Napitia katika changamoto kubwa

Napitia katika changamoto kubwa

Nimeishia sehemu uliyosema unajilaumu kwa nini hukufanya walivyofanya wenzako. Unaonekana umeingiwa na mashaka kama Petro. Pia huenda hujajibiwa kwa kuwa hujaandaa moyo wako katika jibu la Mungu ambalo liko tofauti na malengo yako. Umeshamwekea limit Mungu ya kwamba lazima mtu awe wa kusali jumapili. Badili ombi lako na uwe mvumilivu. Omba Mungu lakini usisahau kumalizia maneno yafuatayo, "mapenzi yako yatimizwe". Soma misitari ifuatayo. Isaya 48:17-18, Zaburi 32:8, Isaya 40:27-31.
Yes mkuu namimi nakaziapo apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
desperation in highest order.

halafu watu kama wewe mkiwa bado mko kwenye heydays za usichana wenu huwa mnatukana sana masela wanaojaribu kuwa approach, mkiombwa namba za simu mnavuta midomo dharau nyingi.... utafikiri hamtakuja kumuhitaji mwanaume maishani mwenu, kumbe muda huo sir God huwa anawachora tu, jua likizama ndio mnaanza kuangaika na kuweuka kama hivi ...mamaee!!

Na wewe uwe fundisho kwa videmu vya JF ambavyo bado vinaringa ringa na nyodo kibao vifahamu tu kwamba jua likizama vitatutafuta hadi sisi wapiga debe.
 
Usipanic life begins at 40 ukiacha desperation wako atakuja ila sasa hivi ikikurupuka utaumia atajitokea mhuni akulize. God's time is the best loh , hafu zawadi ya maisha ni muhimu kuliko huyo mume unayemlilia ukiona case za wanawake kuhangaika kuwatuliza waume kuanzia kanisani had kwa waganga ungetulia tu upate sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...!!! Hii nilitakiwa niione mwaka jana hii..
 
Habari za Jumapili wanajamii.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 32 kwa sasa. Napitia katika changamoto kubwa sana.

Hapo mwanzo kipindi ninasoma niliona si vyema kujiingiza katika mahusiano ya kufanya mapenzi kwani niliona yatanivuruga na ningejikuta napitia katika mahusiano mengi kitu ambacho sijawahi kukipanga maishani.

Nikamaliza chuo vizuri namshukuru Mungu.katika kutafuta ilikuwa ngumu kidogo nilitafuta mpaka nikakata tamaa nikaomba Mungu mpaka nikaona inatosha. Katikati ya kukata tamaa nikamuomba Mungu basi anipe kitu kimoja kwanza mme au kazi. Ila la kazi ndio nililoliwekea msisitizo kwani kwa kipindi hicho familia yangu ilikuwa inapitia changamoto nyingi kwa hiyo nikaona kazi itanisaidia kupunguza changamoto ama la basi niolewe ili nipunguze mzigo kwa familia yangu.

Siku isiyotarajiwa nikaitwa interview na nikapata kazi nzuri ambayo sikuwahi hata kufikiria wala kuiwaza. Nikashukuru Mungu na kuanza maisha mapya ya kazi na kusaidia familia yangu. Nikajikita kwenye kumuomba Mungu anijalie mme mwema atakayenifaa na kuongoza familia tutakayoipata katika misingi ya imani ta dini ya kikristo. Sikubagua kabila wala atakuwa mkirsto wa aina gani maadamu awe anaabudu jumapili maana mimi nilikuwa tiari kuhama katoliki ili tulee familia yetu tukiwa na muongozo wa dini moja.

Sikuwahi kudhani nitafikia huku maana mpaka sasa imekuwa ngumu kama ni Mungu hachelewi ama hawahi basi kwangu mimi kwa sasa imekuwa ni shida kubwa. Nimefunga novena nimesali sana mpaka naona nimeanza kuathirika na hili swala. Mwaka jana tarehe moja nikaona basi kama mme wangu hayupo nipate tu mwanamme nitakae zaa nae lakini awe mkirsto maana siko tiari kumtenga baba na mtoto wake hata kama hamhudumii, nikiamini kuwa uwezo wa kulea mwenyewe ninao hata kama watoto watakuwa zaidi ya mmoja niko tiari kupambana na maisha.

