KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,212
- 33,231
Jukumu la viongozi wa dini kukosoa tu na sio kusifia???Haya mafanikio ya Rais hayaonekani kwa macho mpaka yanadiwe?
Kwanini mnapenda kusikia tu yale yanayoifurahisha nasfi zenu !!!!?
Hiyo ni demokrasia ni ipi ambayo mnaipigania ikiwa mnashindwa kustahimili mawazo na fikra hasi za wenzenu!!??
Au demokrasia ni kukosoa tu!!?