Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 34,172
- 54,677
Hivi unaona yupo sawa kweli huyo?Pia waulize, washachunguza alienpiga risasi LISSU??! Halafu uniambie wamesemaje
Hivi unaona yupo sawa kweli huyo?Pia waulize, washachunguza alienpiga risasi LISSU??! Halafu uniambie wamesemaje
Kajitoa ufahamu, mpuuzi huyo. Waduasi wa JIWE wote hawana akili, wenye akili wote washamaaliti marehemuHivi unaona yupo sawa kweli huyo?
Umeshawah kujibidiisha kusoma taarifa ya sababu za Kifo Cha Magufuli, au ubongo wako umetiwa ganzi, bro soma maamdiko, Kwa tabia zake chafu MUNGU asingeweza kumuacha....Watu wanaogopa kusema ukweli.ila aliehusika kumuua magufuli kuna siku atakufa.time will tell.
Watu wanaogopa kusema ukweli.ila aliehusika kumuua magufuli kuna siku atakufa.time will tell.
Watu wanaogopa kusema ukweli.ila aliehusika kumuua magufuli kuna siku atakufa.time will tell.
Anaitwa Covid-19?Watu wanaogopa kusema ukweli.ila aliehusika kumuua magufuli kuna siku atakufa.time will tell.
Aliyempiga risasi mbunge Lissu halihitaji tume ya kuchunguza tukio. Tukio hilo halihitaji uwe mpelekezi kuunganisha dot. Km Lissu kapigwa risasi nyingi upande wake wa kulia ambako alikaa dereva. Dereva katoka mzima bila kuguswa na risasi hata moja, wakati ulele risasi zilitoboa gari upande wa kushoto. Naamini Lissu alikuwa amejifunga mkanda hivyo basi asingeweza kugeuka hadi kupigwa risasi upande wa kulia. Maajabu, badala ya kumtoa dereva (hadi leo amefichwa) atoe ushahidi, wahusika na hilo jaribio wanatoa lawama kwa Serikali ati iliondoa Walinzi na kuficha CCTV (ambazo naamini ziko mikononi salama kusaidia uchunguzi)Kwanini upendekezi iundwe tume kuchunguza waliompiga risasi mbunge lisu.
Utasibir Sana, mpaka akili ikujie utakuwa ushazeekaAliyempiga risasi mbunge Lissu halihitaji tume ya kuchunguza tukio. Tukio hilo halihitaji uwe mpelekezi kuunganisha dot. Km Lissu kapigwa risasi nyingi upande wake wa kulia ambako alikaa dereva. Dereva katoka mzima bila kuguswa na risasi hata moja, wakati ulele risasi zilitoboa gari upande wa kushoto. Naamini Lissu alikuwa amejifunga mkanda hivyo basi asingeweza kugeuka hadi kupigwa risasi upande wa kulia. Maajabu, badala ya kumtoa dereva (hadi leo amefichwa) atoe ushahidi, wahusika na hilo jaribio wanatoa lawama kwa Serikali ati iliondoa Walinzi na kuficha CCTV (ambazo naamini ziko mikononi salama kusaidia uchunguzi)
Jeshi la Polisi limelifanyia kazi kwa weredi. Tusubiri matokeo ya uchunguzi tukio hilo na matukio ya watu kupotea, na iwapo JPM alikufa kifo cha kawaida au la.
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.
Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.
Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.
Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.
Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii
Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa
Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind
Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?
Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.
Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.
Video ya tukio la moshi hio apo chini.
Bora ameondoka. La sivyo watanzania tusingechanjwa. Tungekufa kama nzige. Mungu ametuepusha na janga!Kalipe bili za watu huko Arusha na Hai ulizorusha.
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.
Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.
Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.
Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.
Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii
Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa
Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind
Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?
Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.
Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.
Video ya tukio la moshi hio apo chini.
Au basi wakamilishie lile lisanamu lao kule machakanj ChatoHiyo hela yakuunda tume ya kuchunguza ni bora ingetumika kuwanunulia wafungwa magodoro..'mimi ni mfungwa mtarajiwa' in magus voice.
😂😂Umechanganyikiwa, unarukia kila kitu.
Yaani hata Mimi nigeonana naye magu usoso kwa uso tukiwa wawili tuu ningeli tandika kweri kweriii lile bichwa mpka libonyae bonyoo.Marafiki zangu kutoka West Africa namaanisha Nigeria, Ghana na Ivory Coast wanaamini JPM hakufa natural death, kuna watu walihusika kumuua mheshimiwa.
Naomba tume huru iundwe kuchunguza hili suala.
JF. Where we dare to talk!
Mbona body wake hajafariki.