Nikaona kwa sababu nitakuwa pekeangu nikaanza kuwekeza ili watoto wangu wanikute nimejiandaa. Na penyewe Mungu akaona wakati wangu bado. Mwaka huu mwezi wa pili akatokea mme wa mtu kitu ambacho sijawahi hata fikiria kuwa kunasiku nitaangukia huko, Mwanzoni nilitaka tuzungumze mapema kabla hatujazoena sana matakwa yangu lakini akawa mtu wa kuona nampangia sheria mapema na kudai hizo mipango ninazotaka kupanga nae tukiwa hatujafika mbali ni mipango gani. Nikaona isiwe tabu.

Ikafika siku ya kukutana nikamwambia mimi sijawahi kabisa hakuamini na nikamwambia kama anajiamini aendelee ila ajue atakuwa na deni la kulipa, akatafakari akaona viatu ni vikubwa akaondoka.

Chenga zikaongezeka nikajiuliza ni nini shida, tukapanga tukutane ili tuone hatima ni nini kati yetu. Akaja na kudai yeye hayuko tiari kutoa bikira ya mtu asiye na mpango nae. nikamuelewa na nikaona yuko sahihi.Nikamuuliza wewe ulivyoanza ulitegemea mimi ni mti sina hisia za kufanya mapenzi akadai alijua anajihusisha na mapenzi ya kila mtu ana mtu wake hivyo wanakutana kulizishana tu. Akaniambia nahitaji nini hasa kwake nikamwambia kama ulishaona hisia zangu unadhani nahitaji nini? Niliona nisianze kutaja shida niliyonayo kwanza nimsikilize yeye ndio na mimi niseme ya kwangu. Yeye akadai aliona ni mahusiano ya kula na kuondoka. Akaniambia kama niko tiari ataweka sheria za kutuongoza za maandishi ili baadae tusijekupeana shida. Nikamwambia sheria zako utazoniwekea nitazifuata vilivyo japo najijua ninawivu lakini wewe ni mme wa mtu tiari nitavumilia.

Akaja na sheria na mipango mingi sana asee.sheria nyingi nilivyotafakari nikaona nyingi zinamlenga mtoto ambaye mimi ndio ninayemhitaji zaidi. na yeye akaona labda ni mmoja tu wakati mimi nishajipangia wakunitosha kabisa. Kwa maelezo yake nikaona hayuko tiari kuwa na mtoto nje ya familia na nikitokea kumpata basi nitoe mimba ama atamchukua. Nilichoka viungo vyote. Akaniuliza unalolote nikamwambia nizungumze nini wakati sheria zimekuwa ngumu.

Haki ya Mungu yaani natamani siku zirudi nyuma nizunguke na wanaume kama wafanyavyo wengine. Hukukujitunza kwangu kunanifanya nilie kila siku na kuomba Mungu usiku kucha kisa nilimtunzia mtu bikira. Jamii inayonizunguka itanitia wazimu maana swali la unaolewa lini limenichosha kabisa. Basi kama siolewi hata mtoto tu ni shida kumpata.

Kwasasa ninashida na mtoto kuliko maelezo na niendako nadhani nitawehuka. Msaada wenu tafadhalini sana.

NB. Hapo mwanzo nilifunga novena kwa muda wa mwaka mmoja na kuomba na kukabidhi mwili wangu uwe kwa ajili ya mtu mmoja tu ambaye ndio atakayekuwa mme au baba wa watoto wangu. Ndio maana inaniwia vigumu kuingia mahusiano mbalimbali.
MBONA KIMYAA AU MSHAHAMIA PM TAYARI,,,,,,,,,,,,?
 
Habari za Jumapili wanajamii.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 32 kwa sasa. Napitia katika changamoto kubwa sana.

Hapo mwanzo kipindi ninasoma niliona si vyema kujiingiza katika mahusiano ya kufanya mapenzi kwani niliona yatanivuruga na ningejikuta napitia katika mahusiano mengi kitu ambacho sijawahi kukipanga maishani.

Nikamaliza chuo vizuri namshukuru Mungu.katika kutafuta ilikuwa ngumu kidogo nilitafuta mpaka nikakata tamaa nikaomba Mungu mpaka nikaona inatosha. Katikati ya kukata tamaa nikamuomba Mungu basi anipe kitu kimoja kwanza mme au kazi. Ila la kazi ndio nililoliwekea msisitizo kwani kwa kipindi hicho familia yangu ilikuwa inapitia changamoto nyingi kwa hiyo nikaona kazi itanisaidia kupunguza changamoto ama la basi niolewe ili nipunguze mzigo kwa familia yangu.

