hujui_sijui
Member
- Apr 19, 2020
- 34
- 8
Hu
Hujui........Ahaaa! Mbona hapo viongozi hao wa dini wapo kwenye vikao vya upinzani?.....sijui.......uzuri wa nchi yetu haina ubaguzi. 'KWANI KUNYA ANYE KUKU, AKINYA BATA.......'Povu lote Hili la Nini! Kila mtu sio mlisema apewe haki ya Uhuru wa kujieleza! Sasa Uhuru si ndio huu, au mie sijui maana yake!? Ninyi mnaojiita wapinzani ni wanafiki kuliko maelezo, na Kama mngepewa mamlaka naona hakuna ambaye angeruhusiwa kufanya myafanyayo! Aibu yenu!