Napitia katika changamoto kubwa

Napitia katika changamoto kubwa

Wewe unatoka out ebu jichanganye club mara nyingi hivi haswa payday hukosi kichwa tena unaenda sehemu makini pia jichanganye kwaya vikundi vy vijana achana na wanaume aa watu ukifumaniwa utajuta maisha bora upate marioo
 
Wewe unatoka out ebu jichanganye club mara nyingi hivi haswa payday hukosi kichwa tena unaenda sehemu makini pia jichanganye kwaya vikundi vy vijana achana na wanaume aa watu ukifumaniwa utajuta maisha bora upate marioo
Ushauri mzuri sana, seems like you are expert on this if I may say. Good message though!
 
Kiza kikizidi sanaaa, nuru iko jirani inajongea taratiibu. Vuta subira.
 
Ukienda holiday ndio utakua umeolewa au umepata mtoto? Mwenzio anatakabmme au mtoto wewe unamwambia maswala ya holidays unadhani yeye hajui kama zipo.

Kama haupendi kuolewa au kupata mtoto usidhani wote wako hivyo. Ukikua utajua
Haaahaaa ....mtu anataka mtoto yy anasema holiday hukoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto ni kawaida katika maisha ya mwanadamu. Uzoefu hutokana na changamoto, na baadaye uzoefu huleta busara
 
Back
Top Bottom