Siku isiyotarajiwa nikaitwa interview na nikapata kazi nzuri ambayo sikuwahi hata kufikiria wala kuiwaza. Nikashukuru Mungu na kuanza maisha mapya ya kazi na kusaidia familia yangu. Nikajikita kwenye kumuomba Mungu anijalie mme mwema atakayenifaa na kuongoza familia tutakayoipata katika misingi ya imani ta dini ya kikristo. Sikubagua kabila wala atakuwa mkirsto wa aina gani maadamu awe anaabudu jumapili maana mimi nilikuwa tiari kuhama katoliki ili tulee familia yetu tukiwa na muongozo wa dini moja.

Sikuwahi kudhani nitafikia huku maana mpaka sasa imekuwa ngumu kama ni Mungu hachelewi ama hawahi basi kwangu mimi kwa sasa imekuwa ni shida kubwa. Nimefunga novena nimesali sana mpaka naona nimeanza kuathirika na hili swala. Mwaka jana tarehe moja nikaona basi kama mme wangu hayupo nipate tu mwanamme nitakae zaa nae lakini awe mkirsto maana siko tiari kumtenga baba na mtoto wake hata kama hamhudumii, nikiamini kuwa uwezo wa kulea mwenyewe ninao hata kama watoto watakuwa zaidi ya mmoja niko tiari kupambana na maisha.

Nikaona kwa sababu nitakuwa pekeangu nikaanza kuwekeza ili watoto wangu wanikute nimejiandaa. Na penyewe Mungu akaona wakati wangu bado. Mwaka huu mwezi wa pili akatokea mme wa mtu kitu ambacho sijawahi hata fikiria kuwa kunasiku nitaangukia huko, Mwanzoni nilitaka tuzungumze mapema kabla hatujazoena sana matakwa yangu lakini akawa mtu wa kuona nampangia sheria mapema na kudai hizo mipango ninazotaka kupanga nae tukiwa hatujafika mbali ni mipango gani. Nikaona isiwe tabu.

Ikafika siku ya kukutana nikamwambia mimi sijawahi kabisa hakuamini na nikamwambia kama anajiamini aendelee ila ajue atakuwa na deni la kulipa, akatafakari akaona viatu ni vikubwa akaondoka.

Chenga zikaongezeka nikajiuliza ni nini shida, tukapanga tukutane ili tuone hatima ni nini kati yetu. Akaja na kudai yeye hayuko tiari kutoa bikira ya mtu asiye na mpango nae. nikamuelewa na nikaona yuko sahihi.Nikamuuliza wewe ulivyoanza ulitegemea mimi ni mti sina hisia za kufanya mapenzi akadai alijua anajihusisha na mapenzi ya kila mtu ana mtu wake hivyo wanakutana kulizishana tu. Akaniambia nahitaji nini hasa kwake nikamwambia kama ulishaona hisia zangu unadhani nahitaji nini? Niliona nisianze kutaja shida niliyonayo kwanza nimsikilize yeye ndio na mimi niseme ya kwangu. Yeye akadai aliona ni mahusiano ya kula na kuondoka. Akaniambia kama niko tiari ataweka sheria za kutuongoza za maandishi ili baadae tusijekupeana shida. Nikamwambia sheria zako utazoniwekea nitazifuata vilivyo japo najijua ninawivu lakini wewe ni mme wa mtu tiari nitavumilia.

Akaja na sheria na mipango mingi sana asee.sheria nyingi nilivyotafakari nikaona nyingi zinamlenga mtoto ambaye mimi ndio ninayemhitaji zaidi. na yeye akaona labda ni mmoja tu wakati mimi nishajipangia wakunitosha kabisa. Kwa maelezo yake nikaona hayuko tiari kuwa na mtoto nje ya familia na nikitokea kumpata basi nitoe mimba ama atamchukua. Nilichoka viungo vyote. Akaniuliza unalolote nikamwambia nizungumze nini wakati sheria zimekuwa ngumu.

Haki ya Mungu yaani natamani siku zirudi nyuma nizunguke na wanaume kama wafanyavyo wengine. Hukukujitunza kwangu kunanifanya nilie kila siku na kuomba Mungu usiku kucha kisa nilimtunzia mtu bikira. Jamii inayonizunguka itanitia wazimu maana swali la unaolewa lini limenichosha kabisa. Basi kama siolewi hata mtoto tu ni shida kumpata.

