janescom
(People hate the truth b'se it is ugly and unpleasant)
Kwa mtazamo wangu, nimepata wasaa mzuri wa kutafakari sana hii issue yako na pia kupitia comments za wachangiaji wengine nione kama wao wanaona kama navyoona mimi, kwa bahati mbaya sana naona kila mtu ana muono wake. Ni kawaida sana.
Mimi nimeona hii issue yako iko hv:
Moja, wewe umeji lock mwenyewe (sio kwa kutunza bikra yako hapana, ila kivingine kabisa sijui kama utanielewa)
Pili, sio kwamba wanaume hawakuoni, la wanakuona na kukutamani sana ila you seem so complicated (sasa usiniulize kivp)
Tatu, sasa to make the matter worse you 'complicate the whereabouts' ni kama vile yule mtu fulani kasoma halafu she/he don't just understand how the 'REAL' world operates! (sasa mimi usiniulize how the real world operates).
Sasa, solution yako ni nini?
Solution yako ni hadi pale utakapo unlock yourself no body can unlock you!
Ni hadi pale utapokuwa a very simple but smart woman and lastly ni hadi pale utakapoanza kuelewa and play to the heart and minds of the real world!
Again, huu ni mtazamo wangu mimi..!