Napigwa na kunyimwa unyumba.

Ni mimi mama, uvumilivu umenishinda. Jumamosi alinirushia remote ya decoder ikanichana sehemu ya juu ya jicho langu la kushoto.
Ofisini jamaa wakadhani nimepigana baa
nilijua tu utakuwa ni mlevi mbwa acha kunywa ovyo mpaka mkeo anakuzidi nguvu gangamala mtoto wa kiume ni aibu sana unayongea hapa na kama mkeo anaona hii topiki lazima ulale nje

nilichogundua hapa ni kwamba uwa unalewa na kushindwa kutimiza majukumu ya kitandani badilika sio bure
 
It sound line an hoax, lakini kama ni kweli tafuta nyumba ndogo ya kukuliwaza ambo ya nyumba na mali nendeni mahakamani mkakate pasu alafu kila mtu achukue time na maisha yake
 
This is very funny. Lakini huyu mwanamke yuko makini katika ndoa. Hataki umalize kabla yake. Ha ha ha.
 
Tumeenda kwenye mabaraza ya usuluhishi nikiwasimuli hawaamini, kwani nina umbo kubwa na ni mnene kiasi.
Naye anaongeza chumvi kwa kusema kuwa namshitaki ili nipate nafasi ya kusherehekea na mahawara zangu wakati si kweli
it sound line an hoax, lakini kama ni kweli tafuta nyumba ndogo ya kukuliwaza ambo ya nyumba na mali nendeni mahakamani mkakate pasu alafu kila mtu achukue time na maisha yake
 
Pole kaka ndio uume huo,9 Yrs leo ndio umeweza kusema?au kaanza juzi?Huyo Mama ndio wale ambao JK alikuwa akiwasifu juzi nini?Kuwa wako 5 wamefikia cheo karibu cha juu kabisa jeshini. Niliwaangalia hawana pete,nikasema duuu mungu epushia mbali ukimpata wa hivyo halafu akataka kukuonyesha vidume anavyovikimbiza kazini kwake!:confused2:

Mkuu hapo ulitakiwa kusema uanaume. Uume ni matushi!. Sidhani kama ulikuwa na nia ya kumvua nguo, lol.
Kiswahili, kazi kweli kweli.
 
Ndoa naiona chungu na sijui la kufanya.
Mke wangu ananichukulia kama mtoto, aninaamrisha, ananitumikisha na pia huwa ananipiga.
Nimejaribu kupambana naye lakini nimejikuta nikiambulia maumivu na majeraha.
Sina pa kwenda kwani naishi naye kwenye tuliyoijenga wote.
Amekuwa na tabia ya kunikataza kuongea na baadhi ya marafiki zangu, na pia simu yangu amekuwa akinipora na kuangalia watu ninaowasiliana nao.
Nimezaa naye watoto wawili.
Mkubwa ana umri wa miaka tisa na mdogo wake ana umri wa miaka mitano.
Kibaya zaidi mtoto wetu mkubwa amekuwa akiwasilimulia wenzake jinsi ninavyokula kipondo.
Majirani wote wanajua taabu ninayoipata kutoka kwa mwanamke huyu wa kinyiha.
Unyumba ni hadi atake mwenyewe na nikimaliza kabla yake napigwa sana halafu naambiwa tuendelee na tendo la ndoa ambalo kwangu naona adhabu.
Nifanyeje kujinusuru na mateso haya?

Mikela:
Je, huyo mkeo ni mfanyakazi wa Sekta ya Umma?

Kama ndiyo basi tatizo ni hayo maandishi kwenye hiyo T' Shirt yako!!! yanayosomeka: "SIZITAKI KURA ZA WAFANYAKAZI" Kama unabisha jaribu kubadili hiyo t'shirt yako na uone kama utakula tena kipondo.
 