Kwasasa ninashida na mtoto kuliko maelezo na niendako nadhani nitawehuka. Msaada wenu tafadhalini sana.

NB. Hapo mwanzo nilifunga novena kwa muda wa mwaka mmoja na kuomba na kukabidhi mwili wangu uwe kwa ajili ya mtu mmoja tu ambaye ndio atakayekuwa mme au baba wa watoto wangu. Ndio maana inaniwia vigumu kuingia mahusiano mbalimbali.
BIBLIA inasema hakuna atakayekosa mwenza wake ila unapaswa ujiweke kwenye mazingira yya kuonekana kwa watu ssio kwa kufunga au kuoomba lazima ujiweke kwenye mrengo wa kupatikana
1. Jiweke sawa katika maneno yako na uunavyojisemea wewe mwenyewe, biblia inasema dunia iliumbwa kwa maneno. maneno unaayojisemea yanaweza kukjengea au kukuuharibu. Unawaza nini juu ya jambo lako. ukiwa hasi inakuwa hasi ukiwa chanya inakuwa chanya
2.Muonekano.. unawezakuta kuna wau wanakuona ila uavyojiweka wanahisi wewe ni wa gharama sana au unajiweka kamammama mtu mzima kumbe bado ni binti jiweke kwenye mkao wako unaopeleka ukaonekana
3.Tafuta watu sahihi ambao mna matatizo au changmoto sawa ukikaa na ambao wana watoto utapaik mana kila muda wao wanajadili mambo yao wewe huna la kujadili juu ya watoto.
Lakini pia kuwa mvumilivu na ujiulize je maombi yangu nayaomba kwa njia sahihi(neno la Mungu) yawezekana ukioma unamlaumu sana Mungu bbadala ya kumnyenyekea au kumuuliza akuongoze kwenye njia sahihi. Unavyoomba siku zote itakuletea faida au hasara. refer .....mapenzi yako yatimizwe,,
Yaawezekana ukawa unaoma mtoto kume huyo mtoto ndo akawa mwanzo wa kukuharibia maisha yako..

NAONA MAJESHI YAMEHAMIA PM KILA HERI
2.
 
Mpigie huyu hapa ni mtumishi wa mungu kwa namna yoyote atakusaidia 0763134629. Mm pia amenisaidia makubwa kuliko yako.
 
Haya Mambo ya DINI ndio yanayokuwekea vikwazo.

Ondoa hiyo DHANA kichwani mwako.

Kama shida yako ni MTOTO tu, nitafute nikuletee KIUMBE.

DINI yangu MUISLAM.

Unasemaje MALAIKA?

Muhimu,

Uwe tayari kupima NGOMA (UKIMWI), na tunaenda wote pamoja MIMI na wewe kwenda kupima NGOMA
 
Pole sana Jane..... God is on your side..... nakuombea ufanikiwe..... ukitakaushauri zaidi jisikie huru kuniuliza..... I will be available....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakuwaje; uliosoma nao,unaoishi nao,unaosali nao,unaofanya kazi nao,na mlioishi nao asitokee hata mmoja aliyetayari kuishi na wewe......kuna tatizo, labda ulikuwa mkali sana au kuna sifa zingine ziliwanyima nafasi za hao unaowatafuta kipindi hiki.kuna tofauti,umri wa mwanaume unapoongezeka kuhitajika kwake ktk mahusiano huongezeka zaidi ni tofauti na mwanamke,umri unapoongezeka zaidi wanaume wanajiondoa kwenye ushindani.kwa umri ulionao kama hutobadilika ktk life style kuna uwezekano mkubwa ukazaa na mme wa mtu,au mtu aliyefiwa na mke.
 
Mungu ni mwema wakati wote!

Habari mrembo wangu katika Kristo Yesu, natumai uko poa, sitaki kukupotezea muda sana niende kwenye mada, nmesoma uzi wako kwanza nikupe hongera kwa kua na msimamo na nataka nikutie Moyo mume mwema yuko njiani usijali maana mawazo anayotuwazia Mungu wetu ni mema ikiwemo kukupatia mume halali wa ndoa na familia nzuri!

