Napitia katika changamoto kubwa

Napitia katika changamoto kubwa

Unaishi kwa ajili ya watu??usiombe kulea watoto mwenyewe dear..unaona ni rahisi kwa kuwa bado hujawapata.

1.unataka watoto wako waje kuishi bila baba yao kisa wti umri unaenda??tafakari.

2.unataka wasome katika mazingira magumu?

3.unaonekana unataka kuwafurahisha watu.ishi maisha yako.

4.inaonekana unafanya maombi yako kwa malalamiko.ni kama unamlaumu Mungu kwanini akupi unalolihitaji.kama unafanya hivyo acha mara moja.

5.Unataka kuolewa au kupata watoto kwa sababu marafiki uliomaliza nao chuo au unaofanya nao kazi wana watoto au wameolewa.nakusisitiza ishi maisha yako wewe hayo unayoyalazimisha yawe wakati muda wake bado,,utakuja kulia jua likiwa linawaka na usiamini.

6.usithubutu kuzaa na mume wa mtu mpendwa.kabisa usithubutu utakuja kulia machozi ya damu.bora uzae na mwanaume ambae hajaanza kuwa na familia,familia yako ndo iwe ya kwanza.

Mume wa mtu utazaa nae lkni ikifika jioni huyoooo kwa mke wake anakuacha bado unamuhitaji.atakuwa anakuona kwa kificho kwa sababu anaipenda familia yake ya kwenye ndoa.

Muda wako utafika tu usiishi kwa kufuata maishi ya watu kuwa wewe.punguza haraka.ulishawahi kujiuliza kwanini ulimuomba Mungu akupe mume na kazi lakini akaamua kukupa kazi na sio mume na vyote uliviomba kwake?????shukuru kwa kila nyakati unayopitia hutoamini majibu yatakayotoka hapo.

Naomba niishie hapa.uwe na wikend njema mpedwa.
 
kitu ambacho Mwenyezi Mungu hawezi kukifanya kwa binadamu ni kumnyima haki yake....siku yako ipo zidisha maombi tu

shida zikizidi sana neema inakaribia, kuna watu wanashida zaidi ya wewe still wanaamini siku yao ipo...mfano mimi

stay strong madam, kila la kheri...nitakuombea kwa siku ya leo
 
Pole m-dada....

Kwangu kwa umri uliotaja bado mbona u mdogo. Tamaa uliyokata ni kubwa saana kuliko umri. Vuta pumzi kuna wenzako wanaolewa kwenye 35 na wanazaa kwenye huo umri.

Kwa upande wa pili.
Unataka mwanaume je unajiweka kimtego mtego au bado unabehave kama mwanafunzi wa sekondari asiyehitaji mazoea anatunza bikra??

Wanaume tunachukia over protective women.. Siku hizi ni wanaume wachache wanaopoteza muda wao kuzungushana na wanawake wanaowapush.

nitakushauri haya.

1. Kuwa mwanamke, pendeza, ishi kwa tabasamu, watege wanaume bila kuwaonyesha unawatega.

2.Najua sio wote mmepewa sura na maumbo lakini wanawake wangapi wasio na sura na maumbo mazuri wameolewa? Mwanamke kauli, pendeza na uvutie.

3. Toa stress za kudhani ushapitwa. Hili linakutesa akilini. Sahau You are still young.
Nashukuru kwa ushauri kaka angu. Wanadamu wanaweza kukupa jakamoyo. Na wazazi wangu japo hawajawahi niuliza direct lakini wanavyozungumuza mimi ni mtu mzima nawaelewa. Inafika sehemu nashidwa kabia. Na tatizo kubwa nililonalo ni kutojihusisha na mapenzi directly kitu ambacho wanaume wengi nashidwana nao hapo.
 
Usipanic life begins at 40 ukiacha desperation wako atakuja ila sasa hivi ikikurupuka utaumia atajitokea mhuni akulize. God's time is the best loh , hafu zawadi ya maisha ni muhimu kuliko huyo mume unayemlilia ukiona case za wanawake kuhangaika kuwatuliza waume kuanzia kanisani had kwa waganga ungetulia tu upate sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani fote 40 kabsaa kwa mwanamke mii sikubali kwa mwanamke punguza tena saaa
 
Nashukuru kwa ushauri kaka angu. Wanadamu wanaweza kukupa jakamoyo. Na wazazi wangu japo hawajawahi niuliza direct lakini wanavyozungumuza mimi ni mtu mzima nawaelewa. Inafika sehemu nashidwa kabia. Na tatizo kubwa nililonalo ni kutojihusisha na mapenzi directly kitu ambacho wanaume wengi nashidwana nao hapo.
Chukulia maneno ya binadamu positively. Wakikuuliza unaolewa lini usitfsiri unasimangwa ila wanakupenda wanataka wakuone kwenye ndoa yenye furaha.

Hilo la kutokujihusisha na mapenzi anza kuanzia leo. Jifunze kwenye mitandao ingia huku MMU hata kwa ID ngeni flirt na watu, taniana, ukiwa na time tengeneza fake relationship za humu ucheke...

Nakuambia Itakusaidia. Umri wako sio wa kulalamikia hili. Una muda wa kujipanga na kupata mme wa ndoto zako.
 