Hiyo sio ndoa ndugu yangu. Akupendaye hawezi kukupiga, kukusitishia mahusiano na rafiki zako, wala kukubaka!!!!!!!!!!!!! Hiyo ndoa ni void and null (Wanasheria nisaidieni hizo term kama ni sawa)
 
Ndoa naiona chungu na sijui la kufanya.
Mke wangu ananichukulia kama mtoto, aninaamrisha, ananitumikisha na pia huwa ananipiga.
Nimejaribu kupambana naye lakini nimejikuta nikiambulia maumivu na majeraha.
Sina pa kwenda kwani naishi naye kwenye tuliyoijenga wote.
Amekuwa na tabia ya kunikataza kuongea na baadhi ya marafiki zangu, na pia simu yangu amekuwa akinipora na kuangalia watu ninaowasiliana nao.
Nimezaa naye watoto wawili.
Mkubwa ana umri wa miaka tisa na mdogo wake ana umri wa miaka mitano.
Kibaya zaidi mtoto wetu mkubwa amekuwa akiwasilimulia wenzake jinsi ninavyokula kipondo.
Majirani wote wanajua taabu ninayoipata kutoka kwa mwanamke huyu wa kinyiha.
Unyumba ni hadi atake mwenyewe na nikimaliza kabla yake napigwa sana halafu naambiwa tuendelee na tendo la ndoa ambalo kwangu naona adhabu.
Nifanyeje kujinusuru na mateso haya?
pole mwaya!kwani ulimuoa au amekuoa?!njoo kwangu nikuliwaze mimi nyumba ninayo yangu mwenyewe.................hahahaaa!natania tu mjomba....ila pole mpendwa!
 
pole mwaya!kwani ulimuoa au amekuoa?!njoo kwangu nikuliwaze mimi nyumba ninayo yangu mwenyewe.................hahahaaa!natania tu mjomba....ila pole mpendwa!

we faith...maliza kwanza msala nwa shemejio bana ndo utualike wengine:becky:
 
mikela:
je, huyo mkeo ni mfanyakazi wa sekta ya umma?

kama ndiyo basi tatizo ni hayo maandishi kwenye hiyo t' shirt yako!!! Yanayosomeka: "sizitaki kura za wafanyakazi" kama unabisha jaribu kubadili hiyo t'shirt yako na uone kama utakula tena kipondo.


mbona mnachekesha hivi jamani kwenye mateso ya mwenzenu?
 
Acha upuuzi wewe! Mwanaume ni kichwa cha nyumba! sasa kama huna sauti nyumbani kwako tena mbele ya watoto wako bado unajiita mwanaume? Hao watoto unawafundisha nini? Wanapata picha gani? Hakuna unacho serve hapo kama ndio ilishakufa zamani mnaiish kwa mazoea tu kwa kuwa mna watoto

Piga chini tena uondoke kimya kimya! hata usimwambie!
Ukitaka kuangalia mfano wa kupiga chini wanawake wa namna hiyo anagalia movie moja inaitwa the hangover pale mwishoni kabisa!
 
we faith...maliza kwanza msala nwa shemejio bana ndo utualike wengine:becky:
Mimi faith kwanza .................ni mnyenyekevu mno,najua kubembeleza,nyumba ya kukaa na mikela ninayo tena yangu mweyewe na napenda sana watoto nitawalea na nitawapeleka international school!ni vile tu shem anataka kunigombanisha na shost on contrary sijazowea kutoka na ma men wa mashost zangu................hata hivyo nimekwambia natania tu kaizer.....................
 
Mimi faith kwanza .................ni mnyenyekevu mno,najua kubembeleza,nyumba ya kukaa na mikela ninayo tena yangu mweyewe na napenda sana watoto nitawalea na nitawapeleka international school!ni vile tu shem anataka kunigombanisha na shost on contrary sijazowea kutoka na ma men wa mashost zangu................hata hivyo nimekwambia natania tu kaizer.....................


apo ndo penye utata...au usingizi unanisumbua sioni vizuri...
 
hahahaha...ngoja ukue kue kidogo.....:violin::violin::ranger::ranger:

thx kaizer! leo umenipa vizuri sana...
namaanisha company! ukizingatia yule shem sikuhz kapunguza sana ukaribu tangu nimemrusha kwenye J.F....mungu wangu sijui ni mdau humu...
 
thx kaizer! leo umenipa vizuri sana...
namaanisha company! ukizingatia yule shem sikuhz kapunguza sana ukaribu tangu nimemrusha kwenye J.F....mungu wangu sijui ni mdau humu...

