TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,277
- 27,948
Inawezekana akawa hana kadi ya CCM huyu Kijana, hilo hapo juu sio jibu.
Nape: Bora ungekaa kimya kuliko kujibu ulivyojibu.
Unajua Nape, umeniangusha sana, niliwahi kukupigia upatu kuwa utakuja kuinusuru CCM hasa uliposhupalia issue ya Jengo la Umoja wa Vijana na Uvuaji gamba. Sasa naanza kuamini kuwa nilikosea sana kwa upatu huo.
Nape, Jamii Forums ni mahali watanzania wengi na raia wa nchi nyingine, siku hizi, wanokufahamu wanatembelea mara kwa mara, hivyo unapotoa majibu kama haya kwa swali zito kama hili unazidi kupunguza credibility ya wale waliokupa nafasi hiyo ktk chama pamoja na wewe binafsi.
Nape kuwa makini na majibu yako.
Ni ushauri wa MpigaKelele
Nape: Bora ungekaa kimya kuliko kujibu ulivyojibu.
Unajua Nape, umeniangusha sana, niliwahi kukupigia upatu kuwa utakuja kuinusuru CCM hasa uliposhupalia issue ya Jengo la Umoja wa Vijana na Uvuaji gamba. Sasa naanza kuamini kuwa nilikosea sana kwa upatu huo.
Nape, Jamii Forums ni mahali watanzania wengi na raia wa nchi nyingine, siku hizi, wanokufahamu wanatembelea mara kwa mara, hivyo unapotoa majibu kama haya kwa swali zito kama hili unazidi kupunguza credibility ya wale waliokupa nafasi hiyo ktk chama pamoja na wewe binafsi.
Nape kuwa makini na majibu yako.
Ni ushauri wa MpigaKelele