Hebu ukipata muda soma kitabu kizima cha Ruthu ni kitabu kidogo tu kina sura nne tu! Kuna ushauri mzuri sana Naomi alimpa Ruthu hebu upitie!

Nitakuweka kwenye maombi yangu leo, na namwomba Roho Mtakatifu akuongoze vyema katika kuchambua na kuchukua ushauri mzuri utakao kufaa katika mwingi ambao umeshatolewa humu ndani (watu wengi wametoa ushauri mzuri sana!)

Ni hayo tu mrembo wangu nakutakia kila la heri na lenye baraka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za Jumapili wanajamii.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 32 kwa sasa. Napitia katika changamoto kubwa sana.

Hapo mwanzo kipindi ninasoma niliona si vyema kujiingiza katika mahusiano ya kufanya mapenzi kwani niliona yatanivuruga na ningejikuta napitia katika mahusiano mengi kitu ambacho sijawahi kukipanga maishani.

Nikamaliza chuo vizuri namshukuru Mungu.katika kutafuta ilikuwa ngumu kidogo nilitafuta mpaka nikakata tamaa nikaomba Mungu mpaka nikaona inatosha. Katikati ya kukata tamaa nikamuomba Mungu basi anipe kitu kimoja kwanza mme au kazi. Ila la kazi ndio nililoliwekea msisitizo kwani kwa kipindi hicho familia yangu ilikuwa inapitia changamoto nyingi kwa hiyo nikaona kazi itanisaidia kupunguza changamoto ama la basi niolewe ili nipunguze mzigo kwa familia yangu.

Siku isiyotarajiwa nikaitwa interview na nikapata kazi nzuri ambayo sikuwahi hata kufikiria wala kuiwaza. Nikashukuru Mungu na kuanza maisha mapya ya kazi na kusaidia familia yangu. Nikajikita kwenye kumuomba Mungu anijalie mme mwema atakayenifaa na kuongoza familia tutakayoipata katika misingi ya imani ta dini ya kikristo. Sikubagua kabila wala atakuwa mkirsto wa aina gani maadamu awe anaabudu jumapili maana mimi nilikuwa tiari kuhama katoliki ili tulee familia yetu tukiwa na muongozo wa dini moja.

Sikuwahi kudhani nitafikia huku maana mpaka sasa imekuwa ngumu kama ni Mungu hachelewi ama hawahi basi kwangu mimi kwa sasa imekuwa ni shida kubwa. Nimefunga novena nimesali sana mpaka naona nimeanza kuathirika na hili swala. Mwaka jana tarehe moja nikaona basi kama mme wangu hayupo nipate tu mwanamme nitakae zaa nae lakini awe mkirsto maana siko tiari kumtenga baba na mtoto wake hata kama hamhudumii, nikiamini kuwa uwezo wa kulea mwenyewe ninao hata kama watoto watakuwa zaidi ya mmoja niko tiari kupambana na maisha.

Nikaona kwa sababu nitakuwa pekeangu nikaanza kuwekeza ili watoto wangu wanikute nimejiandaa. Na penyewe Mungu akaona wakati wangu bado. Mwaka huu mwezi wa pili akatokea mme wa mtu kitu ambacho sijawahi hata fikiria kuwa kunasiku nitaangukia huko, Mwanzoni nilitaka tuzungumze mapema kabla hatujazoena sana matakwa yangu lakini akawa mtu wa kuona nampangia sheria mapema na kudai hizo mipango ninazotaka kupanga nae tukiwa hatujafika mbali ni mipango gani. Nikaona isiwe tabu.

Ikafika siku ya kukutana nikamwambia mimi sijawahi kabisa hakuamini na nikamwambia kama anajiamini aendelee ila ajue atakuwa na deni la kulipa, akatafakari akaona viatu ni vikubwa akaondoka.

Chenga zikaongezeka nikajiuliza ni nini shida, tukapanga tukutane ili tuone hatima ni nini kati yetu. Akaja na kudai yeye hayuko tiari kutoa bikira ya mtu asiye na mpango nae. nikamuelewa na nikaona yuko sahihi.Nikamuuliza wewe ulivyoanza ulitegemea mimi ni mti sina hisia za kufanya mapenzi akadai alijua anajihusisha na mapenzi ya kila mtu ana mtu wake hivyo wanakutana kulizishana tu. Akaniambia nahitaji nini hasa kwake nikamwambia kama ulishaona hisia zangu unadhani nahitaji nini? Niliona nisianze kutaja shida niliyonayo kwanza nimsikilize yeye ndio na mimi niseme ya kwangu. Yeye akadai aliona ni mahusiano ya kula na kuondoka. Akaniambia kama niko tiari ataweka sheria za kutuongoza za maandishi ili baadae tusijekupeana shida. Nikamwambia sheria zako utazoniwekea nitazifuata vilivyo japo najijua ninawivu lakini wewe ni mme wa mtu tiari nitavumilia.

