ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,001
Kwani menopause kitu gani mkuu, wengine hufiksha had 50Aisee, real ? Life ianze at 40. Kumbuka kuna kitu kinaitwa menopause.
mmmmhKweli penye miti hakuna wajenzi. Ati mwanadada anajiulizia mtu wa kumto ubikra na hapo hapo amsaidie mbegu. Wanawake, mmeshafikia hapo kweli?? Najiliza, huyu mdada ana sura gani?? Nadhani hata kama wewe ni sura mbaya, lakini umesema ni msomi mwenye kazi nzuri halafu huna mtu hata hapo kazini anayekuchungulia!!!! Is this possible kweli au maneno unataka kujua ka JF kuna vidume??
Swali, upo tiyari kumpokea mgeni kwako aje kukaa mpaka ahakikishe umeshiba ndio aondoke?? Kama upo tiyari nijibu kwa PM nije mwenyewe, na mtoto sina shida naye. Tena nakuhakikishia mi ni mtanashati na utatamani kunizungusha mji mzima wa Mwanza ili watu wamjue baba kijacho wako.
Usinicheke best, nipe mbinu na ujuzi wa kujilengesha

poa poa.
Basi subiri Mungu atakavyo amuaHilo
Hilo la kutunza mwanamme nyumbani kwangu sitafanya. Mtoto nitalea ila kutunza mtu mzima ni kazi kubwa. Kama ni msaada tutasaidiana.
Usimtishe mdada wa watu ukifikiria 35 angalia ni wa ngapi hawapo duniani, hao wanao force kingi ndo mana ndoa za siku hizi zimekuwa hell yani ujitolee mahari kisa ni nini labda. Huyo akitulia atapata tu kuna mdada anajipendekeza na kazeeka hajampataNani alikwambia mme hatafutwi? Unajua ni wanawake wangapi wameolewa kwa jitihada zao? 35yrs ndo kikomo cha kubeba mimba kama hajawahi kuzaa so yupo ukingoni kama pesa anazo anaweza kujitolea mahari akaolewa na mwanaume suruali ila kama mkwanja hana anaweza olewa na mwanaume wa kawaida tu wapo wengi mtaani ikifika wkend abebe beseni la matunda atembee mitaa yenye vijana wengi huku akiwauzia matunda ya kila aina atatongozwa mpaka ashangae na Hao hohehahe ndo waoaji wenye pesa wanakula ujana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huku kwetu MTU ana mbele wala nyuma anazaa sikuongeza u maskini hafu uzae utegemee mtoto atakutunza kama hukujiandaaHaha kwa hao wenzako mbona hata wazo la watoto kwao halipo anaeweza kuishi kama hao mbona shida hana hongela sana kwa kuishi kupitia wenzako
Amina mpendwa.
Ebu fanya ukuje huku PM tufanye maombi na nina hakika Mungu atatujibu kwa pamojaN
Nashukuru ndugu. Niombee mpendwa maana huwa inafikia mpaka akosa cha kuomba wakati wa kusali.
Sasa unaguna nini tena?? Mwache mwenzio ajipatie cha moyoni. Hajataka mume ameomba mbegu nasi tupo tiyari kumpatia bila hiyana. Wadhani kila mtu ni mchoyo??
WANAFIKI NI WENGI SANA ILA NDO WANAOKWENDA PM KUJAZIA. KUONDOA HIZO CHANGAMOTO





Kujipendekeza ndio sijui na kujitongozesha amakumwambia mwanaume unanioa lini. Maana nitaenda teseka mpaka nijute kuwajua. Mimi nataka mtu aridhie mwenyewe.Usimtishe mdada wa watu ukifikiria 35 angalia ni wa ngapi hawapo duniani, hao wanao force kingi ndo mana ndoa za siku hizi zimekuwa hell yani ujitolee mahari kisa ni nini labda. Huyo akitulia atapata tu kuna mdada anajipendekeza na kazeeka hajampata
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuma tena. Nitakuja mbio huwezi amini.
Nimetuma tena tayari, kama hautoiana ebu jaribu kunitumia wewe maana jf application naona haiko poaTuma tena. Nitakuja mbio huwezi amini.