Napigwa na kunyimwa unyumba.

Napigwa na kunyimwa unyumba.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,432
Ndoa naiona chungu na sijui la kufanya.
Mke wangu ananichukulia kama mtoto, aninaamrisha, ananitumikisha na pia huwa ananipiga.
Nimejaribu kupambana naye lakini nimejikuta nikiambulia maumivu na majeraha.
Sina pa kwenda kwani naishi naye kwenye tuliyoijenga wote.
Amekuwa na tabia ya kunikataza kuongea na baadhi ya marafiki zangu, na pia simu yangu amekuwa akinipora na kuangalia watu ninaowasiliana nao.
Nimezaa naye watoto wawili.
Mkubwa ana umri wa miaka tisa na mdogo wake ana umri wa miaka mitano.
Kibaya zaidi mtoto wetu mkubwa amekuwa akiwasilimulia wenzake jinsi ninavyokula kipondo.
Majirani wote wanajua taabu ninayoipata kutoka kwa mwanamke huyu wa kinyiha.
Unyumba ni hadi atake mwenyewe na nikimaliza kabla yake napigwa sana halafu naambiwa tuendelee na tendo la ndoa ambalo kwangu naona adhabu.
Nifanyeje kujinusuru na mateso haya?
 
Duh....! Pole sana. Mlie za kichina kidogo.
 
Kumbe Mnyia mimi nilidhani mkulya!!Wewe unamlegezea ukiona anazingua usipige kama unapiga mamawatoto piga ngumi nzito za uso harudii!!Unipe jibu baada ya hapo kama amerudia au wewe ujai kiganjani mnaenda kubeba semi wakati wewe bajaji utakuwa ukibanjuliwa kila mara!!!
 
Aisee hii haijakaa vyema mwanaume unapigwa na mwanamke? Hii ndo kwanza naisikia by the way pole sana. Mueleze mkeo tu kuwa tabia hiyo si nzuri labda anaweza kukusikia
 
Pole sna ndugu but ni hivi you only live once chagua moja kula kipondo maisha yako yote au kuangalia ustaarabu mwingine, mwenyewe ndo mwamuzi wa mwisho:confused2::confused2::confused2:
 
Ndoa naiona chungu na sijui la kufanya.
Mke wangu ananichukulia kama mtoto, aninaamrisha, ananitumikisha na pia huwa ananipiga.
Nimejaribu kupambana naye lakini nimejikuta nikiambulia maumivu na majeraha.
Sina pa kwenda kwani naishi naye kwenye tuliyoijenga wote.
Amekuwa na tabia ya kunikataza kuongea na baadhi ya marafiki zangu, na pia simu yangu amekuwa akinipora na kuangalia watu ninaowasiliana nao.
Nimezaa naye watoto wawili.
Mkubwa ana umri wa miaka tisa na mdogo wake ana umri wa miaka mitano.
Kibaya zaidi mtoto wetu mkubwa amekuwa akiwasilimulia wenzake jinsi ninavyokula kipondo.
Majirani wote wanajua taabu ninayoipata kutoka kwa mwanamke huyu wa kinyiha.
Unyumba ni hadi atake mwenyewe na nikimaliza kabla yake napigwa sana halafu naambiwa tuendelee na tendo la ndoa ambalo kwangu naona adhabu.
Nifanyeje kujinusuru na mateso haya?

...Samahani mtoa mada....imebidi nicheke kwanza aiseee....is this true mkuu? au ni fiction story?
 
Aisee hii haijakaa vyema mwanaume unapigwa na mwanamke? Hii ndo kwanza naisikia by the way pole sana. Mueleze mkeo tu kuwa tabia hiyo si nzuri labda anaweza kukusikia


Hapo ndio atalala nje kama sio kuwaleta wazee wamuombee msamahaa. Mimi naona kama vipi amuhamishe kule Uganda kunakoandaliwa sheria ya kudhibiti ubakaji ndani ya ndoa.
 
:confused2:Kulikono NN?pekundu

This forum has degerated to the ranks of darhotwire. The topics are not as intriguing anymore.

They just get recycled over and over. They lack any kind of value, be it intellectual or entertainment.

It's just a stale routine of the same shit.
 
Achana na mzembe mzembe huyu
Unapigwa na mkeo kisha unakuja kijiweni kulalamika na kuomba ushauri.
Tulikutongozea sisi? Nenda kwao waeleze ama amua kula ngumu ndo iwe maisha yako.
at least mwanaume mmoja in a million anapigwa na mkewe. huu ndo usawa wa kijinsia
 
Pole sana, inaonyesha wewe ni mwanume mlegevu usiyejua kuisimamia nyumba yako kiasi cha mke kuona kuwa huna lolote hivyo anakuchukulia kuwa ni mtu wa kawaida.Jishughulishe uwe vizuri kifedha uone kama atakunyanyasa!!!!!
 
au ndiyo wewe jirani yangu? jirani yangu ni mchaga ameoa mchaga mwenzake wa m*****e. hadi nauli ya dala dala lazima amwombe waifu, I bet huko ndani akikosa kuilipia lazima apigwa manake jamaa ni mtu mzima lakini kamama ni balaa. lol
 
This forum has degerated to the ranks of darhotwire. The topics are not as intriguing anymore.

They just get recycled over and over. They lack any kind of value, be it intellectual or entertainment.

It's just a stale routine of the same shit.
Shit!!Shame on him just a joke in JF do you mean??
 
Hehehehe ndo hasara ya kuoa mke baunsa pole yako, nenda kachanjie ngumi.
 
Back
Top Bottom