Napitia katika changamoto kubwa

Napitia katika changamoto kubwa

Cheii hivi mtu anaweza kuwa desperate na ndoa kiasi hichi! Piga Kazi Fanya serving za kutosha Nenda holiday kila mahali upunguze icho Kichaa life begin -----40 ukooooo!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukienda holiday ndio utakua umeolewa au umepata mtoto? Mwenzio anatakabmme au mtoto wewe unamwambia maswala ya holidays unadhani yeye hajui kama zipo.

Kama haupendi kuolewa au kupata mtoto usidhani wote wako hivyo. Ukikua utajua
 
Inawezekana una nyota ya kuwa "Sister" sister wa kanisa katoliki. Ulisoma shule gani? au maybe ulianza kufata malezi ya usister ukaishia njiani? Nasikia kama ulipitia kkt malezi hayo na ukaondoka kwa kiburi na dharau maisha yako hayatakuwa ktk mstari. Lakini hayo mm nawaza tuu but hakuna linaloshindikan kwa Mungu. Wewe subiri wakati wa Bwana ufike
 
Wameokoka wanaogopa kutoa wamezoea vya kukuta njia ishatengenezwa. Kwa hiyo hawapo kabisa wapo tu hapa wanasoma na kutoa michango. Wanaume nao si wanaakili nyingi.
kutoa bikra sio mchezo wengi hawataki hizo karaha
 
Kwanza napenda kukupa pole kwa hili linalokunyima raha.
Labda nikukumbushe tu...kuna kisa kimoja cha bibilia cha bibi aliyeitwa Sara...alizaa akiwa na umri wa miaka 90 just imagine...Katika kipindi chote cha ndoa yake kabla ya kupata mtoto alijihisi mpweke kama wewe vile...lakini mwishoni MUNGU alitenda miujiza.

USHAURI
1. Kuwa na imani na Mungu wako...atatenda..na ikitokea asitende mahukuru pia...
Kumbuka ukujileta duniani dada...
Kupata mme ni majaliwa...kupata mtoto ni majaliwa his.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee........ Ukibadili msimamo na kuona waislamu wanafaa, nitaomba kipaumbele.
 
naona namna utakavyoumia mbelen ukikurupuka shoro wangu
 
Sarah alizaa akiwa na umri mara mbili ya wako kama kweli una imani kwa nini uwe na mashaka na mipango ya mungu juu yako.
Kuwa makini na uyawazayo na matamanio yako,kama yeye alikutunza mbali na ufuska mpaka hapo ulifikia unafikiri suala la kukupa wewe mme au mtoto ni gumu kwake?.
Mimi nina miaka mingi sijaenda kanisani kusali lakini nina imani kubwa sana na kila kitu ambacho mungu huwa anakifanya juu yangu kiwe kizuri au kibaya machoni pangu lakini huwa naamini mungu hana mipango mibaya na mimi huwa nasubiri muda muafaka yeye alioupanga.
Angalia usije ukamchukuza mungu kwa kupanga mipango yako kinyume nae utajuta.
Ni hayo tu..
 
Inawezekana una nyota ya kuwa "Sister" sister wa kanisa katoliki. Ulisoma shule gani? au maybe ulianza kufata malezi ya usister ukaishia njiani? Nasikia kama ulipitia kkt malezi hayo na ukaondoka kwa kiburi na dharau maisha yako hayatakuwa ktk mstari. Lakini hayo mm nawaza tuu but hakuna linaloshindikan kwa Mungu. Wewe subiri wakati wa Bwana ufike
Nimesoma huko lakini sikuwahi kuwaza hata siku moja. Napenda maisha ya familia kwa hiyo utawa haukuwa moyoni.
 
Shikilia imani yako. Usipelekeshwe na walimwengu. Kila unayemuona anapambana na matatizo yake. Kinachotutofautisha ni uwezo wa kustahimili wa shida zetu.
kweli kabisa
 
Mdogo wangu, sijui nikuelezee vipi ili unielewe, miaka 32 ya kujitunza na kuweka malengo maishani ni kitu chema sana. Bado unayo nafasi kubwa ya kupata watoto na mume bora, ikiwezekana ongeza tu 'social circle' yako ili ukutane na watu tofauiti ktk mazingira tofauti. Nakusihi kuwa makini usijeharibu miaka yako ya umakini kwa papara, wewe bado una nafasi na muda wa kutosha, trust me!
 
Back
Top Bottom