Napitia katika changamoto kubwa

Napitia katika changamoto kubwa

Kweli penye miti hakuna wajenzi. Ati mwanadada anajiulizia mtu wa kumto ubikra na hapo hapo amsaidie mbegu. Wanawake, mmeshafikia hapo kweli?? Najiliza, huyu mdada ana sura gani?? Nadhani hata kama wewe ni sura mbaya, lakini umesema ni msomi mwenye kazi nzuri halafu huna mtu hata hapo kazini anayekuchungulia!!!! Is this possible kweli au maneno unataka kujua ka JF kuna vidume??
Swali, upo tiyari kumpokea mgeni kwako aje kukaa mpaka ahakikishe umeshiba ndio aondoke?? Kama upo tiyari nijibu kwa PM nije mwenyewe, na mtoto sina shida naye. Tena nakuhakikishia mi ni mtanashati na utatamani kunizungusha mji mzima wa Mwanza ili watu wamjue baba kijacho wako.
mmmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani alikwambia mme hatafutwi? Unajua ni wanawake wangapi wameolewa kwa jitihada zao? 35yrs ndo kikomo cha kubeba mimba kama hajawahi kuzaa so yupo ukingoni kama pesa anazo anaweza kujitolea mahari akaolewa na mwanaume suruali ila kama mkwanja hana anaweza olewa na mwanaume wa kawaida tu wapo wengi mtaani ikifika wkend abebe beseni la matunda atembee mitaa yenye vijana wengi huku akiwauzia matunda ya kila aina atatongozwa mpaka ashangae na Hao hohehahe ndo waoaji wenye pesa wanakula ujana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Usimtishe mdada wa watu ukifikiria 35 angalia ni wa ngapi hawapo duniani, hao wanao force kingi ndo mana ndoa za siku hizi zimekuwa hell yani ujitolee mahari kisa ni nini labda. Huyo akitulia atapata tu kuna mdada anajipendekeza na kazeeka hajampata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha kwa hao wenzako mbona hata wazo la watoto kwao halipo anaeweza kuishi kama hao mbona shida hana hongela sana kwa kuishi kupitia wenzako
Sasa huku kwetu MTU ana mbele wala nyuma anazaa sikuongeza u maskini hafu uzae utegemee mtoto atakutunza kama hukujiandaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada, kufunga novena bila juhuzi ya ziada ni kasi bure. Fuatilia mfumo wako wa maisha. Namna unavyoishi na watu. Unawachukuliaje, unawasiliana nao vipi, unawajibika vipi kwao.

Jambo moja linalonishangaza ni kutaka kujiingiza kwenye mapenzi na mume wa mtu. Fikiria angekuwa ni mume wako. Ni nafuu ukaridhika na maisha hayo kuliko kukubali kufanya mambo mabaya kama ya kutembea na mume wa mtu. Madhara yake ni makubwa zaidi.

Fuatilia maisha yako. Badili staili ya maisha. Mume utampata kwenye maisha yako ya kila Siku. Badili namna unavyohusiana na watu. Ninaona kuwa, una changamoto fulani hapa.

Kila la kheri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ku
Usimtishe mdada wa watu ukifikiria 35 angalia ni wa ngapi hawapo duniani, hao wanao force kingi ndo mana ndoa za siku hizi zimekuwa hell yani ujitolee mahari kisa ni nini labda. Huyo akitulia atapata tu kuna mdada anajipendekeza na kazeeka hajampata

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujipendekeza ndio sijui na kujitongozesha amakumwambia mwanaume unanioa lini. Maana nitaenda teseka mpaka nijute kuwajua. Mimi nataka mtu aridhie mwenyewe.
 
Back
Top Bottom