funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
nilijua tu utakuwa ni mlevi mbwa acha kunywa ovyo mpaka mkeo anakuzidi nguvu gangamala mtoto wa kiume ni aibu sana unayongea hapa na kama mkeo anaona hii topiki lazima ulale njeNi mimi mama, uvumilivu umenishinda. Jumamosi alinirushia remote ya decoder ikanichana sehemu ya juu ya jicho langu la kushoto.
Ofisini jamaa wakadhani nimepigana baa
nilichogundua hapa ni kwamba uwa unalewa na kushindwa kutimiza majukumu ya kitandani badilika sio bure