Gracious
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 1,890
- 1,082
Gracious,
SI KAZI YANGU KUWAFURAHISHA CHANDIMU, WALA CHANDIMU HAWANA MAMLAKA YA KUNIFUNDISHA CHA KUFANYA, ETI LEO NIFANYE AMBACHO CHANDIMU MNATAKA NIFANYE??? ,imekla kwenuu.... Mwl. Aliwhi sema...... Ukiona adui yako anazifia slaa zote za maangamizi jua umekosea. FURAHA YANGU NI KUWAKERA CHANDIMU SO MKIKEREKA NIJUA NIKO VIZUIIIIIII
Laiti ungejua kama wewe ni public figure na kiongozi wa juu wa chama tawala usinge behave hivi kitaarab taarabu.Mwenzio mtatiro anapata challenge nyingi kutoka kwa CHADEMA lakini anazijibu kwa hekima.Wewe una tatizo la msingi,kama usipoangalia kwa makini hasa hasa katika kauli zako ambazo hazioneshi kwamba ume mature tutashindwa kukutofautisha na kina makamba senior ambae alikua mropokaji.
Suala sio kufundishwa kazi.Kiongozi makini ni yule anayeweza kuchukua challenges na kuzi overcome maturely.Be careful bwana mdogo