Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Yaani marehemu kaacha misukule kibao
 
Screenshot_20210518-234454_Chrome.jpg
 
Kama huusiki basi sikiliza wahusika. wamekueleza ni tatizo la moyo lililomsumbua kwa miaka 10 ndo sababu ya kifo sasa kama wewe unajua ambayo samia na serikali yake hawajui ndo useme bila kumung'unya maneno tukusikie.
Inachoongekewa hapa ni kuundwa kwa tume huru. Ondoa ushabiki. Nisikilize nini. Sheria ipo na inaruhusu uchunguzi wa kifo. Kuna muda mahakama itaamua.
 
Yaaah na ndo wapiga kura halisi, pia wahudhuriaji kampeni, safari hii 2025 huyu mama atapiga kampeni sijui wapi na chama chake.

Ni heri aanze kusafisha kwa kutembelea wananchi.

Mama anapanga Serikali yake hivi sasa. Hawezi kuwatembelea hivi sasa kwani bado hajamaliza kupanga safu ya MaDC na wakurugenzi!!! Akimaliza hapo mtamuona huko wilayani kwenu.
 
Kwani kunashaka na kifo cha magufuli pombe Joseph kweli?
Shaka na mimi ninayo.

Wasaidizi wake wa karibuwalitanguliia mauti. Kelele zikapigwa sana akubali masharti ya WHO kuhusu koroa ikiwa ni pamoja na chanjo.

Alipofariki hatujasikia tena viongozi wakifariki. Nini kimetokea? Kama kaondoka na korona ya nini Tume na maelekezo kibao!!!
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Na WATU WALIOKUFA MIILI YAO IKAWA INAELEA BAHARI YA HINDI NA MTO RUVU, Kwenye Viroba.

WALE HAWAKUWA PANYA BUKU , WALA HAWAKUWA DIGIDIGI!🤨

WAKATI KAMATI HIYO INAUNDWA IUNDWE NA YA KUWACHUNGUZA HAO WALOKUWA WANAELEA.

Au KAMATI HIYOHIYO IFANYE KAZI MBILI.

🤣🤣🤣😶😶
 
Watanzania hao wenye shuku na uchunguzi juu ya kifo cha mpendwa wetu JPM huwezi kuwakuta JAMII FORUM au TWITTER tuko wachache

Wengi sana hawana ACCESS ya hii mitandao miwili.
Matahila ya sio Kua na mtandao wenye mtandao wajanja ndio maana hawadanganyiki Kwa Stori za kinyonge
 
Kijana serikal imesha zika. Muache hayat apumzike.
Muda wa maombolezo kitaifa umeisha. sasa ni muda wa kazi

Yani hawa wanaotaka kuturudisha nyuma wanaudhi! Mtu kafa natural death, wanatafuta mchawi! Nchi sasa imefunguliwa, Watanzania tupige kazi, hela sasa ipo nje nje.
 
Endelea kusubiri kama unategemea mama kuja kupiga kampeni chumbani kwako!!! Sisi wananchi wapiga kura tunamuelewa sana na tunasema mama mitano, mitano na mitano tena, ikiwezekana maisha kabisa.

Mama tunampa 20. Wananchi tumemuelewa sana. Kumbe huyu ndiye tuliyetakiwa kumpata tangu 2015.
 
Wanainji kwa sauti moja tumekubaliana kwa pamoja kuwa mwendazake amekufa kifo cha kawaida kabiiiisa (natural death) na huo mpango wenu hauna tija kwetu .

Kama kweli kuna aliyetuondolea hilo JIWE hakika huyo anastahili heshima maalumu kwa kudhihirisha uzalendo wake kwa Taifa.

Tuweni tu seriously wakuu ,yeye alikuwa ni nani hata kulitia Taifa zima kwenye simanzi aiseee
 
WAPO WENGI, kama kufukuwa makaburi basi tuanze na Shujaa Moringe Sokoine na tuingie pia kwa Maalim Seif Sharifu aliepona korona kisha gafla bin voom tukasikia amefia kwenye maeneo ya Tanganyika halafu tumrudie Magu tulietangaziwa mzima yupo anachapa kazi mara zwiiim dada yake anatutangazia amefariki kifo cha gafla, Mapanya nawauliza Nani atamfunga paka kengere ?
 
Back
Top Bottom