Akaja na sheria na mipango mingi sana asee.sheria nyingi nilivyotafakari nikaona nyingi zinamlenga mtoto ambaye mimi ndio ninayemhitaji zaidi. na yeye akaona labda ni mmoja tu wakati mimi nishajipangia wakunitosha kabisa. Kwa maelezo yake nikaona hayuko tiari kuwa na mtoto nje ya familia na nikitokea kumpata basi nitoe mimba ama atamchukua. Nilichoka viungo vyote. Akaniuliza unalolote nikamwambia nizungumze nini wakati sheria zimekuwa ngumu.

Haki ya Mungu yaani natamani siku zirudi nyuma nizunguke na wanaume kama wafanyavyo wengine. Hukukujitunza kwangu kunanifanya nilie kila siku na kuomba Mungu usiku kucha kisa nilimtunzia mtu bikira. Jamii inayonizunguka itanitia wazimu maana swali la unaolewa lini limenichosha kabisa. Basi kama siolewi hata mtoto tu ni shida kumpata.

Kwasasa ninashida na mtoto kuliko maelezo na niendako nadhani nitawehuka. Msaada wenu tafadhalini sana.

NB. Hapo mwanzo nilifunga novena kwa muda wa mwaka mmoja na kuomba na kukabidhi mwili wangu uwe kwa ajili ya mtu mmoja tu ambaye ndio atakayekuwa mme au baba wa watoto wangu. Ndio maana inaniwia vigumu kuingia mahusiano mbalimbali.
Njoo inbox tafathali Nina shida kama ya kwako njoo nipo huru tubadilishe mawazo tutalimaza kabsa

Sent from my HUAWEI Y360-U82 using JamiiForums mobile app
 
Sipati picha hayo mabazazi yalivyojazana huko PM kwako yakipambana kupewa ruhusa ya kuivunja bikra yako!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wameokoka wanaogopa kutoa wamezoea vya kukuta njia ishatengenezwa. Kwa hiyo hawapo kabisa wapo tu hapa wanasoma na kutoa michango. Wanaume nao si wanaakili nyingi.
 
Unaishi kwa ajili ya watu??usiombe kulea watoto mwenyewe dear..unaona ni rahisi kwa kuwa bado hujawapata.

1.unataka watoto wako waje kuishi bila baba yao kisa wti umri unaenda??tafakari.

2.unataka wasome katika mazingira magumu?

3.unaonekana unataka kuwafurahisha watu.ishi maisha yako.

4.inaonekana unafanya maombi yako kwa malalamiko.ni kama unamlaumu Mungu kwanini akupi unalolihitaji.kama unafanya hivyo acha mara moja.

5.Unataka kuolewa au kupata watoto kwa sababu marafiki uliomaliza nao chuo au unaofanya nao kazi wana watoto au wameolewa.nakusisitiza ishi maisha yako wewe hayo unayoyalazimisha yawe wakati muda wake bado,,utakuja kulia jua likiwa linawaka na usiamini.

6.usithubutu kuzaa na mume wa mtu mpendwa.kabisa usithubutu utakuja kulia machozi ya damu.bora uzae na mwanaume ambae hajaanza kuwa na familia,familia yako ndo iwe ya kwanza.

Mume wa mtu utazaa nae lkni ikifika jioni huyoooo kwa mke wake anakuacha bado unamuhitaji.atakuwa anakuona kwa kificho kwa sababu anaipenda familia yake ya kwenye ndoa.

Muda wako utafika tu usiishi kwa kufuata maishi ya watu kuwa wewe.punguza haraka.ulishawahi kujiuliza kwanini ulimuomba Mungu akupe mume na kazi lakini akaamua kukupa kazi na sio mume na vyote uliviomba kwake?????shukuru kwa kila nyakati unayopitia hutoamini majibu yatakayotoka hapo.

Naomba niishie hapa.uwe na wikend njema mpedwa.
Ushauri mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom