Bukondamoyo
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 458
- 487
Kumbe katiba ya ccm ndo katiba ya nchi pia
Huwezi kubadilisha katiba ya ccm halafu ya nchi isiguswe. Wakati unajua wazi kuwa CCM imehodhi utawala wa nchi na chama hakiwezi kuwa na rais ambae sio mwenyekiti wa chama.CCM ni chama dola.
CCM ni chama tawala wala hilo halina ubishi.
CCM ni chama mbeba maono wa taifa hili la Tanzania.
Dr Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi yetu ameonyesha uwezo mkubwa sana katika kusimamia misingi ya chama na uzalendo kwa ujumla.
Kwa mageuzi makubwa anayoendelea kuyafanya ndani ya chama ambayo yameonyesha ufanisi mkubwa kwa maendeleo ya taifa, napendekeza katiba ya CCM ifanyiwe marekebisho ili nafasi ya mwenyekiti isiwe na ukomo.
Hii itatoa fursa kwa mwenyekiti Magufuli kuendelea na uongozi hadi atakapoamua kung'atuka kama alivyofanya baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Maendeleo hayana vyama!
84& zilitoka wapi bwashee kama siyo kwa wananchi?
Hata Nyerere alikuwa binadamu bwashee!Huwezi kubadilisha katiba ya ccm halafu ya nchi isiguswe. Wakati unajua wazi kuwa CCM imehodhi utawala wa nchi na chama hakiwezi kuwa na rais ambae sio mwenyekiti wa chama.
Lakini pia ujue huyo mwenyekiti anaepigiwa chapuo. Nae ni binadamu na uhai ni wa Mungu.
Jambo la akili ni kujenga mifumo mizuri imara ambayo inajisimamia hila kujali alokalia kiti ni nani.
Hao wananchi hawawezi kuamua mambo ya kitoto kama hilo, sema wanachama wa CCM ndio wataamua kuendelea na mwenyekiti wao au no.Wananchi wataamua
Wanachama wa CCM ni wananchi wa TanzaniaHao wananchi hawawezi kuamua mambo ya kitoto kama hilo, sema wanachama wa CCM ndio wataamua kuendelea na mwenyekiti wao au no.
Wewe wameingiza kijiti?Wenzio wanapima kina cha maji kwa kuingiza kijiti.....
ww unaingiza kalio?
Ushaliwa tayari...Wewe wameingiza kijiti?
Pole manka!
CCM ni chama dola.
CCM ni chama tawala wala hilo halina ubishi.
CCM ni chama mbeba maono wa taifa hili la Tanzania.
Dr Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi yetu ameonyesha uwezo mkubwa sana katika kusimamia misingi ya chama na uzalendo kwa ujumla.
Kwa mageuzi makubwa anayoendelea kuyafanya ndani ya chama ambayo yameonyesha ufanisi mkubwa kwa maendeleo ya taifa, napendekeza katiba ya CCM ifanyiwe marekebisho ili nafasi ya mwenyekiti isiwe na ukomo.
Hii itatoa fursa kwa mwenyekiti Magufuli kuendelea na uongozi hadi atakapoamua kung'atuka kama alivyofanya baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Maendeleo hayana vyama!
Peleka mapendekezo yako Chato. Jamii Forums inahusika vipi na mambo yenu ya chumbani? 😡CCM ni chama dola.
CCM ni chama tawala wala hilo halina ubishi.
CCM ni chama mbeba maono wa taifa hili la Tanzania.
Dr Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi yetu ameonyesha uwezo mkubwa sana katika kusimamia misingi ya chama na uzalendo kwa ujumla.
Kwa mageuzi makubwa anayoendelea kuyafanya ndani ya chama ambayo yameonyesha ufanisi mkubwa kwa maendeleo ya taifa, napendekeza katiba ya CCM ifanyiwe marekebisho ili nafasi ya mwenyekiti isiwe na ukomo.
Hii itatoa fursa kwa mwenyekiti Magufuli kuendelea na uongozi hadi atakapoamua kung'atuka kama alivyofanya baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Maendeleo hayana vyama!
Kama sijakupiga mawe sijui. Unaniudhigi basi tu. Sasa navuka barabara nakuibukia.Leo niko KKKT Kimara!
sasa si uwakilishe kwenye vikao rasmi vya chama? hapa unataka tukusaidie nini ambacho mumeo ameshindwa kukitekeleza?CCM ni chama dola.
CCM ni chama tawala wala hilo halina ubishi.
CCM ni chama mbeba maono wa taifa hili la Tanzania.
Dr Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi yetu ameonyesha uwezo mkubwa sana katika kusimamia misingi ya chama na uzalendo kwa ujumla.
Kwa mageuzi makubwa anayoendelea kuyafanya ndani ya chama ambayo yameonyesha ufanisi mkubwa kwa maendeleo ya taifa, napendekeza katiba ya CCM ifanyiwe marekebisho ili nafasi ya mwenyekiti isiwe na ukomo.
Hii itatoa fursa kwa mwenyekiti Magufuli kuendelea na uongozi hadi atakapoamua kung'atuka kama alivyofanya baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Maendeleo hayana vyama!
Umeshapanic manka!Ushaliwa tayari...
Hili ni jukwaa letu CCM!sasa si uwakilishe kwenye vikao rasmi vya chama? hapa unataka tukusaidie nini ambacho mumeo ameshindwa kukitekeleza?
Karibu bwashee!Kama sijakupiga mawe sijui. Unaniudhigi basi tu. Sasa navuka barabara nakuibukia.
Hata mumeo huwa anapanic akikuona humu ukiwa unajibizana na wanaume kimahabaUmeshapanic manka!
Hahahaaaa...... Wewe mumeo Kubenea huwa hapanic?Hata mumeo huwa anapanic akikuona humu ukiwa unajibizana na wanaume kimahaba