Nape si mwanachama wa CCM

Nape si mwanachama wa CCM

Inawezekana akawa hana kadi ya CCM huyu Kijana, hilo hapo juu sio jibu.

Nape: Bora ungekaa kimya kuliko kujibu ulivyojibu.

Unajua Nape, umeniangusha sana, niliwahi kukupigia upatu kuwa utakuja kuinusuru CCM hasa uliposhupalia issue ya Jengo la Umoja wa Vijana na Uvuaji gamba. Sasa naanza kuamini kuwa nilikosea sana kwa upatu huo.

Nape, Jamii Forums ni mahali watanzania wengi na raia wa nchi nyingine, siku hizi, wanokufahamu wanatembelea mara kwa mara, hivyo unapotoa majibu kama haya kwa swali zito kama hili unazidi kupunguza credibility ya wale waliokupa nafasi hiyo ktk chama pamoja na wewe binafsi.

Nape kuwa makini na majibu yako.

Ni ushauri wa MpigaKelele
 
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......

mbona hujibu hoja na shutuma juu yako
 
Jamani mimi ninachojua kuwa Nape pale CCM anapita tu nyumbani kwake ni Chadema, angalia vazi analotinga (ni gwanda pure) huwa anapotezea kwa kuvaa gwanda la rangi ya kijani. Nape Muda ukifika rudi nyumbani Chadema
 
Kweli Nape hana kadi ya CCM , kama Mbowe vile vile asivyokuwa na kadi ya CDM.
 
mtoa mada sijui ana stress gani leo...sa hapo juu umesema kua ni jambo la kawaida kuwa mwanachama wa ccm na usiwe na kadi ya ccm. Hapo hapo tena unasema Nape sio mwanachama wa ccm kwa sababu hana kadi ya ccm. Daahh wabongo bana

naona magamba mnahaha pa kutokea; usilazimishe nukuu hewa!
 
Jamani huyu nape hana kadi ya CCM bali anayo kadi ya UHAMSHO ya wale wazenji so kama mwenyewe ataniruhusu basi ni-apload, maana hata ccm ni tawi la uhamsho sema tu uhamsho wao wanachoma makanisa na ccm wao wanachoma kodi zetu kwa matumbo yao.
 
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......

kaka kuchekacheka ni ishara ya ya ukameruni.
 
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......

Brother can't u see hii kitu is very likely to go out of control? Bora ujibu swali au ukae kimyaa as if hujaiona hii forum. majibu mepesi au ya kejeli itaiongezea nguvu hii hoja na ku-back fire.
 
Kinachonishangaza ni kwamba thread ambazo ziko "empty" ndizo zinachangiwa zaidi. Tumekuwa jamii inayopenda mijadala "empty", halafu tunategemea kuna siku maendeleo yataanguka kama manemane!
 
ukistaajabu ya musa utayaona ya ccm.
hilo ni jibu la katibu mwenezi wa chama kikongwe(dudu kubwa kama usemi wa wasira)
jaribu kufikiri level ya tawi huyo mwenyekiti wa tawi atakuwaje?
mnakumbuka kule igunga kuna kiongozi wa ccm alichoma banda la kuku akasema ni chadema?we mtu anataka kukuuwa anashindwa kuelewa tofauti ya banda la kuku na mahali mtu analala?


sina mbavu kweli kawashika pabaya.
 
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......

Jibu Hoja na siyo porojo ndiyo majibu yenu haya kumbe hata kurugenzi nao wameiga kwako.

Hakuna Haja ya kuleta mipasho hapa kudhirisha uongo au ukweli tupia kadi yako hapo scan copy siyo porojo
 
Mkuu Nape, Tafadhali jibu hoja hii kuondoa Ukungu wa taarifa iliyotolewa dhidi yako.
 
JF acheni kupoteza muda wa watu na porojo. Itakuwaje apite chujio la uteuzi za mamlaka kuu katika chama - mwenyekiti, cc na mpaka nec ya ccm? tuache kudanganyana.
 
jAPO NILISTUKIA ILA STILL KUNA kuna kitu cha msingi ambacho either kwa kutojua au kujua ameamua kutujuza;kwamba huaminiki ndani ya chama.Vinginevyo usingeweza kupata wazo lakuja na huu uzi au unacheka kinafiki kwa kuwa huwezi kujibu hoja.hivyoo kwa sababu wewe ni mwimbaji na mpiga gitaa mzuri,nakuomba uiongoze chichiem kuimba wimbo wa kishujaa,ushujaa wa wizi,haya anzisha,Ilale pema chichiem,ilale pema chichiem,itakua huzuznisha kujivua gamba*2,safari yake imefika ya kwenda moton*2>OOOOOOOOOOOOhh,what such a sweeety song!
 
JF acheni kupoteza muda wa watu na porojo. Itakuwaje apite chujio la uteuzi za mamlaka kuu katika chama - mwenyekiti, cc na mpaka nec ya ccm? tuache kudanganyana.


Petrol taratibu, nishati hiyo ambayo ni username yako ndiyo inayoleta kasheshe huko Zenji, Sio Mimi ni Katiba ya CCM , ndivyo inavyosema kwenye fungu la pili, uanachama .. Soma Kwa makini, katiba hawajatungiwa Mbwa Bali binadam wanachama husika,Na Lazima Kiongozi Yeyote ahakikishe shahada ya ufuasi Wa Chama Kwa kuzishika taratibu zote husika za Chama..
Kama katiba wametungiwa mbwa Basi hatuna nchi Wala Kitu kinachoitwa Tanzania..
Mimi nasema Nape Kama anataka kuendelea kuwa mwana-CCM , Basi kesho aanze kutimiza taratibu zote za uanachama .. Ni Hilo tu Wala hatutaki matatizo Na Mtu YEYOTE!! Kisim Ngriii!! Ngriiii!!
 
Salma 2015, labda hukunipata. Nilichohoji ni kwamba itawezekanaje apitishwe na waheshimiwa wakuu na vikao vizito katika ccm wakati siyo mwanachama. Unataka kujenga hoja ya ziada kuwa watu wanateuliwa bila kuhakiki hata kitu cha lazima kama uanachama wa mteuliwa. Na waliompendekeza walianza na sifa gani kama siyo mwanachama, hata kama 'mfu'. Kama unayoeleza ni kweli, na nape mwenyewe kanyamaza, basi tanzania tuna tatizo kubwa zaidi ya kustaajabu ya musa.
 
Back
Top Bottom