWanasemaga sijui "mhola duhu"
Faaark yaaa
Lip fighting though...
Kasie.