Nina uhitaji wa Mtoto poa mkewangu ananikera sana nahisi nikimchapa na kichanga cha nje akili zitamnyooka...njoo pm tuyajenge na ntakutuza hutajuta!!
 
Umri wako unaenda hapo utaishia kupata hao hao waume za watu na mwisho utafanyiwa kitu mbaya na wenye waume zao,na ukipata mwanaume asiye na mke atakuja kukupiga pesa na kusepa so take care utashangaa unazeeka tu kwa maelezo zaidi njoo PM
 
Nimeishia sehemu uliyosema unajilaumu kwa nini hukufanya walivyofanya wenzako. Unaonekana umeingiwa na mashaka kama Petro. Pia huenda hujajibiwa kwa kuwa hujaandaa moyo wako katika jibu la Mungu ambalo liko tofauti na malengo yako. Umeshamwekea limit Mungu ya kwamba lazima mtu awe wa kusali jumapili. Badili ombi lako na uwe mvumilivu. Omba Mungu lakini usisahau kumalizia maneno yafuatayo, "mapenzi yako yatimizwe". Soma misitari ifuatayo. Isaya 48:17-18, Zaburi 32:8, Isaya 40:27-31.
Nashukuru kwa mistari uliyonipa nimeipitia hapa na nitazidi kuisoma pake niombapo.asante sana.
 
Umesoma mpaka chuo....lakini kiswahili bado kinakupiga chenga......

Tiari=tayari


Nije kwenye ushauri sasa.....kwani dada ina maana toka umalize chuo mpaka hapo ulipo kuanzia kazini mpaka mtaani kwenu hakuna wanaume wengi wengi wanaokutongoza ???? Kama wanakutongoza halafu unawakataa huwezi jua mmoja wapo labda angekua mumeo!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaishi kwa ajili ya watu??usiombe kulea watoto mwenyewe dear..unaona ni rahisi kwa kuwa bado hujawapata.

1.unataka watoto wako waje kuishi bila baba yao kisa wti umri unaenda??tafakari.

2.unataka wasome katika mazingira magumu?

3.unaonekana unataka kuwafurahisha watu.ishi maisha yako.

4.inaonekana unafanya maombi yako kwa malalamiko.ni kama unamlaumu Mungu kwanini akupi unalolihitaji.kama unafanya hivyo acha mara moja.

5.Unataka kuolewa au kupata watoto kwa sababu marafiki uliomaliza nao chuo au unaofanya nao kazi wana watoto au wameolewa.nakusisitiza ishi maisha yako wewe hayo unayoyalazimisha yawe wakati muda wake bado,,utakuja kulia jua likiwa linawaka na usiamini.

6.usithubutu kuzaa na mume wa mtu mpendwa.kabisa usithubutu utakuja kulia machozi ya damu.bora uzae na mwanaume ambae hajaanza kuwa na familia,familia yako ndo iwe ya kwanza.

Mume wa mtu utazaa nae lkni ikifika jioni huyoooo kwa mke wake anakuacha bado unamuhitaji.atakuwa anakuona kwa kificho kwa sababu anaipenda familia yake ya kwenye ndoa.

Muda wako utafika tu usiishi kwa kufuata maishi ya watu kuwa wewe.punguza haraka.ulishawahi kujiuliza kwanini ulimuomba Mungu akupe mume na kazi lakini akaamua kukupa kazi na sio mume na vyote uliviomba kwake?????shukuru kwa kila nyakati unayopitia hutoamini majibu yatakayotoka hapo.

Naomba niishie hapa.uwe na wikend njema mpedwa.
Asipokuelewa hapa basi, hasa hiyo namba 4 na 6.

Maandiko yanasema " Mungu hujibu kwa wakati wake (sio wako).

Waswahili wanasema "Ukiona kiza totoro ujue ndo kumekaribia kukucha".

Hakika umemshauri vyema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi naona kama umri unaenda sana hivyo nahofia kukosa mtoto kabisa. Tatizo kubwa nililonalo ninapenda sana watoto na kwa sasa namhitaji kuliko ninavyoweza zungumza.
Mbona umri wa kawaida jiloga kuzaa hujaolewa utaanza kuwa single mom ambao ni mtihani mgumu kulea mtoto bila mzazi mwingine, hafu jichunge kwa huo udesperate wanaume watakutumia nakusepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada angu pole Kwa kinachokusumbua. Jambo hili limekuwa common Sana Kwa wanawake ambao wenye fikra kama zako . Wengi huona umri unaenda na huchoka kuvumilia na kinachotokea ni kujirahisi Kwa mtu yeyote ambae hata hamjui. tatizo ndpo linapoanzia kila kitu hubadilika na kujikuta hata mwenendo wa maisha hubadilika pia. Malaz huchukua nafas yake, mbaya Sana kukata tamaa cha kufanya hapo usikate tamaa, na maamuzi yeyote unapotaka kuyachukua fikiria faida na hasara. Kinachokutesa wewe saiv ni hofu ya kuwa na umri mkubwa bila ya kuwa na mme,bila ya kuwa na mtoto .jaribu kuishinda hyo hofu. Ucijar kuwa na umri mkubwa pasipo kuwa na mtoto/watoto.amini kuwa mda bado na jione kama ndo Kwanza una miaka 22. Uciruhusu hofu hyo ikatawala nafsi yako itakufanya ikosee mwishoni wakat karbu unashinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom