Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,386
Bila kutumia Maneno mengi wote tunajuwa mabilioni ya pesa za walipa kodi yalivyohujumiwa na wanaccm kukwamisha katiba pendekezwa ya tume ya Warioba.
Sasa kuna wanasiasa wanadhani tumesahau au sisi ni wajinga, eti wanataka katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025 halafu bunge hili la DP ndio ligeuke kuwa ubunge maalum la katiba na kuongezewa idadi kidogo ya uwakilishi wa makundi unategemea nini?
Yani huku kuna Kibajaj huku kuna Msukuma, huku babu Tale mnakwenda kujadili katiba ipi? fuatilieni mjadala wa bajeti jumatatu wote mtakubaliana na Mimi na kuniunga mkono ni kwamba hatuna bunge.
Sasa wazalendo wa kweli tusikubali pesa zetu kuhujumiwa tena kwenda kulipana posho kwa mchakato hewa.
Tusubili uchaguzi ambao nina uhakika kwa viwango vyovyote vile watapatikana wabunge wenye uwiano na wababaishaji karibu wote si rahisi kurudi bungeni hapo ndio mtuletee bunge la katiba lakini kwa sasa tukatae huu ubabaishaji na hadaa za Ccm ambazo viongozi wa upinzani bado hawajauona mtego uliopo mbele yao.
Natoa hoja.
Sasa kuna wanasiasa wanadhani tumesahau au sisi ni wajinga, eti wanataka katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025 halafu bunge hili la DP ndio ligeuke kuwa ubunge maalum la katiba na kuongezewa idadi kidogo ya uwakilishi wa makundi unategemea nini?
Yani huku kuna Kibajaj huku kuna Msukuma, huku babu Tale mnakwenda kujadili katiba ipi? fuatilieni mjadala wa bajeti jumatatu wote mtakubaliana na Mimi na kuniunga mkono ni kwamba hatuna bunge.
Sasa wazalendo wa kweli tusikubali pesa zetu kuhujumiwa tena kwenda kulipana posho kwa mchakato hewa.
Tusubili uchaguzi ambao nina uhakika kwa viwango vyovyote vile watapatikana wabunge wenye uwiano na wababaishaji karibu wote si rahisi kurudi bungeni hapo ndio mtuletee bunge la katiba lakini kwa sasa tukatae huu ubabaishaji na hadaa za Ccm ambazo viongozi wa upinzani bado hawajauona mtego uliopo mbele yao.
Natoa hoja.