Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Aisee, mimi nimekazia tu ushauri wa Chakorii.Kumbe u mshauri mzuri, mi mbona hunishaurigi lakini?![]()
Hivi ulishawahi kuniomba ushauri kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, mimi nimekazia tu ushauri wa Chakorii.Kumbe u mshauri mzuri, mi mbona hunishaurigi lakini?![]()
hahaha... unaitaka hii fake mkuu? utaumizwa bhanahapo kwenye nyekundu me nipo tayari naomba uwe mshenga wangu kwa huyu mrembo mkuu
Wewe sasa tuko pamoja kabsaaa huyo analake jambo tuUmesoma mpaka chuo....lakini kiswahili bado kinakupiga chenga......
Tiari=tayari
Nije kwenye ushauri sasa.....kwani dada ina maana toka umalize chuo mpaka hapo ulipo kuanzia kazini mpaka mtaani kwenu hakuna wanaume wengi wengi wanaokutongoza ???? Kama wanakutongoza halafu unawakataa huwezi jua mmoja wapo labda angekua mumeo!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe sijawahi kukuomba ushauri...basi nishauri sasaAisee, mimi nimekazia tu ushauri wa Chakorii.
Hivi ulishawahi kuniomba ushauri kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefuatilia comment nyingi zimekaa kinafiki tu ukweli unajulikana huyu mtoa post anaonekana mchaguzi sana na kama anajifanya wa imani Kali apate kwenye Dini sawa na yake atazeeka bila kupata hicho anachohitaji kwa sababu ya uchaguzi wakeWanampa moyo et umri bado.
yani aende leba na 40 siamini akisemacho huyo ni mchaguzi kama wachaguzi wengine ngoja Mungu amuonyeshe kua yeye hakosei
Ningefarijika zaid kama ungemshaur uyu mtuHii post hii post!!
Anatunza bikra yake kwa ajili ya mume atakae muoa kwahyo anaogopa kuingia kwenye mahusiano hovyioUmesoma mpaka chuo....lakini kiswahili bado kinakupiga chenga......
Tiari=tayari
Nije kwenye ushauri sasa.....kwani dada ina maana toka umalize chuo mpaka hapo ulipo kuanzia kazini mpaka mtaani kwenu hakuna wanaume wengi wengi wanaokutongoza ???? Kama wanakutongoza halafu unawakataa huwezi jua mmoja wapo labda angekua mumeo!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sibakishi kwa jinsi wanaume tulivyo na uchu wa hizi ndude angesha pata tayari ila anatatizi niamini tu.Rafiki weka akiba ya maneno!
😀😀😀😀😀 na umri huu nilionao roho itarudi ilikotokahahaha... unaitaka hii fake mkuu? utaumizwa bhana
Hapana Dada.ujue syo we tu. Mimi mwenyewe ninapokuwa natazamia kufikia hatua flani huwa nakuwa mvumilivu mpaka nachoka naamua kufanya maamuzi tofauti siku ambayo naenda kufanya hayo maamuzi mapya lile lengo la zaman ndpo linakuja .hapo ndpo ninapoaamini kuwa mungu huwa hawahi wala hachelewi ila hufika wakat mwafaka.wakati ule mwanadamu anapokata tamaa. Amini hauko mbali kulifikia lengo lako .Kama namuona shemeji(mmeo) ni mtu Bora na sahihi na ana endana na wewe, ana vokupenda sasa hadi wivu.Asante ndugu yangu. Maana nikikaa mwenyewe najiona kama niko mkosefu. Angalau niliona nisemee huku ili la moyoni linitoke niweze kufanya kazi vizuri. Kunachangamoto unapita nazo mpaka unaona dunia umeibeba.
Umenot something weweIla hivi huwa tunatafuta au tunatafutwa?
Watakuja Pm na ahadi kama za wabunge,
Watch out

Nikushauri kuhusu nini sasa?Kumbe sijawahi kukuomba ushauri...basi nishauri sasa
Kuhusu kipindi kigumu ninachopitia na mimi
Naam kiongozi..
WANAFIKI NI WENGI SANA ILA NDO WANAOKWENDA PM KUJAZIA. KUONDOA HIZO CHANGAMOTONimefuatilia comment nyingi zimekaa kinafiki tu ukweli unajulikana huyu mtoa post anaonekana mchaguzi sana na kama anajifanya wa imani Kali apate kwenye Dini sawa na yake atazeeka bila kupata hicho anachohitaji kwa sababu ya uchaguzi wake
Aisee, tatizo lako unazunguka sana, hicho kipindi kigumu ndo kipi icho?Kuhusu kipindi kigumu ninachopitia na mimi