The Following User Says Thank You to faithful For This Useful Post:

Kaizer (Today)​
 
Ndoa naiona chungu na sijui la kufanya.
Mke wangu ananichukulia kama mtoto, aninaamrisha, ananitumikisha na pia huwa ananipiga.
Nimejaribu kupambana naye lakini nimejikuta nikiambulia maumivu na majeraha.
Sina pa kwenda kwani naishi naye kwenye tuliyoijenga wote.
Amekuwa na tabia ya kunikataza kuongea na baadhi ya marafiki zangu, na pia simu yangu amekuwa akinipora na kuangalia watu ninaowasiliana nao.
Nimezaa naye watoto wawili.
Mkubwa ana umri wa miaka tisa na mdogo wake ana umri wa miaka mitano.
Kibaya zaidi mtoto wetu mkubwa amekuwa akiwasilimulia wenzake jinsi ninavyokula kipondo.
Majirani wote wanajua taabu ninayoipata kutoka kwa mwanamke huyu wa kinyiha.
Unyumba ni hadi atake mwenyewe na nikimaliza kabla yake napigwa sana halafu naambiwa tuendelee na tendo la ndoa ambalo kwangu naona adhabu.
Nifanyeje kujinusuru na mateso haya?

mwanamke kumpiga mwanaume ni kitu cha kawaida. mimi mwezi uliopita, kusema ukweli, nilimuuzi sana waifu, akanitandika kibao cha uhakika hadi madogo sebuleni walikisikia....lakini nilicheka sana na kunyamaza kwasababu niliona nimekosea na nilideserve kumwomba msamaha kwasababu nilijua alifanya hivyo kwa provocation tu/hasira tu hakuwa yeye.

nasema hakuwa yeye kwasababu kabla hatujamjua Mungu, mimi nilikuwa na black belt ya shotokan karate, yaani sensei, ninao uwezo wa kutandika wanaume wasio professional hata watano peke yangu....na zamani, nilikuwa nampa kipondo waifu, kipondo cha mcheza karate kila siku...hahaha, lakini nilipookoka, nikabadilika...hivyo aliponitandika kibao nilijua tu kuwa sio kwamba anaona kuwa yeye ana nguvu kuliko mimi, bali amepitiwa tu, shetani amempitia kufanya vile ili mimi nirudie matapishi yangu ya zamani ya kumite...hahaha.

kawaida, si rahisi mwanaume kupigwa na mwanamke, kwa kabila la mashemeji zangu, ikitokea hivyo, basi ujue mwanaume uyo atakuvizia usiku akucharaze mapanga, akupige nondo au akishindwa kabisa atachukua kamba na utamkuta ananing'inia kwa hasira.

bro, huyo mkeo anakupiga akijua kuwa hautamfanya lolote, yaani utamhurumia kwani yeye ndo mama watoto wako. anajua wewe unampenda huwezi kumharibia reception/uso kwa mangumi ya mwanaume. NAKUSHAURI USIMPIGE hata kama unazijua ngumi, kwasababu si yeye, ni shetani aliyeko ndani yake. unaweza kumpiga ukashangaa ndo amendondoka moja kwa moja kwa ngumi moja tu, na unaenda kuishia jela na watoto atalea nani...watu wengine wana mshipa umebaki mmoja tu, na hao ndo huwa wabishi sana kwasababu wanajua utaogopa kuwamalizia...mwombe Mungu aondoe iyo roho chafu kwa huyo mama, ajue ya kuwa mume ni kichwa cha nyuma na mwanamke analazimika kumheshimu na kumtii mmewe. akizidi sana, chukua taxi mlete nilipo mimi nitamfundisha adabu nione kama ataendelea kujifanya anapigana na wanaume....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom